Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Wazungu wakivuna Wanyama husikii cha Mzalendo hata mmoja akiumia kwa uchungu.

1.jpg


Ila Mwarabu wa Loliondo anamwagiwa mapovu kama yote.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Pangechimbika hapa!
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Taja vipengele vyenye mapungufu mkataba wa SGR na JNHPP ili tuanzie hapo. Nje ya hapo ni kutafuta kubalance story kwa mgongo wa dini
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Hao uliowataja wanajenga wanaondoka.

Hatutaki watu waje watie nanga bandarini milele, hiyo bandari ni yetu siyo ya waarabu
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Unauliza au unajipa majibu,yaani unatuuliza kuhusu kuanza kwa SGR morogoro ?

hilo swali lilitakiwa liwe hivi

Mpaka sasa SGR (moro dar moro) imekwama kuanza tangu mwendazake alivoiacha.
 
Akhsante baba hii mijitu inashabikia Kama inakufa kesho na shine zao.Inajisahau Ina watoto na vitukuu ambao ndiyo watateseka
 
Ndiyo zenu hizo, kila mkishindwa hoja mnakimbikia dini.

Kwani kinachopingwa bandarini ni nini zaidi ya dini?


Mbina hamuisemi MoU ya bandarini ya Dollar Million 500?

Mama Samia kauza nini kwa Dollar million 500?

Semeni TICTS walitoa ngapi kabla ya kuanza kazi na kwa. Miaka yote ameleta faida upi?

Mwarabu jajaanza kishawekeza Dollar million 500.


Unaelewa hilo au huelewi?
Huna akili!
 
FaizaFoxy, ungejenga hoja kwa kutumia vifungu vya huo mkataba, mimi ningekuelewa na kuendeleza mjadala, lakini unaishia katika kulaumu tu.

Kama siyo kuuza, unaelewaje kifungu kifuatacho:
KIFUNGU CHA 7:VIBALI VYA MRADI
3. Iwapo vibali vikisha tolewa kwa mradi wowote havitoweza, kubatilishwa, kubadilishwa, kurekebishwa, au kushindwa kuhuishwa au kuongezwa na Serikali ya Tanzania au mamlaka husika ya serikali au wakala bila ya mashauriano ya awali na PCFC inayowakilisha Serikali ya Dubai ikiwa ubatilishaji kama huo, mabadiliko, urekebishaji au kushindwa kuhuisha au kuongezwa kunaweza kuwa na athari mbaya kwa Miradi (au yoyote kati ya hizo).


Kumbuka PCFC ni kampuni inayomilikiwa na Emirate ya Dubai na ikimiliki DPW (100%). Kwa maana hiyo DPW inaingia Tanzania kama balozi kumiliki Bandari na maeneo mengine yaliyoainishwa kwenye huo mkataba batiri. Kwa msingi huo itakuwa vigumu kuvunja mkataba nayo ila kwa njia ya kidiplomasia au mlolongo mrefu kwenye mahakama za UK (Kifungu cha 20 cha huo mkataba batili) kati ya Tanzania dhidi ya Dubai na siyo DPW.

Vifungu vifuatavyo vinakidhi hoja yangu ya kumilikisha bandari na maeneo mengine kwa Emirate ya Dubai, kampuni ya DPW ikiwa balozi mwakilishi. Nanukuu:

KIFUNGU I: UFAFANUZI NA TAFSIRI
“DPW” au “DP World” inamaanisha DP World MEA Ports FZE, kampuni inayomilikiwa na serikali ambayo inamilikiwa kikamilifu na PCFC ambayo inamilikiwa kikamilifu na Emirate ya Dubai,... ambayo itaanzisha Kampuni moja au zaidi za Miradi nchini Tanzania kwa madhumuni ya kutekeleza Shughuli za Mradi.

KIFUNGU CHA 2: LENGO LA MKATABA
1. Madhumuni ya Mkataba huu ni kuweka mfumo wa kisheria wa maeneo ya ushirikiano kwa ajili ya maendeleo, uboreshaji, usimamizi na uendeshaji wa bandari za bahari na maziwa, kanda maalum za kiuchumi, hifadhi za usafirishaji, korido za kibiashara na miundombinu mingine ya kimkakati ya bandari nchini Tanzania.


Vfungu vichache hivyo vya huo mkataba batili, ni dhahiri kuwa hakuna shaka Tanzania inawekwa kwenye utawala wa Emirate ya Dubai. Ili hilo lisitokoe mkataba wa IGA uwe wa ushirikiano tu na DPW iwekeze nchini kwa Sheria, Taratibu na Kanuni zetu, kama ilivyowekeza kwingineko duniani.
kushindwa kuhuishwa au kuongezwa hii sentence unaielewaje?
 
Acha kulinganisha mapera na mananasi
 
Hivi unajijua wee Ni Kilaza ? Yaan Haina usmart wowote kichwan.

Bichwa lako umelijaza uislam.

Kibaya zaidi ndio unazeeka, Haina nafasi ya kurekebisha,

Wenye Akili Huwa wakizeeka, akili inazidi kuimarika.


Vilaza wakizeeka ndo wanazidi kua Wajinga kweli kweli.



Ona kama wee, Hauna tofauti na jamaa anajiita Lucas , kwann?.

Vichwa vyenu ni aina ya vichwa vya Akina Nape, Makamba, Kibajaji ,, ni wale watu waongeaji lakini watupu kichwan ,weupeee, huwa hawawezi kuongea Kwa facts na logic , Bali wao wanaongea mambo mepesi kiujumla.


Ndio Sababu vichwa vya habari bya nyuzi zenu humu vinafanana 100%..

Utasikia..."Rais Samia aendelea kuwafurahisha Watanzania....... Lkn humo ndan huelezi ni Kwa namna gan kawafurahisha.


Rais Samia ni Kipenzi Cha Watanzania...

Rais Saini aipaishaaa Nchi !!.



Nchi hii, iliwahi pata Marais Watatu tu, Nyerere, Mkapa, Magufuli.



Sijui kwann ,Marais Waislam huwa wanalitumbukiza Taifa kwenye mambo ya hovyo hovyo !!.

Ndio maana Mimi hata Urafiki, Siamin katika urafiki na Muislam.


SSS huyu Suala la Uwezo wake Mdogo wa Akili liko wazi na linajidhihirisha kwenye Safari yake ya Elimu, kuunga unga Sanaa, na aliunga Kwa sababu tu alikua anafeli feli na alifeli sababu ya Udogo wa akili... Huo ndio ukweli!!.

Ni vile kaokota Embe kwenye mnazi, matokeo yake, Uongozi umekua mkuuuubwa kumshinda, kajikuta anaogelea ogelea....la DP world, Mikumi, Ufisadi na yanayoendeleaa nchinj, yanathibitisha tuna mtu wa aina gani.


Hata Ivo 2025, hayupo.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Hiki nacho mojawapo ya kioja kututoa kwenye hoja ya kubadili vpengele vichache
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?

Njooo hapa acha kupotosha watu bila hivyo pepo utaisikia tu hakika mbinguni hufiki
 
Safi sana, Mkataba una shida gani? Nahamisha hili swali langu kwenye uzi wenye mkataba ili unioneshe vifungu vyenye matatizo.
Basi wewe utakuwa ama kipofu, ama hufundishiki.

Vifungu vyenye matatizo watu wamevitaja tangu siku ya kwanza. TLS wameorodhesha vyote, wakaweka na ushauri, wakakueleza na madhara ya kila kimoja. Kama hujaelewa mpaka sasa, basi wewe huwezi kuelewa chochote milele.
 
Back
Top Bottom