Nawezaje kuacha kuishi na kinyongo kwa mtu huyu

yaani ten years, you have not grown up ukajua namna ya kukabiliana na mtu kama yeye?
 
Amezikosea sana....

Na amekosea watu wengine pia...Maana inawezekana alikuwa anapata watu then hawajali wala nini sababu akili ipo kwa jamaa bado...
Ni huzuni aiseee..
Ni huzuni kuu hakuna kitu kibaya kama kumsubiri mtu ambaye hujui atarudi lini na atarudi na nini. Muda nao unakimbia 10 yrs sio poa
 
Kuna malengo ya muda mfupi na malengo ya muda mrefu; timizeni kwanza lengo la muda mrefu kwanza
 
That's it my man
kabisa, hali ni mbaya sana nowdays, mabinti wengi wamekuwa sugu, mioyo yao imekuwa ya baridi mno, hawajali tena. Kibaya zaidi wengi yanawakuta haya katika umri mdogo sana, sasa imagine unaingia kwenye mahusiano na mtu kama huyo, what do you expect? Once ukirealize hii huwezi kulaumu bali inabidi uelewe situation na muhusika.
 
eti hatujakutana kimwili lakini ninauchungu nae🤣🤣🤣

wee malaya kama joannah tuu

mwamba katoa helazake kwenda kugongwa hutaki.unategemea afanye nini?
 
Hebu zunguka huku mabanda ya uani tuzungumze kidogo
 
Baby acha kuniita D, mi napenda uendelee kuniita DUBULIHASA kama zamani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…