mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,536
- Thread starter
- #141
umetaja hio gar hahaha mara ya mwisho alinunua ukute unamjuaKama yule mmiliki wa kluger wa kule moro town
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umetaja hio gar hahaha mara ya mwisho alinunua ukute unamjuaKama yule mmiliki wa kluger wa kule moro town
mkuu hahahhaha hii kaliEeh!! Kumbe watu mko serious humu na hamsemi?? 😂😂😂
Sema kina D wote ni dog km dog zingine
D- Dick, Devil na baba yao DP world sio wa kuweka nao mazoea kabisa!! Pole mama fesibuku 😂😂
hundred percentUnauhakika sio mm???
Mtu kuwa wa hovyo ni mtazamo wa mtu tu.Kuna watu jukwaani huwa wanajifanya wastaarabu na wakongwe ila ukiambiwa ni wa hovyo unashindwa kuamini 😁😁
sikuwahi kula hela yake.😂😂kuna binadamu wanapenda vibaya mno. Au mwamba alikua vizuri kutuma na yakutolea
Mkumbushe na sisi tujue jinsi ya kutoa ushauri my 😜tena wewe unyamaze wewe ndio sababu ya yote haya au unataka nikukumbushe ukichokifanya, kaa mbali
Kuwa makini nae sana!et eh
are you sure?Mtu kuwa wa hovyo ni mtazamo wa mtu tu.
Inategemea mtoa taarifa ana uelewa gani.
Mara nyingi watu wa hovyo ndio huanza kujitetea
Amezikosea sana....Inashangaza hayo ndio matumizi mabaya ya upendo, unaumia for 10yrs kweli amezikosea sana hisia zake.
nimemstiri miaka yote hio nitamsitiri tena na tena yaliyopita yalishapitaMkumbushe na sisi tujue jinsi ya kutoa ushauri my 😜
Mama kinyongo shikamoo😂Watu wanaoowaacha wenzi wao kwa nyodo kama zote alafu badae wanarudi huwa siwaelewi. Hii ni dharau iliyovuka mipaka watu wa hivi hawastahili kabisa nafasi ya pili. Achana nae huyo hakufai.
uko sahihiAmezikosea sana....
Na amekosea watu wengine pia...Maana inawezekana alikuwa anapata watu then hawajali wala nini sababu akili ipo kwa jamaa bado...
Ni huzuni aiseee..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]Mleta mada mwambie huna K tena ulipata shida kwenye uzazi/ajali kwa hiyo K iliondolewa mazima.
Huyo jamaa anataka kunyandua tu hana mapenzi nawe hata chembe (msela Mavi tu)
KWema mpendwa, naona uzi mnaupeleka siko😂Kwema mkuu
Sio saanaa.are you sure?
Kwenye moto tunachochea kuni 😁😁KWema mpendwa, naona uzi mnaupeleka siko😂
😂😂😂 Achana nao tafuta kina G hao wafuta machozi ya wadada km wewemkuu hahahhaha hii kali
kuonana, hahahahhaa ngoja niebdeleeeHuyu ingetokea ameliwa basi angeenda hata kulipua mabomu pale JF HQ, maxence melo angeshitakiwa kwa kuanzisha jf, yani kwa ufupi member wote wa jf tungepata tabu sana imagine hizi hasira huyo mtu hata hawakuwahi kuonana physical, nyieee!
okaySio saanaa.
Na post hii haikuhusu uzi wako bali nilimjibu Nuzu plz