Nchi ambazo zinahangaika kujenga matundu ya choo hazipaswi kutoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri duniani

Nchi ambazo zinahangaika kujenga matundu ya choo hazipaswi kutoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri duniani

Tanzania kuna hela wewe,ukitaka kuamini piga hesabu miradi yoote mikubwa na midogo aliyoifanya MAGU ndo utajua uturuki ni maskini kuliko sisi.
 
Tanzania kuna hela wewe,ukitaka kuamini piga hesabu miradi yoote mikubwa na midogo aliyoifanya MAGU ndo utajua uturuki ni maskini kuliko sisi.
Basi sawa
49320BEF-3EE9-4373-AFD9-CC72A58A3355.jpeg
 
Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.

Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!

Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!

Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!

Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
Mnajuwa nani aliyetowa hizo fedha au mnakurupuka tu?
 
Waswahili wanasema msaada usizidi uwezo, mimi naona huo msaada wetu umetuzidi uwezo kabisa, niseme ndio tumeutoa huku tunalia kimoyo moyo.
 
Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.

Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!

Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!

Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!

Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
Ngoja lema akusikie
 
Tumeiga from South Africa na Egypt..
tuna pesa asee
Hao wenzetu Uchumi wao mkubwa na nchi zao zimejitosheleza kimiuondombinu.Juzi tu nimesikia Japan imelipa Jiji la Mbeya milioni 187 kujenga matundu ya vyoo!
 
Hao Uturuki wenyewe siku chache baada ya tetemeko la ardhi wakaendelea na mashindano waliyoandaa kwa gharama kubwa ya EU indoor championship na stadium ilikuwa inajaza washangiliaji kama upande mwingine wa nchi yao akujatokea majanga.

Wewe kiherehere wananchi wako ata hela za kugomboa miili ya ndugu zao hospitali wakailaze kwenye nyumba zao za milele hawana; halafu unataka kusaidia nchi tajiri.
 
Tena mnapaswa mshukuru aliyetowa hi yo sadaka kataka ifahamike ni Tanzania, hakutaka hata jina lake lijulikane.
Heri yake kama ni sadaka. Lakini ni mlipa kodi muaminifu pia? Maana vinavyopatikana kwa njia haramu haviwezi kuwa sadaka. Au isije kuwa ni muuza madawa ya kulevya anayetakasa fedha zake!!
 
Tena mnapaswa mshukuru aliyetowa hi yo sadaka kataka ifahamike ni Tanzania, hakutaka hata jina lake lijulikane.
Sadaka ya nini, Serikali hutoa sadaka?
Huwezi tenganisha Tanzania na serikali ya Tanzania.
Tunapaswa kushkuru kwa lipi?
 
Back
Top Bottom