Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kasoro za kibinadamu rafiki. Naamini nitakaa sawaUtakosa vitu vizuri, hata mazao hudumaa yakikosa mvua, lkn mvua ya pili inaweza kuyafufua then ongeza na mbplea utavuna vizuri tu.
Kinyongo ni ujinga...asomaye na aelewe
Hili jibu ni zuri sana, nimekupenda bureNi kasoro za kibinadamu rafiki. Naamini nitakaa sawa
Hahaha we mzee wewe.legendary nasema: alishaliwa sio chini ya raundi 5
hujaliwa
hujaguswa popote unalia nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahahhaa nmecheka eti " sawa njoo unit**mbe" jf ina raha sanaAmekuja tena ale asepe..... wanaume wa humu wanatuona tuna njaa na mahusiano ndo maana wanatuchukulia poa.....we Cha kufanya akikuambia I love you mjibu I love you too.....sikutaki mjibu sawa....narudi kwako Nisamehe mjibu sawa rudi nimekusamehe......nataka papuchi....mjibu sawa njoo unitombe.....Kuna muda mapenz yakera mpaka huwez mwamini yeyote [emoji57]
hahah mwamba alipiga kwenye mshono.😂😂kuna binadamu wanapenda vibaya mno. Au mwamba alikua vizuri kutuma na yakutolea
Mpe mzigo huo.nilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho nikawa naomba misamaha bas tuyajenge lakini mnajua mumivu ya kua ignored? hakuna majibu, sijjibiwa chohote nikajiongeza mtoto wa kike nikaendelea na maisha yangu, mwanzoni niliishi kwa tabu sababu bado nilijua kuna siku atanitafta ilipofika mwaka nikasema huyu si wangu tena.
nikaendelea na maisha yangu, et baada ya ten good fucking years huyu kiumbe amerejea with a just simple excuse, jaman sijalala nina hasira mpaka muda huu nawezaje kuondoa kinyongo nawezaje, najua utasoma hii thread, kinachoniumiza ni kuona naonewa mwenzenu, i tried to search a version of him kwa watu ambao nimekutana nao baada yake, hakuna aliemfikia, he was so special lakini kwa alionitendea sina ham naye
D, nilikupenda ukanilipa unayostahili, ni heri usingejileta umenifanya napata flashbacks kibao najitahidi kukusahau lakini nashindwa kinachoishi moyon mwangu ni hasira na chuki, nawezaje kuondoa hii hali wenzangu nisaidieni.
Ndo nani tena?Kama yule mmiliki wa kluger wa kule moro town
Me moo😉love uu Yeye!!😍😍
That's it my manHakuna mwanamke anazaliwa cold hearted, ni wazi sisi wanaume ndio sababu ya yote hayo. Una kuta demu kapigwa matukio huko nyuma, ukikutana nae ww leo anakuwa keshakuwa sugu hahah.
Msitufanyie ivo jamanHuyo jamaa yako atakunasa kiulaini sana,kitendo cha kuanzisha hii thd kinaashiria kua jamaa atatafuna tena tu tunda.
Pole cutekuna vitu sijataka kuvidisclose na baada ya hayo mambo niliyafukia moyoni msione watu jf wastaarab msione nje ya jf ni wapuuz watu wazima hawana akili
Bas usirudi tena cute... kabisahivi unajua hatukuwah kukutana kimwili?
Unakuwa kama umemziria ivi[emoji119][emoji119]Amekuja tena ale asepe..... wanaume wa humu wanatuona tuna njaa na mahusiano ndo maana wanatuchukulia poa.....we Cha kufanya akikuambia I love you mjibu I love you too.....sikutaki mjibu sawa....narudi kwako Nisamehe mjibu sawa rudi nimekusamehe......nataka papuchi....mjibu sawa njoo unitombe.....Kuna muda mapenz yakera mpaka huwez mwamini yeyote [emoji57]
🤣🤣🤣🤣🤒Unakuwa kama umemziria ivi[emoji119][emoji119]