Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Kwa kuwapa tenda waturuki na Wa Egypt nakubaliana na Hamza Johari kuwa mkataba wa DP World uliasisiwa na JPM.
 
Kumbuka PCFC ni kampuni inayomilikiwa na Emirate ya Dubai na ikimiliki DPW (100%). Kwa maana hiyo DPW inaingia Tanzania kama balozi kumiliki Bandari na maeneo mengine yaliyoainishwa kwenye huo mkataba batiri. Kwa msingi huo itakuwa vigumu kuvunja mkataba nayo ila kwa njia ya kidiplomasia au mlolongo mrefu kwenye mahakama za UK (Kifungu cha 20 cha huo mkataba batili) kati ya Tanzania dhidi ya Dubai na siyo DPW.
Onesha kifungu kilichokufanya useme
"DPW inaingia Tanzania kama balozi"
Kwanini utie maneno yako halafu unishutumu mimi kulalamika wakati nimeuweka mkataba kamili post namba Moja, sijaona popote hilo la "ubalozi".

Unazuwa?
 
Kimei huyo anayeumia hakuchaguliwa kuwa waziri wa fedha!!!?? aiseeee
Hivi wewe hata bunge unasikiliza kweli? Hukumsikia mbunge wa vunjo Dr.kimei anasema alipokuwa mkurugenzi mkuu CRDB alipata wakati mgumu maana akaunti za wateja zilikuwa zinazuiliwa (blocked)? na fedha zinachukuliwa?
 
Hizo porojo tu hadi wa leo hamjaleta ushahidi zaidi ya maneno
Bofya chini, halafu uje useme ni nini hicho:

 
Nakwambia ingekuwa patashika nguo kuchanika.
SGR Dar - Moro tuliwanyima wachina tukawapa waturuki waislamu. Angefanya hii Mama Samia sijui wale wakristo wenzangu ingekuwaje
Serikali ya Tanzania haina dini, ila wananchi wake wana dini na Imani zao.
Vivyo hivyo Mikataba inayoingia serikali haina uhusiano wowote na dini. Kinachoangaliwa ni uwezo, ufanisi na vigezo vingine husika.
Hata katika siasa ni kutofungamana na upande wowote.
 
Ndiyo zenu hizo, kila mkishindwa hoja mnakimbikia dini.

Kwani kinachopingwa bandarini ni nini zaidi ya dini?


Mbina hamuisemi MoU ya bandarini ya Dollar Million 500?

Mama Samia kauza nini kwa Dollar million 500?

Semeni TICTS walitoa ngapi kabla ya kuanza kazi na kwa. Miaka yote ameleta faida upi?

Mwarabu jajaanza kishawekeza Dollar million 500.


Unaelewa hilo au huelewi?
Umemzikiliza pro shviji lakini au unaongea tu kwakua una mdomo na mikono ya kuandika nyuma ya keyboard
 
Mkataba upi uanoupinga?

Mimi nnauhakika wewe unapinga hewa tu, hukielewi hata unachokipinga ni nini.
Rudia kusoma thread uliyo andika afu soma comment moja moja hadi hapa mwisho pima akili yako kama unajielewa

Acha kuzeeka vibaya, wazee wenzako akili ina komaa wanapo uwendea uzee
 
Rudia kusoma thread uliyo andika afu soma comment moja moja hadi hapa mwisho pima akili yako kama unajielewa

Acha kuzeeka vibaya, wazee wenzako akili ina komaa wanapo uwendea uzee
Mkataba upi unaoupinga?
 
Kwa kuwapa tenda waturuki na Wa Egypt nakubaliana na Hamza Johari kuwa mkataba wa DP World uliasisiwa na JPM.
Ni kweli kabisa. Kuna MOU ya 2020. Hiyo haizungumzwi kabisa

HaSad ipo kwa mama tu. Kisa nini?

Mwendazake enzi zake unafikiri angenyanyua mtu mdomo?

Thubutuuu.


Mama yetu mpole sana, Yeye haongei ni vitendo tu.

Wanaojidai wajanja shauri lao, kisaikolojia inatakiwa umuogope sana mtu mpole.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?


Unajuaje kama hakuachiwa office akasaini?

Au Huna taarifa kuwa alikuwa ni vice president

Kama kura za magu ndio zimempa yy kuwa vice then hata maamuzi ambayo alifanya magu kama ni mabaya au mazuri na yeye anahusika
 
Onesha kifungu kilichokufanya useme

Kwanini utie maneno yako halafu unishutumu mimi kulalamika wakati nimeuweka mkataba kamili post namba Moja, sijaona popote hilo la "ubalozi".

Unazuwa?
Soma kwa undani Kifungu cha 20 na cha Tafsiri iliyotolewa ya DPW kwa pamoja, utaelewa nina maana gani n DPW kuwa ni kampuni ya kuwakilisha Emirate ya Dubai badala ya kuwa kampuni ya uwekezaji
 
Kimei huyo anayeumia hakuchaguliwa kuwa waziri wa fedha!!!?? aiseeee
kama hiyo ndo hoja yako basi tuna safari ndefu kumbe huyu mama samia atawaumiza nafsi zenu sana msipojicontrol mtajipatia magonjwa ya moyo maana mnaumia na kasi yake.
 
Soma kwa undani Kifungu cha 20 na cha Tafsiri iliyotolewa ya DPW kwa pamoja, utaelewa nina maana gani n DPW kuwa ni kampuni ya kuwakilisha Emirate ya Dubai badala ya kuwa kampuni ya uwekezaji
Kuna neno ubalozi au hilo umeezusha wewe tu?

Mkataba unajitafsiri wenyewe usizushe maneno yako.

Nimesoma vyote hivyo ni vifungu vya kawaida kabisa katika uwekezaji wa nchi.

Vifungu vyite vya humu havifsnyi kazi kama 1) havijaws rectified na seruklai zote mbili.

2) kama hajuba mikataba ya HGA.


Unalifahamu hilo au haulifahamu?
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Mtajibalaguza hadi gagu ziwalegee ...Hatutaki huu Mkataba!
 
Back
Top Bottom