Nawezaje kuacha kuishi na kinyongo kwa mtu huyu

Nawezaje kuacha kuishi na kinyongo kwa mtu huyu

Mapenzi ni ka ugonjwa ka laana.

Pole,mpe ile ya kukojolea kinyongo kitaisha.
 
Utakosa vitu vizuri, hata mazao hudumaa yakikosa mvua, lkn mvua ya pili inaweza kuyafufua then ongeza na mbplea utavuna vizuri tu.

Kinyongo ni ujinga...asomaye na aelewe
Ni kasoro za kibinadamu rafiki. Naamini nitakaa sawa
 
Amekuja tena ale asepe..... wanaume wa humu wanatuona tuna njaa na mahusiano ndo maana wanatuchukulia poa.....we Cha kufanya akikuambia I love you mjibu I love you too.....sikutaki mjibu sawa....narudi kwako Nisamehe mjibu sawa rudi nimekusamehe......nataka papuchi....mjibu sawa njoo unitombe.....Kuna muda mapenz yakera mpaka huwez mwamini yeyote [emoji57]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahahhaa nmecheka eti " sawa njoo unit**mbe" jf ina raha sana
 
pandora box linatafutiwa funguo.....
ngoja nikunje nne hapa
 
nilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho nikawa naomba misamaha bas tuyajenge lakini mnajua mumivu ya kua ignored? hakuna majibu, sijjibiwa chohote nikajiongeza mtoto wa kike nikaendelea na maisha yangu, mwanzoni niliishi kwa tabu sababu bado nilijua kuna siku atanitafta ilipofika mwaka nikasema huyu si wangu tena.

nikaendelea na maisha yangu, et baada ya ten good fucking years huyu kiumbe amerejea with a just simple excuse, jaman sijalala nina hasira mpaka muda huu nawezaje kuondoa kinyongo nawezaje, najua utasoma hii thread, kinachoniumiza ni kuona naonewa mwenzenu, i tried to search a version of him kwa watu ambao nimekutana nao baada yake, hakuna aliemfikia, he was so special lakini kwa alionitendea sina ham naye

D, nilikupenda ukanilipa unayostahili, ni heri usingejileta umenifanya napata flashbacks kibao najitahidi kukusahau lakini nashindwa kinachoishi moyon mwangu ni hasira na chuki, nawezaje kuondoa hii hali wenzangu nisaidieni.
Mpe mzigo huo.


SIMPLE!!
 
Nnakuandikia maneno machache tu: UNACHOKITAFUTA UTAKIPATA NA JAMAA KAJA NACHO NA UTAKIPATA, nnasemajeee KIPO NA UTAKIPATA maana umegoma kutumia akili unataka kuja kusema MOYO WANGU ULIKATAA ILA WANA JF NDIO WALINISHAURI. Sisi wanajukwaa hatuhusiki na ujinga wako
 
Huyo jamaa yako atakunasa kiulaini sana,kitendo cha kuanzisha hii thd kinaashiria kua jamaa atatafuna tena tu tunda.
 
Hakuna mwanamke anazaliwa cold hearted, ni wazi sisi wanaume ndio sababu ya yote hayo. Una kuta demu kapigwa matukio huko nyuma, ukikutana nae ww leo anakuwa keshakuwa sugu hahah.
That's it my man
 
Kumbe kuna watu wapo serious humu ivi[emoji23][emoji23]
 
Amekuja tena ale asepe..... wanaume wa humu wanatuona tuna njaa na mahusiano ndo maana wanatuchukulia poa.....we Cha kufanya akikuambia I love you mjibu I love you too.....sikutaki mjibu sawa....narudi kwako Nisamehe mjibu sawa rudi nimekusamehe......nataka papuchi....mjibu sawa njoo unitombe.....Kuna muda mapenz yakera mpaka huwez mwamini yeyote [emoji57]
Unakuwa kama umemziria ivi[emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom