Nawezaje kurudishwa kazini baada ya kufukuzwa kazi?

Nawezaje kurudishwa kazini baada ya kufukuzwa kazi?

Kwa wenyeji wanafahamu kule ukila chakula hadharani ujue upo hatarini kupigwa kipapai.. mimi nilikuwa bachela nikawa napenda kunywa chai mgahawani ndio wakaniotea hukohuko.
Kuwa bachela siyo kisingizio.

Ina maana mabachela wote wa huko Mara wamelogwa???

Mbona ulipoambiwa usile chapati ukala tena??


Wewe una lako jambo ambalo unalijua mwenyewe.


Kuna rafiki yangu mmoja alifukuzwa kazi kwa kiburi chake mwenyewe na akafuatilia milolongo hiyo lakini hajarudishwa kazini tangu mwaka 2012.


Ushauri wangu
TAFUTA MASHAMBA ULIME, KAZI SERIKALINI SAHAU KABISAAA....
 
Sawa nakuja mkuu hapana sina hiyo.. Tulikuwa na utaratubu wa kujaza fomu ya kuomba ruhusa ila najua mkuu wa shule ameiondoa ili nionekane nimeondoka tu
Fomu ya ruhusa zinajazwa mbili yako moja na nyingine ya Boss wako.

Wacha uongo usio na maana
 
Nisichokipenda ni kusingizia mkuu was shule huku wewe mwenyewe umekiri kuwa ulilazimisha kuondoka baada ya kuona kuwa wanafurahia kuugua kwako.Kwa maana nyingine uliondoka bila kukamilisha taratibu za ruhusa.Sasa lawama kwa mkuu wa shule za nini?
 
Ni kweli mkuu,Mimi ni mtu wa huko Mara wanaroga hatari Sana sana ukila hovyo... waliniroga kidogo niache msosi pamoja na maumivu makali niliapa nikienda nyumbani nakula ndani tena nafunga mlango.
Hahaha kweli hii au
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada usinenee Mikoa ya Watu Uongo. Zama hizi Walimu weeeengi waliokacha kazi Serikalini na Kukimbilia Sekta Binafsi/Shule Binafsi Wamekosa kazi kutokana na kuyumba kwa SEKTA BINAFSI. Sasa ili waonewe huruma wamekuwa waigizaji wakubwa kuwa walikumbwa na Matatizo Makubwa. Post zako zooote toka 2017 na 2019 It seems ulikuwa Mwanza ukiwa Sekta Binafsi na ulikuwa hapa hapa JF unatangaza bidhaa za mwajiri wako huyo na mbaya zaidi tuliokuwa tukiomba Connection za Waganga Ulitunanga na kutwambia ni YESU PEKEE. Leo unakuja na ngonjera oooh Ulirogwa kwa CHAPATI HUKO MARA ukaenda kwa Mganga sijui Kenya! Acha kunena Uongo Mkuuu nakushauri uende kwa YESU ATAKURUDISHA KAZINI acha kusumbua members wenzako hapa JF. Over
 
Kwa nini usiendelee na hiki kiwanda chenu? We unaonekana tu uliacha mwenyewe
 
Bado sijaenda huko maana maelekezo ya kwanza nilipewa hayo.. Taarifa za mganga zinaandikwa wapi mkuu?
Mgosi umezingua! Kama utaona maisha ni magumu, rudi tu kijijini tuje tulime ngogwe. Wenzako tunapambana kila siku dhidi ya hawa wadhulumati ili watupandishe madaraja yetu, wewe unakurupuka tu kuacha kazi huku ukiwa hujajiandaa!!
 
Kuwa bachela siyo kisingizio.

Ina maana mabachela wote wa huko Mara wamelogwa???

Mbona ulipoambiwa usile chapati ukala tena??


Wewe una lako jambo ambalo unalijua mwenyewe.


Kuna rafiki yangu mmoja alifukuzwa kazi kwa kiburi chake mwenyewe na akafuatilia milolongo hiyo lakini hajarudishwa kazini tangu mwaka 2012.


Ushauri wangu
TAFUTA MASHAMBA ULIME, KAZI SERIKALINI SAHAU KABISAAA....
Watu kama nyie hawakosekani popote kwani kama ungepita kimya kimya ingekusumbua nini? Itakuwa umepimwa korona kwa kipimo kipya wewe si bure.
 
Nisichokipenda ni kusingizia mkuu was shule huku wewe mwenyewe umekiri kuwa ulilazimisha kuondoka baada ya kuona kuwa wanafurahia kuugua kwako.Kwa maana nyingine uliondoka bila kukamilisha taratibu za ruhusa.Sasa lawama kwa mkuu wa shule za nini?
Nilichoulizia ni huo mlolongo niliopewa ili kurejea kazini kama ni sahihi na kama siyo nifanyeje ili niweze kurejea na sikumlaumu mtu
 
Kwa vile umesema ulilogwa nimejiaminisha hata hivyo hukuwa na faida yoyote ya kiualim kwa taifa. Hakuna msomi wa kujiaminisha amelogwa. Una vyeti tu. Unaweza kuendelea na maisha mengine yanayokufanana. Serkali imeshabahatika kuondoa takataka katika wizara yake.
 
Mleta mada usinenee Mikoa ya Watu Uongo. Zama hizi Walimu weeeengi waliokacha kazi Serikalini na Kukimbilia Sekta Binafsi/Shule Binafsi Wamekosa kazi kutokana na kuyumba kwa SEKTA BINAFSI. Sasa ili waonewe huruma wamekuwa waigizaji wakubwa kuwa walikumbwa na Matatizo Makubwa. Post zako zooote toka 2017 na 2019 It seems ulikuwa Mwanza ukiwa Sekta Binafsi na ulikuwa hapa hapa JF unatangaza bidhaa za mwajiri wako huyo na mbaya zaidi tuliokuwa tukiomba Connection za Waganga Ulitunanga na kutwambia ni YESU PEKEE. Leo unakuja na ngonjera oooh Ulirogwa kwa CHAPATI HUKO MARA ukaenda kwa Mganga sijui Kenya! Acha kunena Uongo Mkuuu nakushauri uende kwa YESU ATAKURUDISHA KAZINI acha kusumbua members wenzako hapa JF. Over
Kawaida yenu wanaJF mtu akifungua uzi mnafukua makaburi kuanza kuchunguza nyuzi za nyuma... Kifupi suala la biashara nililifanya kama mbadala kwa sababu nilikatishwa moyo kuwa siwezi kurudi katika nafasi yangu nikatafuta pakujishikiza ili niweze kujikwamua na ugumu wa maisha... Kuhusu suala la Yesu nimefurahi kuwa niliwahi kukuhubiria na nimekuwa mmoja wa washauri wako waliokufanya ukaacha mambo ya waganga
 
Sio kweli. Nimekaa huko miaka na miaka nakula hadharani hakuna kitu kama hicho.

Wewe sema una magonjwa yako ya kurithi usisingizie kurogwa, hakuna uchawi. Eti ulirogwa😂😂😂.
Mbona kama vile wewe ndio mkuu wa shule aseee
 
Kwa vile umesema ulilogwa nimejiaminisha hata hivyo hukuwa na faida yoyote ya kiualim kwa taifa. Hakuna msomi wa kujiaminisha amelogwa. Una vyeti tu. Unaweza kuendelea na maisha mengine yanayokufanana. Serkali imeshabahatika kuondoa takataka katika wizara yake.
Wewe ndio unathamani eti? Hongera kwakuwa maisha yako yamenyooka
 
Kwa nini usiendelee na hiki kiwanda chenu? We unaonekana tu uliacha mwenyewe
Jamaaa mpuuzi sana anaanza kusingizia Oooh amelogwa sjui Rorya, oooh wachawi sana Mara. Utapeli pia unaanza hiv hivi ukiona Member analeta stori za kutunga hapa jamvini ujue anakoelekea ni kupiga watu pesa. Ameboa sana ujue
 
Kawaida yenu wanaJF mtu akifungua uzi mnafukua makaburi kuanza kuchunguza nyuzi za nyuma... Kifupi suala la biashara nililifanya kama mbadala kwa sababu nilikatishwa moyo kuwa siwezi kurudi katika nafasi yangu nikatafuta pakujishikiza ili niweze kujikwamua na ugumu wa maisha... Kuhusu suala la Yesu nimefurahi kuwa niliwahi kukuhubiria na nimekuwa mmoja wa washauri wako waliokufanya ukaacha mambo ya waganga
Ulifanyaje biashara wakati ulikua umerogwa tumbo limeshiba ndindiii kiasi kwamba ulishindwa kufundisha darasani? JF haipotezi ushahidi Mkuuu ndio maaana unaona hadi wadau wameanza kupandisha nyuzi zako za zamani hapa hapa kukupa fact jinsi unavyozingua.
 
Hilo ni kosa la utoro kazini na bilashaka Tume ya utumishi wa walimu (T.S.c) walichukua hatua zifuatazo
1.Kukupa notisi ya kueleza kosa lako
2.kukuhitaji kujieleza ndani ya siku 14 Kwa maandishi
3.Kama ulikataa kosa kuundiwa kamati na kukuhojiwa ana Kwa ana
Makosa ya utoro wa kuanzia siku tano na kuendlea ni miongoni mwa makosa makubwa na adhabu yako ndo kma hiyo(kufukuzwa kazi,onyo au kushushwa cheo)



Hatua mpaka Tsc wanachukua uamuzi wa kufukuza kazi inamaana umeshindwa kuwashawishi Kwa maana wewe unakosa lakini kujifanya huna kosa na kujua Sana Sheria, ninvyo jua Mimi TSC ni chombo cha kumtetea mwalimu lakn inategemea unavyo jieleza nidhamu yako na vitu vingne mfano rekodi yako ya matukio yako ya nyuma n.k

Baada ya kufukuzwa kazi utakaa mwaka mmoja na Kama utahitaji kurudi kazini utawafuata TSC watkupa muongozo wa kurudi kazini lakini watahitaji wajiridhishe Kama tabia na mwenendo wako umebadilika njia ya kujua ni kupitisha barua kuanzia serikali za mitaa na sehemu unazofanyia ibada.

Panachangamoto kubwa Kwa watumishi baadhi kutokujua Sheria za kazi au wakt mwingne hata kanuni ndogo ndogo au muongozo inayotolewa na wizara husika japo zipo na zmeandikwa tena Kwa lugha rahisi.

Ushauri wangu teyari umeshatumikia adhabu ya mwaka mmoja fuata hizo taratibu uweze kurudishwa kazini hakuna shortcut zaidi ya barua kutoka tsc ya kurudishwa kazini kwasababu wao ndo chombo kinachosimamia mienendo ya walimu na vitu vingne
 
Nilichoulizia ni huo mlolongo niliopewa ili kurejea kazini kama ni sahihi na kama siyo nifanyeje ili niweze kurejea na sikumlaumu mtu
Wee ni muongo na mpuuzi tu,angalia post namba 16 ukimjibu BUMIJA.Maisha yamekuchapa unakuja na visingizio humu.Hata post zako za miaka ya nyuma zinaonyesha uliacha kazi mwenyewe.
 
Back
Top Bottom