ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Kumbe hata hayakuwahi kufanyika, pole sana mkuu.hivi unajua hatukuwah kukutana kimwili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hata hayakuwahi kufanyika, pole sana mkuu.hivi unajua hatukuwah kukutana kimwili?
mimi tena?😂😂😂 Achana nao tafuta kina G hao wafuta machozi ya wadada km wewe
d ni jina lake halisi alibadili id sjajua hio id mpya hata hivyo ngoja niendelee tubna maisha yanguHiyo D ni initial ya ID yake au ndio jina lake? Tunataka tuanze kufukunyua mkuu.
Hii ID ya mamaafacebook ilipotea sana, kumbe ililizwa na mwamba wa jf.
Watu tuna dhambi nyingi sana.
hapana haitatokea na sitaruhusu inekua kama ajali kunipata hukooooo linkedin ndio nikapata hizi flashbackShida ya haya mambo bn hayana mbabe, tunaweza kukusahauri hv lkn moyo wako unataka vingine ila akili yangu inaniambia ni suala la mda tu unaelekea kibla
Ndio wewe, sasa km D haieleweki si unaachana nayo unaendelea na E au Gmimi tena?
Mzee wa loose ball hapo vipi akiendelea na herufi inayofatia kuna tatizo km D inasumbua?? 😂😂Kumbe hata hayakuwahi kufanyika, pole sana mkuu.
Kila la kheri dada kikubwa Linda moyo wako kuliko vyotehapana haitatokea na sitaruhusu inekua kama ajali kunipata hukooooo linkedin ndio nikapata hizi flashback
Endelea na maisha yako mkuu, humu tunaingia kwa kunyata manake mambo ni mengi.d ni jina lake halisi alibadili id sjajua hio id mpya hata hivyo ngoja niendelee tubna maisha yangu
mapenzi yake kwangu yalishakufa ndugu yanguNdio wewe, sasa km D haieleweki si unaachana nayo unaendelea na E au G
Au bado unampenda D? 😂
🤣🤣🤣anasema hiyo ni initial ya nyumbani, sie tulitaka ya JF mkuu.Mzee wa loose ball hapo vipi akiendelea na herufi inayofatia kuna tatizo km D inasumbua?? 😂😂
asante sanaKila la kheri dada kikubwa Linda moyo wako kuliko vyote
kuna ile bond ilikua kali sana🤣🤣🤣anasema hiyo ni initial ya nyumbani, sie tulitaka ya JF mkuu.
Hata hivyo hawakuwekana, sioni tatizo lolote hapo.
alinitengenezea bond ambayo haina mfano ila ndio hivyo haikua yanguEndelea na maisha yako mkuu, humu tunaingia kwa kunyata manake mambo ni mengi.
Hata hivyo, mbona una hisia kali namna hii? Yaani mimi najua nikimkula mtu ndio anaweza kuumia, kumbe hata bila kuonana watu mnaumia kabisa?
Bond? Ignore him once and for all, siku hizi hatupendani mkuu.kuna ile bond ilikua kali sana
ndio kitu nimefanya, kila mtu aendelee na maisha yakeBond? Ignore him once and for all, siku hizi hatupendani mkuu.
D ishapitwa na wakati achukue namba E au sio 😂😂🤣🤣🤣anasema hiyo ni initial ya nyumbani, sie tulitaka ya JF mkuu.
Hata hivyo hawakuwekana, sioni tatizo lolote hapo.