Nawezaje kuachana na mwanaume mbabe anayeniingilia kinyume?

Umenitamanisha sana nipe number yako tujue tunaanzia wapi hiyo kesi yako mimi ni mwanasheria nitakusaidia kisheria swala talaka za ndoa au kuachana kisheria.... tigo tam sana hata sheria inakataa niko tayari kukusaidia kuacha kutumia tope japo tope tam nyie ....tabia hii mbaya
 
Pole sana...

Mshitaki huyo kuwa anakulazikisha kufanya na anakutisha kuonyesha picha zako za utupu..

Omba Toba na Rehema kwa Mungu kwa ajili yako na kizazi chako...
Mbona na yeye ni mchepukaji na michepuko nayo anailazimisha imfanyie hivyo?

Aache kwanza kuilazimisha michepuko kisha ndo afutie huyo wa ndani.

Dah kaazi kweli kweli.
 

Speechless !!.
Comment yangu imegusa weak spot yako hadi umeshindwa kujizuia kutapika. pure fact, anal sex nishatumia that's why nimejua na wewe ni mdhoefu tuuuuu but I'm not desperate kutafuta wanaume jf especially walio mentally and emotionally weak like you. Guy don't spit your bitterness on me, sijakuumiza dearest
 
Ushauri mzuri huu...
 
Si kichambo hiki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆🙌
 
Mungu aturehemu kwa haya mambo tunayoyafanya. Yakupasa kufanya toba ya kweli na ukusudie kaacha kabisa kitendo hicho kibaya.
 
Komaa nae tu, sasa mkiachana nani atakuoa? Wewe mwenyewe umeshakuwa fundi, kama yeye hawezi kubadilika unafikiri wewe utabadilika?
 

Ok, sawa naomba nikushauri kiprofessional sasa mimi kama [mention]Mr Chromium [/mention]

Huyo jamaa ni manipulator kwanza ufahamu!!
Na mtu wa hivo hutafuta kitu unachokihofia ndio hukushika nacho mateka!!…Ashajua unahofia kudharirika ndio hofu yako kwaiyo anatumia hiyo kuendelea kukushikiria mateka!!

Cha kufanya
1.Anza naww blame game : Kumuonesha yy ndio mbaya , anza kumlaumu kama analewesha watu kisha anawaingilia kinyume na maumbile,,, anza kumtishia kumchafua kwa tabia yake hyo kama anamke mtishie pia, watoto au familia yake ( Lakini usiingie kwene vita kabisa kama huna mabavu)

2.Nenda polisi dawati la jinsia andika shtaka kwamba alikurubuni na kukuingilia na analazimisha kuendelea kukuingilia na kukutisha (Andika shitaka si kwa ajili ya kumkamata kwa ajili ya tahadhari na kujilinda) hawa wapo kwa ajili ya GBV gender based violance (hyo n moja wapo) kwaiyo kama atajaribu kufanya chochote kile unaenda kuiamsha hii kesi

3.Kuwa tayari kupoteza kila kitu

“Kati ya vitu hatari duniani ni mtu”
Mtu yyte anayekutisha ni kwasababu anajua unaogopa kupoteza kitu kamwe hawa MANIPULATOR hawaendi kwa mtu mwenyewe haogopi kupoteza kitu
 
Vijana bana tena wa hovyooooooo....................eti tishia kujamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…