Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Nilivyoona hiki kipande.ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...
Nimeishia hapa.
Hii ni Chai all The way from Mufindi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilivyoona hiki kipande.ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...
Acha uchoyo hata bible haipendi.TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...
Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾
Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.
Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
View attachment 3203476
Ntakuzibua Lamomy 😆😆😆Jobless_Billionaire umeona kigamboni maweni hiyo kulivyokucha 😹😹
Hapo nyuma yake kinatakiwa kikae kijeba cha miraba minne toka kanda ya ziwa Kimbashie kama wapo kwenye BashiHuyo anayebinuka sarakasi tandabui mweusi ndo yeye 😹😹
Yeye ndo chairman wao si umeona anavyoyarudi, watu weweeeeh.!! Kigamboni safiiiiii
Nyash nyash
Tena kijeba haswaah kilichokuwa nyampara jela ndo kinamfaa auntie Vee 😹😹🤣🤣Hapo nyuma yake kinatakiwa kikae kijeba cha miraba minne toka kanda ya ziwa Kimbashie kama wapo kwenye Bashi
Tena kisiwe kimewahi kula hizi fast foods. Kinatakiwa kiwe kinakula ugali wa mtama na kisamfu ambacha hakijatwangwa, kinashushia na maji ya mtoni yenye vyura wengiTena kijeba haswaah kilichokuwa nyampara jela ndo kinamfaa auntie Vee 😹😹🤣🤣
Ila ana miuno ray c anasubiri aweehh 🤣
Kutoa msaada mkuu 😁We jamaa Sasa umsaidie Nini??🤨🤨🤨
Aaaaah ngoja tuoneeKutoa msaada mkuu 😁
Dah boss umerudi tulikumiss sanaSasa wewe wakomeshe lala nao bila kuwaomba hela
Sad Truth 🥹!Sasa usiseme hivyo🥺
Havinaga muda!Endelea kula utatuletea mrejesho