Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue ya kulipa ni nyingine ila kiwango umedanganya. Leta jina maana kitakwimu hakuna longolongo bwasheeHaitasaidia, nenda Ustawi kaulize. Rafiki yake Yuko kituo Cha UD nae hajalipwa
SEMA wewe ukweli unaoujua,ili tupime ndugu wasomajiWakati mwingine acheni uongo!!!!! Unadanganya kwa faida ya nani. Au nyie ndiyo wazamiaji ambao wanajipeleka bila kuchaguliwa
Kwa siku wanapata 40,000/=. Na Wanapewa chakula.SEMA wewe ukweli unaoujua,ili tupime ndugu wasomaji
Achana nao hao wapuuzi uwa hawakosekani ktk mitandaoWatu Wengine sijui mnakujaga JF kutafuta mabwana? Yaan mpo kuchafua tu. We mi unanijua mpaka useme ndio Mimi? Ningekua ni Mimi ningeshindwa nini kujitaja? Kwani kua karani wa Sensa dhambi?
Sio kila mtu anatumiaga mashoga bana, katafute soko kwengine.
Watu Wengine sijui mnakujaga JF kutafuta mabwana? Yaan mpo kuchafua tu. We mi unanijua mpaka useme ndio Mimi? Ningekua ni Mimi ningeshindwa nini kujitaja? Kwani kua karani wa Sensa dhambi?
Sio kila mtu anatumiaga mashoga bana, katafute soko kwengine.
Huo ni ukweliWakati mwingine acheni uongo!!!!! Unadanganya kwa faida ya nani. Au nyie ndiyo wazamiaji ambao wanajipeleka bila kuchaguliwa
Sasa matusi ya nini karani? Kamnunie aliyekunyima pesa yako ya sensa...😆😆😆Watu Wengine sijui mnakujaga JF kutafuta mabwana? Yaan mpo kuchafua tu. We mi unanijua mpaka useme ndio Mimi? Ningekua ni Mimi ningeshindwa nini kujitaja? Kwani kua karani wa Sensa dhambi?
Sio kila mtu anatumiaga mashoga bana, katafute soko kwengine.
Ndio hawajalipwa siku ya 2 LeoKwa siku wanapata 40,000/=. Na Wanapewa chakula.
Hata kama mtu anakandamizwa ulitaka akae kimya kisa Hana ajira?Hii nchi inavijana wa hovyo sana na mtabakia kulalamika hvyohvyo mpaka kiama. Hizo nafasi Bora wangepewa waalimu tu wanajua system ya serekali kwenye ulipaji coz kunakuchelewa lakini haki ya mtu ataipata.
Lala mapema karani kesho uwahi kwenye semina..Naona unalazimisha kunijua wakati mimi sijui, pengine una mambo yako mengine hutaki kuweka wazi.