Nawezaje kurudishwa kazini baada ya kufukuzwa kazi?

Nawezaje kurudishwa kazini baada ya kufukuzwa kazi?

Ni kweli mkuu,Mimi ni mtu wa huko Mara wanaroga hatari Sana sana ukila hovyo... waliniroga kidogo niache msosi pamoja na maumivu makali niliapa nikienda nyumbani nakula ndani tena nafunga mlango.
 
Pole sana mkuu, I feel your pain. Hizi kazi ww acha tu. Ambae hayajamkuta hawezi jua maumivu unayopitia. Lakini pia baadhi ya wakuu ni mashetani wakubwa mf ni huyo wako. Piga moyo konde utayashinda.

Btw Unafundisha masomo gani
 
Wajaluo ni noma kwa ulozi huwa hawapendi makabila tofauti na lao
Hapana mkuu,tunapenda makabila mengine tatizo hilo uchawi wa kuroga watu na chakula inakera..Kwa kila Kabila lazima wachawi wawepo lakini hilo la kuroga watu na chakula ni hatari,na ukirogwa hata uende Hospital huponi mpaka wakutibu kienyenyi,Mimi ni mhanga wa hilo japokuwa chakula walichonirogea bado nabugia Kama kwaida,natamani ningekuwa na uwezo wa kukusaidia lakini Sina labda Kama unaweza kwenda kwa Mkuu wa wilaya ukamwelezea hali yako halisi bila kuficha ili amshawishi mkurugenzi jinsi ya kukusaidia kwa sababu mkuu wa Wilaya ni Mjaluo analijua uchawi huo na makali yake.
 
Nashauri, kwa kuwa ushaenda kwa Mganga rudi huko utengenezwe vyema uweze rudi Job.. huenda purpose ya kipapai ilikuwa ufutwe kazi.
 
Pole sana mkuu, I feel your pain. Hizi kazi ww acha tu. Ambae hayajamkuta hawezi jua maumivu unayopitia. Lakini pia baadhi ya wakuu ni mashetani wakubwa mf ni huyo wako. Piga moyo konde utayashinda.

Btw Unafundisha masomo gani
Nafundisha kiswahili na english mkuu
 
Hapana mkuu,tunapenda makabila mengine tatizo hilo uchawi wa kuroga watu na chakula inakera..Kwa kila Kabila lazima wachawi wawepo lakini hilo la kuroga watu na chakula ni hatari,na ukirogwa hata uende Hospital huponi mpaka wakutibu kienyenyi,Mimi ni mhanga wa hilo japokuwa chakula walichonirogea bado nabugia Kama kwaida,natamani ningekuwa na uwezo wa kukusaidia lakini Sina labda Kama unaweza kwenda kwa Mkuu wa wilaya ukamwelezea hali yako halisi bila kuficha ili amshawishi mkurugenzi jinsi ya kukusaidia kwa sababu mkuu wa Wilaya ni Mjaluo analijua uchawi huo na makali yake.
Bila connection kweli mkuu wa wilaya anaweza kunisaidia?
 
Mkuu achana na hyo kazi tafute maisha pambana ukifanikiwa nenda kamsalimie na V8 huyo mkuu wa shule na umuachie hata 1m hv

KARMA IS A BITCH TRUST THAT
Kweli kabisa maana this time hataki hata kupokea simu yngu
 
inaelekea huko Mara wachawi sana, shemeji yangu alikua anafanya kazi Rorya alikua anapata mauza uza mpaka kaacha kazi, sema yeye aliingia kwenye biashara na katoboa vibaya sana
 
Hauna taarifa labda ulienda hospitali kwaajili ya ugonjwa wako? Kama vipi katafute documents kuonyesha ulienda kwa mganga wa jadi. Pia hao CWT wanasemaje?
 
Yale maelekezo uliyopewa ndo yanayotumika iii kukurudisha job, jaribu kuyafuata ili utumishi wakuombee kibali cha kurudishwa kazini... Jitahidi sio mlolongo ki vile la msingi ni hao wahusika wawe na muda wakukusaidia kigu ambacho naamini wote watatakukubalia..ombi lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila connection kweli mkuu wa wilaya anaweza kunisaidia?
Mkuu usiogope nenda moja kwa moja Kama bado upo Rorya usisubiri connection kutoka kwa mtu,wewe fika huko upande gorofa waambie una shida binafsi na Mkuu wa wilaya ,Mimi mwaka Jana Kuna kenge moja alivamia kiwanja changu nikimwambia ananivimbia nikienda idara ya ardhi wananipiga tarehe,nikapanda mpaka gorofani kwake nikamwelezea A-z akampigia simu afisa ardhi , tukaondoka na afisa ardhi mpaka eneo akasimamisha ujenzi kwa maneno badae maandishi na Sasa hivi huyo kenge keshatoa matofali na mawe alizoweka hapo.
 
Kwa wenyeji wanafahamu kule ukila chakula hadharani ujue upo hatarini kupigwa kipapai.. mimi nilikuwa bachela nikawa napenda kunywa chai mgahawani ndio wakaniotea hukohuko.
Sio kweli. Nimekaa huko miaka na miaka nakula hadharani hakuna kitu kama hicho.

Wewe sema una magonjwa yako ya kurithi usisingizie kurogwa, hakuna uchawi. Eti ulirogwa😂😂😂.
 
Kiutaratibu unatakiwa kukata rufaa kwa Mamlaka husika kama hujaridhika na maamuzi yaliyochukuliwa dhidi yako.

Uingiaji kazini & utokaji kazini unazingatia Sheria, Kanuni na taratibu pamoja na miongozo mbalimbali inayotolewa na mamlaka husika.
 
inaelekea huko Mara wachawi sana, shemeji yangu alikua anafanya kazi Rorya alikua anapata mauza uza mpaka kaacha kazi, sema yeye aliingia kwenye biashara na katoboa vibaya sana
Duuh! Mi pia nlikuwa hukohuko
 
Hauna taarifa labda ulienda hospitali kwaajili ya ugonjwa wako? Kama vipi katafute documents kuonyesha ulienda kwa mganga wa jadi. Pia hao CWT wanasemaje?
Bado sijaenda huko maana maelekezo ya kwanza nilipewa hayo.. Taarifa za mganga zinaandikwa wapi mkuu?
 
Yale maelekezo uliyopewa ndo yanayotumika iii kukurudisha job, jaribu kuyafuata ili utumishi wakuombee kibali cha kurudishwa kazini... Jitahidi sio mlolongo ki vile la msingi ni hao wahusika wawe na muda wakukusaidia kigu ambacho naamini wote watatakukubalia..ombi lako

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu
 
Mkuu usiogope nenda moja kwa moja Kama bado upo Rorya usisubiri connection kutoka kwa mtu,wewe fika huko upande gorofa waambie una shida binafsi na Mkuu wa wilaya ,Mimi mwaka Jana Kuna kenge moja alivamia kiwanja changu nikimwambia ananivimbia nikienda idara ya ardhi wananipiga tarehe,nikapanda mpaka gorofani kwake nikamwelezea A-z akampigia simu afisa ardhi , tukaondoka na afisa ardhi mpaka eneo akasimamisha ujenzi kwa maneno badae maandishi na Sasa hivi huyo kenge keshatoa matofali na mawe alizoweka hapo.
Sawa nitafanyia kazi mkuu
 
Sio kweli. Nimekaa huko miaka na miaka nakula hadharani hakuna kitu kama hicho.

Wewe sema una magonjwa yako ya kurithi usisingizie kurogwa, hakuna uchawi. Eti ulirogwa😂😂😂.
Ulikuwa maeneo gani?
 
Back
Top Bottom