Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
Sasa mtu hata hajakula papuchiii amekuumizaje naweeee!(in baba levo's voice)hivi unajua hatukuwah kukutana kimwili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mtu hata hajakula papuchiii amekuumizaje naweeee!(in baba levo's voice)hivi unajua hatukuwah kukutana kimwili?
ubarikiwe sanaAchana nae ila kama hakuna kilicho happen mpotezee hakukuelewa
Nimeshangaa pia..I dont knw ila nashangaa unaumiaje 10 yrs na hamkukulana
we chineduuu! Hahaha😂😂😂😂 chinekee
shaur yakePole labda alikuwa anakutaka
love uu Yeye!!😍😍Amekuja tena ale asepe..... wanaume wa humu wanatuona tuna njaa na mahusiano ndo maana wanatuchukulia poa.....we Cha kufanya akikuambia I love you mjibu I love you too.....sikutaki mjibu sawa....narudi kwako Nisamehe mjibu sawa rudi nimekusamehe......nataka papuchi....mjibu sawa njoo unitombe.....Kuna muda mapenz yakera mpaka huwez mwamini yeyote 😏
Naona kina D mna matukio sana sijamaanisha wewe 😂Kwahiyo me sikuhizi nakula ma manzi ama unataka kusemaje we mzungu? 🙂
Kuna watu jukwaani huwa wanajifanya wastaarabu na wakongwe ila ukiambiwa ni wa hovyo unashindwa kuamini 😁😁yeah bold and underline
Mtoto wa kiume kuandika upuuzi kama huu ni dalili mbaya mno.nilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho nikawa naomba misamaha bas tuyajenge lakini mnajua mumivu ya kua ignored? hakuna majibu, sijjibiwa chohote nikajiongeza mtoto wa kike nikaendelea na maisha yangu, mwanzoni niliishi kwa tabu sababu bado nilijua kuna siku atanitafta ilipofika mwaka nikasema huyu si wangu tena.
nikaendelea na maisha yangu, et baada ya ten good fucking years huyu kiumbe amerejea with a just simple excuse, jaman sijalala nina hasira mpaka muda huu nawezaje kuondoa kinyongo nawezaje, najua utasoma hii thread, kinachoniumiza ni kuona naonewa mwenzenu, i tried to search a version of him kwa watu ambao nimekutana nao baada yake, hakuna aliemfikia, he was so special lakini kwa alionitendea sina ham naye
D, nilikupenda ukanilipa unayostahili, ni heri usingejileta umenifanya napata flashbacks kibao najitahidi kukusahau lakini nashindwa kinachoishi moyon mwangu ni hasira na chuki, nawezaje kuondoa hii hali wenzangu nisaidieni.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kitamrambaaa....Ataliwa abaki analia na moyo
umesoma thread vizur rubii?Tangu uzaliwe wangapi walishakutenda hivyo au ni huyo tu D???
Na kuliwa hakuliwa, watu wana hisia kali nyie khaaa.Nimeshangaa pia..
10 years ni kitu gani hicho kilichokuwa kinamuumiza hivyo...
Bado na ule mwaka mmoja aliokuwa anambebembeza D...watu wako na mioyo aisee..
Inashangaza hayo ndio matumizi mabaya ya upendo, unaumia for 10yrs kweli amezikosea sana hisia zake.Nimeshangaa pia..
10 years ni kitu gani hicho kilichokuwa kinamuumiza hivyo...
Bado na ule mwaka mmoja aliokuwa anambebembeza D...watu wako na mioyo aisee..
huyo ni mmojawapo, tena mtu wa hovyo hovyoKuna watu jukwaani huwa wanajifanya wastaarabu na wakongwe ila ukimbiwa ni wa hovyo unashindwa kuamini 😁😁
Duh ndio alikupeperushia ndege wako, mwenzio hakutaka maswala ya kuwekana dpshaur yake
If that's the case, she can just take the mofo to court and be done with him for good (if she can) 😁😁🏃🏿♂️Jamaa ana mguu wa tembo. Kaharibu njia haipitiki sasa.
Mawazo ya kishetani haya aisee🤣🤣
Masijala tumechukua file lake tayari 😂Kuna watu jukwaani huwa wanajifanya wastaarabu na wakongwe ila ukimbiwa ni wa hovyo unashindwa kuamini 😁😁
sasa ndio huyo d et akanuna baba zima na ndevu zake kaa mbuzi maisha hayaDuh ndio alikupeperushia ndege wako, mwenzio hakutaka maswala ya kuwekana dp
hahaha hi sikuiona jamaniSkia badili gear angani nichukue mimi naitwaga pia dege john a.k.a D john