Nawezaje kuachana na mwanaume mbabe anayeniingilia kinyume?

Nawezaje kuachana na mwanaume mbabe anayeniingilia kinyume?

Mama mchungaji kipenzi changu mtumishi Lamomy

Hili nilishalitolea ushauri mujarabu mapema sana, labda nirudie tena na kuongeza kidogo....

Kwanza lazma uelewe bila chembe ya shaka anaekuingilia kinyume cha maumbile hakupendi na hana upendo na wewe hata kidogo kama chembe ya haradali.Huyu ni adui mkubwa wa utu, afya, utakatifu na zawadi ya Uhai aliokujalia Mwenyezi Mungu...
Hilo la kwanza....

Jambo la pili,
kuingiliwa kinyume cha maumbile kwa wana ndoa ni sababu toshelezi kabisa isiyo na shaka ya kutenguliwa kwa ndoa.
Kwasbabu tutapitia vipimo vya afya na kuthibitisha uharibifu huko nyuma na ikithibitika pamoja na maelezo ya wahusika, basi ndoa ile itatenguliwa bila tashwishwi wala wasiwasi wowote na kanisa, msikiti au mahakamani.....

Ushauri wangu kwa bidada huyu mpendwa ni wa wazi kabisa kwenye point yangu ya kwanza. Aachane na huyo firauni asiejali utu wake na anaeharibu afya na kuhatarisha Uhai wake..

Kwako Mama mchungaji....
Safi 😀
Sasa tumekubaliana kwanini kule kwa yule firauni mwingine ulikataa ukawa unamtetea? Ulikuwa unamtetea mwanaume mwenzio?
Yule mwanaume mshenzi wa kule anakoelekea atafanya km alichofanyiwa huyu bi dada
 
Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.

Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani ninaweza pata msaada angalau nikafanikiwa kumaliza hili tatizo kama sio kulimaliza kabisa.

Historia yangu inaanzia miaka kama 5 iliyopita, nilipata mwanaume ambae kiukweli tulipendana sana, ingawa alikuwa amenizidi umri, hilo sikulizingatia kwa sana.

Tulianza mapenzi na baada ya muda wa kama miezi 4 akaanza kunilazimisha aniingilie kinyume na maumbile nami kwa kuwa nilikuwa na mapenzi nae, nilikubali japo awali sikutilia maanani kama tatizo hili litakuwa kubwa.

Basi, tukawa tunaendelea na mchezo huo mpaka nikawa nazoeazoea, ikafika mahali nikawa nikichepuka, basi lazima huyo mwanaume wa pembeni ninaechepuka nae nimlazimishe aniingilie nyuma.

Ikawa tabia yangu na kiukweli niliifurahia ile hali japo nilitaka kuacha, ila naogopa kuharibu mahusiano yangu. Ikafikia hatua nachoka kufanya hayo ila najilazimisha tu.

Shida inakuja hivi, nataka niachane na hii hali na pia niachane na huyo mwanaume maana naweza jikuta naharibikiwa sana. Mwanaume amesema nikijaribu kumuacha, atanivurugia mahusiano yangu mapya kila niendapo.

Pia anadai eti ana video zangu wakati akinitendea hiko kitendo (hapo naweza nisiamimi maana hatujawahi kushika simu au kujirekodi popote wakati wa tendo).

Msaada, nifanyaje?
Nikamshtaki au nipambane nae kiume? Kwanza nitamshtaki kwa nani?

Kupambana nae najua aidha nitashinda au nitaharibu kila kitu.
njoo inbox nikushauri
 
Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.

Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani ninaweza pata msaada angalau nikafanikiwa kumaliza hili tatizo kama sio kulimaliza kabisa.

Historia yangu inaanzia miaka kama 5 iliyopita, nilipata mwanaume ambae kiukweli tulipendana sana, ingawa alikuwa amenizidi umri, hilo sikulizingatia kwa sana.

Tulianza mapenzi na baada ya muda wa kama miezi 4 akaanza kunilazimisha aniingilie kinyume na maumbile nami kwa kuwa nilikuwa na mapenzi nae, nilikubali japo awali sikutilia maanani kama tatizo hili litakuwa kubwa.

Basi, tukawa tunaendelea na mchezo huo mpaka nikawa nazoeazoea, ikafika mahali nikawa nikichepuka, basi lazima huyo mwanaume wa pembeni ninaechepuka nae nimlazimishe aniingilie nyuma.

Ikawa tabia yangu na kiukweli niliifurahia ile hali japo nilitaka kuacha, ila naogopa kuharibu mahusiano yangu. Ikafikia hatua nachoka kufanya hayo ila najilazimisha tu.

Shida inakuja hivi, nataka niachane na hii hali na pia niachane na huyo mwanaume maana naweza jikuta naharibikiwa sana. Mwanaume amesema nikijaribu kumuacha, atanivurugia mahusiano yangu mapya kila niendapo.

Pia anadai eti ana video zangu wakati akinitendea hiko kitendo (hapo naweza nisiamimi maana hatujawahi kushika simu au kujirekodi popote wakati wa tendo).

Msaada, nifanyaje?
Nikamshtaki au nipambane nae kiume? Kwanza nitamshtaki kwa nani?

Kupambana nae najua aidha nitashinda au nitaharibu kila kitu.
We endelea tu hakuna namna ujinga wako ufanye mwenyewe leo marinda yamepwaya unatushirikisha au unataka wa kukuendelezea mchezo wako nn. Hapa linatafutwa jitu la kufukua tope mtaroni
 
Wewe ni tapeli tu.

Na wala sio mwanamke View attachment 2815726
Screenshot_20231116-185129.jpg
 
Nakuona unakwepa naomba toa ushauri km uliotoa kule kwa yule firauni mwingine 😂😂😂
Mtumishi Mama mchungaji @Lamomy
Safi 😀
Sasa tumekubaliana kwanini kule kwa yule firauni mwingine ulikataa ukawa unamtetea? Ulikuwa unamtetea mwanaume mwenzio?
Yule mwanaume mshenzi wa kule anakoelekea atafanya km alichofanyiwa huyu bi dada
Mama mchungaji Lamomy kipenzi changu...
Kama mtumishi na mshirika wa haki singeweza na kwakweli hayupo wa kuweza kutoa hukumu kwa ushahidi wa meseji, tutaharibu mambo, tuumiza watu, tutaonea watu na kwakweli kusononesha watu wa Mungu. Hakuna kipimo cha kuthibitisha pasina shaka hizo meseji ni za kweli nw ni za nani. Itatuwia vigumu kitengua hiyo ndoa au uhusiano....

Ni Wito na Rai yangu kwetu sote yanapotukuta kama haya tumshirikishe Mungu kwanza na kumuomba atujajie utulivu, mbinu na maarifa mujarabu ya kujinasua katika masakata haya, ili hatimae asiwepo wa kuathirika au kuonewa katika familia husika bali haki, usawa na upendo vitamalaki.....
Ooh hallelujah....

Basi,
baada ya kusema hayo tafadhali mama mchungaji Lamomy nakuhitaji inbox mara moja kuna jambo la kifamilia nawiwa kushirikisha muda huu, ni muhimu sana...
Kwa Jina La Baba Mwana na Roho,
Amina...
 
Tafuta kondoo aliyenona kisha ule mkia wake tengeneza supu ambayo utatakiwa uinywe bila kuwekea chumvi, limao au kiungo chochote hadi mkia wote uishe. Pia hiyo siku ya kwanza utakayokuwa unaanza kunywa hiyo supu usivae kabisa viatu na wala usioge.
 
Mtumishi Mama mchungaji @Lamomy
Mama mchungaji Lamomy kipenzi changu...
Kama mtumishi na mshirika wa haki singeweza na kwakweli hayupo wa kuweza kutoa hukumu kwa ushahidi wa meseji, tutaharibu mambo, tuumiza watu, tutaonea watu na kwakweli kusononesha watu wa Mungu. Hakuna kipimo cha kuthibitisha pasina shaka hizo meseji ni za kweli nw ni za nani. Itatuwia vigumu kitengua hiyo ndoa au uhusiano....

Ni Wito na Rai yangu kwetu sote yanapotukuta kama haya tumshirikishe Mungu kwanza na kumuomba atujajie utulivu, mbinu na maarifa mujarabu ya kujinasua katika masakata haya, ili hatimae asiwepo wa kuathirika au kuonewa katika familia husika bali haki, usawa na upendo vitamalaki.....
Ooh hallelujah....

Basi,
baada ya kusema hayo tafadhali mama mchungaji Lamomy nakuhitaji inbox mara moja kuna jambo la kifamilia nawiwa kushirikisha muda huu, ni muhimu sana...
Kwa Jina La Baba Mwana na Roho,
Amina...
Lakini yule yeye mwenyewe kakiri ndiomana anaomba ushauri mke asimuache.
Kwa hili baba mtumishi unaegemea upande mmoja 😂😂😂
 
Basi, tukawa tunaendelea na mchezo huo mpaka nikawa nazoeazoea, ikafika mahali nikawa nikichepuka, basi lazima huyo mwanaume wa pembeni ninaechepuka nae nimlazimishe aniingilie nyuma
 
Habari za wakati huu wanafamilia wote wa Jamii Forums, hasa wa jukwaa hili la MMU.

Nimekuja kuleta tatizo langu kwenu hapa jukwaa ili kama kuna mtu/daktari/mtoa ushauri/mwanasaikolojia atakayeweza kunisaidia basi na aweze kunisaidia. Japo ni tatizo la aibu au la fedheha, lakini nina imani ninaweza pata msaada angalau nikafanikiwa kumaliza hili tatizo kama sio kulimaliza kabisa.

Historia yangu inaanzia miaka kama 5 iliyopita, nilipata mwanaume ambae kiukweli tulipendana sana, ingawa alikuwa amenizidi umri, hilo sikulizingatia kwa sana.

Tulianza mapenzi na baada ya muda wa kama miezi 4 akaanza kunilazimisha aniingilie kinyume na maumbile nami kwa kuwa nilikuwa na mapenzi nae, nilikubali japo awali sikutilia maanani kama tatizo hili litakuwa kubwa.

Basi, tukawa tunaendelea na mchezo huo mpaka nikawa nazoeazoea, ikafika mahali nikawa nikichepuka, basi lazima huyo mwanaume wa pembeni ninaechepuka nae nimlazimishe aniingilie nyuma.

Ikawa tabia yangu na kiukweli niliifurahia ile hali japo nilitaka kuacha, ila naogopa kuharibu mahusiano yangu. Ikafikia hatua nachoka kufanya hayo ila najilazimisha tu.

Shida inakuja hivi, nataka niachane na hii hali na pia niachane na huyo mwanaume maana naweza jikuta naharibikiwa sana. Mwanaume amesema nikijaribu kumuacha, atanivurugia mahusiano yangu mapya kila niendapo.

Pia anadai eti ana video zangu wakati akinitendea hiko kitendo (hapo naweza nisiamimi maana hatujawahi kushika simu au kujirekodi popote wakati wa tendo).

Msaada, nifanyaje?
Nikamshtaki au nipambane nae kiume? Kwanza nitamshtaki kwa nani?

Kupambana nae najua aidha nitashinda au nitaharibu kila kitu.
Njia pekee ya kupona ni kutubu kwa Mungfu na kuamua kumkaribisha Yesu katika maisha yako awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako. Na jambo hili ulifanye kwa moyo wa dhati na udhamirie kuacha dhambi na si hilo moja tu ulilolisema. Acha kabisa mahusiano nje ya ndoa. Kama unahitaji msaada wa Mungu kwa dhati omba sala hii ya TOBA: BABA YANGU WA MBINGUNI NAJA KWAKO KWA JINA LA YESU KRISTO. MIMI NI MWENYE DHAMBI, NINAOMBA UNISAMEHE DHAMBI ZANGU ZOTE NINAZOZIKUMBUKA NA AMBAZO SIZIKUMBUKI. NINAMKARIBISHA YESU KATIKA MOYO WANGU AWE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. TANGU LEO NINAMKATAA SHETANI NA KAZI ZAKE ZOTE, NINAMKUBALI YESU AWE BWANA WANGU NA MWOKOZI WANGU. ASANTE YESU KWA KUNISAMEHE NA KUNIOKOA, NINAKUOMBA YESU UNIPE NGUVU YA KUMSHINDA SHETANI NA TAMAA ZAKE ZOTE.

Kama umemwomba Mungu toba kwa dhati kupitia sala ya toba hiyo hapo juu, Mungu amekusamehe dhambi zote, na wewe pia unapaswa kujisamehe!! usijisikie mnyonge kwa dhambi zako za zamani ambazo Mungu ameshakusamehe. Ma,mbo ya kufanya:
1. Waambie rafiki zako wa karibu wote (akiwemo huyo aliyekuwa mpenzi wako) kuwa umeamua kuokoka kwa hiyo tangu sasa umeachana na maisha ya dhambi. Wapo watakaokupongeza lakini wengi wanaweza kukubeza na kukucheka, wala usijali bali songa mbele na maamuzi yako.
2. Tafuta kanisa la kiroho lililo karibu nawe (siyo kwa mitume na manabii) la watu waliookoka na amua kuwa mshirika/mwanachama wa kanisa hilo. Yako makanisa mengi mazuri lakini napendekeza kanisa la TAG (Tanzania Assemblies of God). Lakini kuna KLPT (Kan isa la Pentekoste Tanzania), FPCT (Free Pentecost Church of Tanzania), EAGT (Evangelistic Assemblies of God Tanzania). Hakikisha unajitambulisha kwa kwa viongozi wa kanisa utakalojiunga na omba kuonana na mchungaji na umweleze kuwa umeamua kuokoka na kuwa mshirika hapo kanisani.
3. Soma Biblia kila siku angalau sura moja kwa siku na kuitafakari. Napendekeza uanze na kitabu cha Yohana. Ili kufanikisha hili hakikisha unanunua Biblia hama huna.
4. Mwombe Mungu kila siku, hakikisha kila ukiamka mwombe Mungu mambo yafuatayo: Akujalie kushinda vishawishi vya dhambi, nguvu na uwezo wa kusema HAPANA kwa ushawuishi wa dhambi. Mwombe Mungu akusaidie katika kazi zako za kujipatia kipato kwa siku hiyo. Mwombe pia jambo lolote unalihitaji akufanyie, kwa mfano kama unaumwa mwombe akuponye kisha nenda hospitali.
5. Hakikisha haukosi ibada kwa mujibu wa ratiba za ibada kwa kanisa utakalojiunga nalo.
 
Lakini yule yeye mwenyewe kakiri ndiomana anaomba ushauri mke asimuache.
Kwa hili baba mtumishi unaegemea upande mmoja 😂😂😂
Mama mchungaji, mtumishi na msaidizi wangu kipenzi katika huduma Lamomy

Wale wa meseji wataachana tu kwa utaratibu wao mathalani kwa kuchochewa na ghadhabu, mihemko, hasira au walichokana na walikua na mpango wa kuachana na hawakua na sababu ya Msingi kufanya hivyo. Hata hivyo yawezekana ni maigizo tu ya kutengeneza ili waachane na hapakua na ukweli wowote. Sitaki kudevelep theories nyingine niachie tu hapo....
Lakini kiutaratibu haki, usawa na sheria utengano huo utakosa baraka za kanisa, msikiti au mahakama kwa kua ushahidi ni kiduchu sana na duni kuthibitisha hilo, na kwahivyo utengano huo utaitwa utengano holela....

Huyu wa kusumbuliwa na mbabe na kuingiliwa kinyume na maumbile nadhani nimeeleza vizuri na kwa uwazi pia.
Huyo bwana hamfai ni muuaji wa mwili na Roho yake aachane nae mara moja....

Kwako Mama mchungaji....
 
Kiutaratibu mwanamme anatakiwa akuzidi umri, nashangaa unavyosema hukujali hilo
Huo utaratibu uliwekwa na nani? Cha maana ni wawili kupendana kwa dhati (Kwa wenye lengo la kuwa na ndoa). Mke anaweza kuwa mkubwa au mume anaweza kuwa mkubwa. Hayo mengine ni mazoea tu yasiyo na tija. Ila ni busara tofauti ya umri isizidi miaka 10.
 
Aisee, pole kwa yanayokusibu, ilibidi ile day 1 aliyokuomba kinyume umkatalie ili ajue msimamo wako, but kama unaweza punguza mawasiliano naye hapo ataona umebadilika na atamove on.

Mtu anayekupenda hawezi kukufanyia vitu vibaya. Achana naye tu
 
Back
Top Bottom