NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama

NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama

Kwa hiyo akikengeuka kama yule kichaa kung'olewa haiwezekani?
Nimekwambia kwa katiba ya ccm muda wa mwenyekiti ukiisha lazima ang'atuke kupisha mwingine, na kama sio hivyo atatolewa atake asitake. Afu wewe unanambia atakuwa hawezekani "kung'olewa".. hawezekani kung'olewa kivipi na utaratibu wa kutoka au kutolewa upo kwa mujibu wa katiba? Mbona hauelewi na haueleweki kijana. Au akili yako bado ipo katika mfuko wa mwenyekiti wa chama.
 
Nimekwambia kwa katiba ya ccm muda wa mwenyekiti ukiisha lazima ang'atuke kupisha mwingine, na kama sio hivyo atatolewa atake asitake. Afu wewe unanambia atakuwa hawezekani "kung'olewa".. hawezekani kung'olewa kivipi na utaratibu wa kutoka au kutolewa upo kwa mujibu wa katiba? Mbona hauelewi na haueleweki kijana. Au akili yako bado ipo katika mfuko wa mwenyekiti wa chama.
Kwani Mbatia katolewa kwa sababu amepitiliza muda wake kikatiba?

Ametolewa kwa kukengeuka
Sasa nauliza CCM inaweza kumng'oa mwenyekiti wake kabla hajamaliza miaka yake ya kikatiba endapo atakengeuka?
 
Kwani Mbatia katolewa kwa sababu amepitiliza muda wake kikatiba?

Ametolewa kwa kukengeuka
Sasa nauliza CCM inaweza kumng'oa mwenyekiti wake kabla hajamaliza miaka yake ya kikatiba endapo atakengeuka?
Kwani Mbatia ashakaa miaka mingapi kwenye kiti? na je kwa muda wote aliokaa kwenye kiti unajua ashafanya mambo mangapi ya kukihujumu chama na wakamvumilia? Fikiria mtu ashakaa kwenye kiti kwa zaidi ya miaka 10 afu hapo hapo ulitegemea wangeendelea kumvumilia. Kwa ccm hauwezi kupitisha ukomo wa miaka iliyoainishwa kwenye katiba yao. Lakini pia hakuna mwenyekiti ambae anaweza kukihujumu chama chao ili kumpa nafasi adui (wapinzani) aje akiangushe chama. Lakini kwa viongozi wa upinzani kuhujumu vyama vyao kwa sababu ya masilahi yao hilo ni kawaida, ndo maana hawa wamethubutu kuchukua hatua ila upande wa pili mtu kapokea mshiko akamuingiza waliemwita fisadi agombee kupitia chama chake huku akiwaacha wale waliopigania chama kwa jasho na damu wakimpigia deki mgombea wa mchongo alielengeshwa mahususi na ccm (hiyo ni hujuma kubwa kwa chama)
 
Pale chadema ukitaka kufanya jaribio kama hilo unaweza jikuta unafanana na Chacha Wangwe.
Je ccm mkuu unaweza jaribu hilo, au utaishia kufukuzwa ka yule jasusi mbobezi aliye hamia upinzani.
 
Mbowe huwa anao msimamo ila pia huwa anajali sana maslahi yake kifedha.
angalizo mkuu: mtu kujali tumbo lake kwanza ni human nature ila shida huja pale Miwani Makengeza bin Mbowe alivyozidisha ulafi hashibi ruzuku na haachii kiti chama mali yake na madem wote wake!!

hukumbuki kule Dom ile skendo ya ulevi na madem akaumia I think ? anaekumbuka vizuri atukumbushe!
 
Hiki ndicho chama chenye demokrasia ya kweli kwenye nchi hii. Vyama vingine ni Mali za wenyeviti na hawagusiki. lakin NCCR kwa historia yake wameonesha ukomavu wa kisiasa na kuwa hakuna aliye juu ya Sheria.
Kule ukimchallenge mbowe unaitwa PANDIKIZI
 
angalizo mkuu: mtu kujali tumbo lake kwanza ni human nature ila shida huja pale Miwani Makengeza bin Mbowe alivyozidisha ulafi hashibi ruzuku na haachii kiti chama mali yake na madem wote wake!!

hukumbuki kule Dom ile skendo ya ulevi na madem akaumia I think ? anaekumbuka vizuri atukumbushe!
Akili za uvccm hizo.
 
Mnachekesha nyie mbona wamemblock asigombee Urais tokea 2005?? Kama wanamuogopa je Lissu angechukua fomu ya Urais?

Anyway hao kina Simbeye na Selassini waliondoka CHADEMA kwa matusi kibao Leo hii nao wanalialia kuhusu Demokrasia NCCR??

Mtazunguka wee ila ukweli ni mmoja tu, upinzani ni CHADEMA pekee.
Mbowe akienda Ikulu , ni mzalendo...Zito akienda Ikulu, ni msaliti...hahaha...Upinzani wa Tanzania hopless kabisa.
 
System imemshughulikia Mbatia kwa kugoma kwake kushirikiana na kile kikosi kazi cha Samia.

Wale wakina Selasini ni mawakala wa shetani.
 
Mbowe haeleweki kama MAGUFULI aliyepora KOROSHO ZA WATU HUKO KUSINI NA KUWAITA KANGOMBA!
Magufuli alipora uchaguzi ili alitangaza raisi wa maisha . Hahaha mungu amemfyeka fyuuu. Asante mungu kwa wema ulioitendea nchi yangu hapo 17.3.2021
Nikulipe mini mungu
Kufa siyo adhabu ila ni kuitwa mbele za haki mtu mwenye imani thabiti ya Mungu huwa haogopi kufa tatizo chadema akili hamna

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Mbatia ashakaa miaka mingapi kwenye kiti? na je kwa muda wote aliokaa kwenye kiti unajua ashafanya mambo mangapi ya kukihujumu chama na wakamvumilia? Fikiria mtu ashakaa kwenye kiti kwa zaidi ya miaka 10 afu hapo hapo ulitegemea wangeendelea kumvumilia. Kwa ccm hauwezi kupitisha ukomo wa miaka iliyoainishwa kwenye katiba yao. Lakini pia hakuna mwenyekiti ambae anaweza kukihujumu chama chao ili kumpa nafasi adui (wapinzani) aje akiangushe chama. Lakini kwa viongozi wa upinzani kuhujumu vyama vyao kwa sababu ya masilahi yao hilo ni kawaida, ndo maana hawa wamethubutu kuchukua hatua ila upande wa pili mtu kapokea mshiko akamuingiza waliemwita fisadi agombee kupitia chama chake huku akiwaacha wale waliopigania chama kwa jasho na damu wakimpigia deki mgombea wa mchongo alielengeshwa mahususi na ccm (hiyo ni hujuma kubwa kwa chama)
Blah blah kwa hiyo mbatia kosa lake ni kukaa muda mrefu?
 
Wewe kwani unahisi nini? Labda kuna kitu unajua utuambie
Kinachotakiwa kuulizwa kwa hiyo serikali yako ni ni kwa nini serikali imfutie mashtaka mbowe ambayw mahakama ilisema ana kesi ya kujibu na kumuita Ikulu?
Ingelikuwa ni kiongozi kutoka zanzibar mungelipiga makelele sana, na kila siku munamtukana zitto kabwe kwamba anatumiliwa sasa kiongozi mkuu wa taifa Chadema anashinda Ikulu, alitoka jela break ya kwanza kwa mtesi wake., leo mbowe ana tofauti gani na kina kafulila, waitara na wengine
 
Pale chadema ukitaka kufanya jaribio kama hilo unaweza jikuta unafanana na Chacha Wangwe.
Muulize Kolimba alipogusa maslahi ya viongozi wakuu wa ccm yaliyomkuta tena live mbele ya wajumbe wa Kamati kuu mzee wa watu akadondoka chini puu! Mpaka leo amebaki historia!
 
Back
Top Bottom