Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Na uzee huu uniletee drama utajichosha bureKabisa mkuu, sema hizi drama nazo zinachosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na uzee huu uniletee drama utajichosha bureKabisa mkuu, sema hizi drama nazo zinachosha.
🤣🤣🤣 sema kweli??Mbona mimi hilo geni?
nilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho nikawa naomba misamaha bas tuyajenge lakini mnajua mumivu ya kua ignored? hakuna majibu, sijjibiwa chohote nikajiongeza mtoto wa kike nikaendelea na maisha yangu, mwanzoni niliishi kwa tabu sababu bado nilijua kuna siku atanitafta ilipofika mwaka nikasema huyu si wangu tena.
nikaendelea na maisha yangu, et baada ya ten good fucking years huyu kiumbe amerejea with a just simple excuse, jaman sijalala nina hasira mpaka muda huu nawezaje kuondoa kinyongo nawezaje, najua utasoma hii thread, kinachoniumiza ni kuona naonewa mwenzenu, i tried to search a version of him kwa watu ambao nimekutana nao baada yake, hakuna aliemfikia, he was so special lakini kwa alionitendea sina ham naye
D, nilikupenda ukanilipa unayostahili, ni heri usingejileta umenifanya napata flashbacks kibao najitahidi kukusahau lakini nashindwa kinachoishi moyon mwangu ni hasira na chuki, nawezaje kuondoa hii hali wenzangu nisaidieni.
Usijifanye umesahauMzee yupi mkuu?
Wake Na Mume wako Ila unapata Wa dizain ganiTukiwaambia Jamii hakuna Mke / Mume / Mpenzi hamuelewi! Mtajuana, hata usipomsamehe ni sawa tu.
😂😂 Utasema tuMzee yupi mkuu?
Anazuga 🤣🤣🤣Usijifanye umesahau
Wake Na Mume wako Ila unapata Wa dizain gani
Anaweza kusahau si unajua ana foleni?😂Anazuga 🤣🤣🤣
Basi za mkoa kazipanga 😂😂Anaweza kusahau si unajua ana foleni?😂
Wakuu mnanionea sana!
Nitakusema kwa Patience123 😂😂😂Wakuu mnanionea sana!
Aaaah, huyu hata hanikumbuki nadhani!!Nitakusema kwa Patience123 😂😂😂
Atapigwa tukio gani zaidi?Hivi watu bado mnaburuzwa na mapenzi kiac hiki jamani 🤔
Mtu alishakukataa muda mrefu tu imepita miaka kumi afu we bado unamuwaza?
Nenda tu ukapigwe tukio lingine ili akili zikukae sawa.
Hawezi kukusahau kamwe.Aaaah, huyu hata hanikumbuki nadhani!!
damn[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Amekuja tena ale asepe..... wanaume wa humu wanatuona tuna njaa na mahusiano ndo maana wanatuchukulia poa.....we Cha kufanya akikuambia I love you mjibu I love you too.....sikutaki mjibu sawa....narudi kwako Nisamehe mjibu sawa rudi nimekusamehe......nataka papuchi....mjibu sawa njoo unitombe.....Kuna muda mapenz yakera mpaka huwez mwamini yeyote [emoji57]