mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,536
- Thread starter
-
- #61
kuna vitu sijataka kuvidisclose na baada ya hayo mambo niliyafukia moyoni msione watu jf wastaarab msione nje ya jf ni wapuuz watu wazima hawana akiliIlinikuta hiyo.....six years we Kaz yako inakuwa Kuwait ore wengine Kwa ajili ya fisi mmoja....long distance relationship is not good aisee
nimeelewa tiba pekee ni kusamehe na kudili na maisha yanguBila sababu? Sababu ipo ni kuwa hakukupenda mama ila hii huwa ni ngumu kuipokea hasa kwa mtu ambae unampenda
Ila mmewahi kuonana?hivi unajua hatukuwah kukutana kimwili?
Kwamba gegedo ni lile lile? Hapana hii nakataa ππππAnother single mama in waiting.
Wanawake huwa mna extra thoughts linapokuja suala la mahaba.
Zunguka bucha zoote, lakini gegedo ni lile lileπ€£... bibie kafa kaoza anatafuta hoja za kumfariji humu ili asongembele na jamaa yake aliyebeba kifo chake mkononi
Naomba nikwambie ukweli huu mchungu Mwanaume hawezi kumuacha Mwanamke anayempenda kirahisi hawezi huyo wako hakuwahi kukupenda hata sasa alivyorudi.kuna vitu sijataka kuvidisclose na baada ya hayo mambo niliyafukia moyoni msione watu jf wastaarab msione nje ya jf ni wapuuz watu wazima hawana akili
Hapo vizuri endelea na maisha yakonimeelewa tiba pekee ni kusamehe na kudili na maisha yangu
hapana jina lake kiuhalisia linaanza na d sio la jf
Naunga mkono hoja huu n ukweliNaomba nikwambie ukweli huu mchungu Mwanaume hawezi kumuacha Mwanamke anayempenda kirahisi hawezi huyo wako hakuwahi kukupenda hata sasa alivyorudi.
Mbona tunaambiwaga k ni ile.ile.hata tuzunguke vipi?π€£Kwamba gegedo ni lile lile? Hapana hii nakataa ππππ
kwa kweliNaomba nikwambie ukweli huu mchungu Mwanaume hawezi kumuacha Mwanamke anayempenda kirahisi hawezi huyo wako hakuwahi kukupenda hata sasa alivyorudi.
Depal πhapana jina lake kiuhalisia linaanza na d sio la jf
Ataliwa abaki analia na moyoKibaya zaidi kaishi muda wote huo akiwa anamsubiria, nmesema anamsubiria kwa sababu bado ana hasira na kinyongo, kambeba miaka yote hiyo hatimaye D amerudi.
Katika kipindi anapaswa kuwa makini kimaamuzi ni hiki vinginevyo ajitoe muhanga liwalo na liwe ili auridhishe moyo.
tena wewe unyamaze wewe ndio sababu ya yote haya au unataka nikukumbushe ukichokifanya, kaa mbali
Moyo unaumiaga vibaya acha kabisaAtaliwa abaki analia na moyo
kuliwa? halikutokea kabla unadhani litatokea baada?Ataliwa abaki analia na moyo
Aah wapi hazifanani bwana huu ndio ukweli na unajua [emoji23][emoji23]Mbona tunaambiwaga k ni ile.ile.hata tuzunguke vipi?[emoji1787]
Jamaniii hawa member wa zamani si wanasema ya mwanzo jf ilikuwa haina vijana wa hovyo imekuwaje tena ππππtena wewe unyamaze wewe ndio sababu ya yote haya au unataka nikukumbushe ukichokifanya, kaa mbali
id yake sjajua anaitwaje, ila nje ya jf jina lake linanza na d