Alikuwa anabadilikaje? Na aliacha tu bila ushauri wa daktari?aliacha na pia alikuwa haruhusiwi kazi ngumu. Kuna mda anabadilika mpaka jasho
Pole sana mkuu. Ugonjwa wa moyo unatibika vizuri tu na unapona kabisaWakuu, mimi nasumbuliwa na Left ventricular hypertrophy, imesababishwa na high blood pressure.. kwa muda sasa natumia propranolol na kwa kiasi chake imenisaidia kupunguza symptoms. Swali langu ni je, huu ugonjwa wa moyo unapona na kama ndio, unachukua muda gani kupona ?
Hakika akizingatia hata anamalizana na tatizo, hii hata ilishanikuta ni kwa advance nikapitia hizi na sa hivi nishasahau tatizo lenyeweHuwezi kuacha dawa until umeanza method nyingine za kukusaidia.
1.Punguza matumizi ya chumvi au acha until urecover
2.Kama weight yako ni kubwa itabidi upunguze up to normal range ( body mass index)
3.Fanya mazoezi regular kwa wiki Mara tatu au nne kwa 45 min ...inaweza kuwa simple jogging ( sio magumu ya kukosa hewa)
4.zidisha matunda na mbogamboga kwa wingi .kula spiecies zote muhimu Kwa wingi Kama mdalasini, kitunguu swaumu ,FLAX SEED etc
5 .piga chini junk foods like chips and processing foods .
Zingatia hayo kwa makini
Nashukuru sana mkuu..Pole sana mkuu. Ugonjwa wa moyo unatibika vizuri tu na unapona kabisa
Naomba namba zakoNashukuru sana mkuu..
ashakufa jamaaAlikuwa anabadilikaje? Na aliacha tu bila ushauri wa daktari?
+256 789967544 .. hizo hapo mkuu.Naomba namba zako
Upo uganda mbona?+256 789967544 .. hizo hapo mkuu.
Unatibika vipi?Pole sana mkuu. Ugonjwa wa moyo unatibika vizuri tu na unapona kabisa
Kwa kutumia dawa zipo nyingi tu za hospital na kufuata mashart ya madaktariUnatibika vipi?
Moyo ulitanuka au ilikuaje?aliacha na pia alikuwa haruhusiwi kazi ngumu. Kuna mda anabadilika mpaka jasho
Ulitumia dawa gani?Hakika akizingatia hata anamalizana na tatizo, hii hata ilishanikuta ni kwa advance nikapitia hizi na sa hivi nishasahau tatizo lenyewe
Sawa mkuu, nitakucheki kwani nina changamoto kidogo.Kwa kutumia dawa zipo nyingi tu za hospital na kufuata mashart ya madaktari
Soma post nliyoireply hapo juuUlitumia dawa gani?
Acha masikhara kwamba mleta mada alishakufa!!??ashakufa jamaa