hatibubakari
New Member
- Mar 8, 2019
- 3
- 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe ishu ilikuwa hiyo nilishangaa mbona mdogo wetu anakomaa na ufunguo wa posta wakati wengine tunakomaa na ufunguo wa gari?Nimeandika sana barua...hamna kitu kilikuwa kinauma kama niende posta nikute baba hajalipia sanduku limefungwa. Nadhani home walikuwa hawaelewi kwann nakaa na funguo ya posta
tupe kisa hicho mkuu je alikukubalia au aligoma?Niliwahi kupigwa mvua ya mawe giza limeshaingia halafu nyumbani mbali kinoma na natembea kwa miguu daaah!
hahahah hatariSimu zimesadia sana.. Vikwazo vilikuwa vingi sana..kuna vitu vilinipa shida sana..timing ya muda.. makaka wa binti..na majirani kwa umbea.. Sasa hivi unakula Dada wa mshikaji kimyakimya.
kabisa unajitoa muhanga😀😀 kiongoz kipind icho nasikia walikua wanaweka barua mlangoni kisha wanaponda batini potelea mbal atoke mama baba watajua wenyewe
mkuu usitunyime story hii aisee1994 ilinihusu. sitaki kusimulia kabisa, naona chaji inaisha na Tanesco wamekata.
cc. mwl. Spenser Niboye
cc. Deus James Kagayo
Niliwahi kupigwa mvua ya mawe giza limeshaingia halafu nyumbani mbali kinoma na natembea kwa miguu daaah!
Nilisotea kwa miaka kadhaa baada ya kuwa kila nikikata tamaa yy ananiibukia na zile za siku hizi unanikaushia sana, bas najisogezasogeza najua yes mambo yanaiva lakini holaaa hadi siku moja nikabahatika kumuona akiendea maji mtoni (ilikuwa kijijini) nikamvizia tukakutana tulibingirika kama robo saa hataki kuachia mapaja wazi aseeeee niliachia bao moja la hewani ova mshale ile shaaaaaaaaa, nikamwacha nikaondoka nikijua ndio bas teena nimemshindwa.tupe kisa hicho mkuu je alikukubalia au aligoma?
Mbio wapi mvua kubwa inanyesha halafu radi za kufa mtu barabara za vijijini utelezi wa kufa mtu we acha tu papuchi kitu yingine kbs daaaahHaaa haaa pole sana sipati pic hizo mbio kisigino kilikuwa kinagusa kichogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini cha muhimu nyapu ipatikane haijarishi unatumia njia gani....!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wa matusi me ndio ilikuwa kila akitukana ananichochea hadi napiga magoti kwa kumbembeleza anikubalie puchi ni noma aseeeUnateseka kumvizia njiani week nzima na siku ya kwanza ukibugi unakula matusi.
Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
Mbio wapi mvua kubwa inanyesha halafu radi za kufa mtu barabara za vijijini utelezi wa kufa mtu we acha tu papuchi kitu yingine kbs daaaah
Bahati nzuri hakuna fisiHaaa haa kijijini kwenu vipi fisi hawakuwepo? Pole sana lakini ulimpata baadaye!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha tulipokuwa tunasoma somo la physics enzi hizo form 1. Importance of studying science. Mojawapo iliandikwa ubaoni na mwalimu: Science makes life easier. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Bahati nzuri hakuna fisi
Baada ya kusotea saaana alikuja kunipa mwenyewe kwa hiyari yake tukakulana