Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ndiyo akili za vijana wa UVCCM mlipofikia.Unaweza kukuta ni ushauri wa Kiongozi mkuu wa Upinzani
Basi sawaTanzania kuna hela wewe,ukitaka kuamini piga hesabu miradi yoote mikubwa na midogo aliyoifanya MAGU ndo utajua uturuki ni maskini kuliko sisi.
Mnajuwa nani aliyetowa hizo fedha au mnakurupuka tu?Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.
Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!
Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!
Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!
Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
Wewe kama huna ulitaka wenye nazo wasitowe?
Wenye nazo ni kina nani?Wewe kama huna ulitaja wenye nazo wasitowe?
Imagine , sukuma mkokoteni anampatia Mo msaada was Pesa😂😂😂Ukweli ni kwamba utoaji unapaswa kutosababisha matatizo yasiyo ya lazima upande unaotoa. Maskini kutoa huku mwenyewe akifa njaa ni kosa.
Ngoja lema akusikieTumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.
Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!
Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!
Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!
Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
Waliotowa.Wenye nazo ni kina nani?
Mama katoa Kali ya mwaka, hajataka unyonge,ametoa Dolari milioni moja cash!
Hao wenzetu Uchumi wao mkubwa na nchi zao zimejitosheleza kimiuondombinu.Juzi tu nimesikia Japan imelipa Jiji la Mbeya milioni 187 kujenga matundu ya vyoo!Tumeiga from South Africa na Egypt..
tuna pesa asee
Weeee !!! Sema Thuuuuuu !!!!Tanzania kuna hela wewe,ukitaka kuamini piga hesabu miradi yoote mikubwa na midogo aliyoifanya MAGU ndo utajua uturuki ni maskini kuliko sisi.
Mada umeielewa lakini? Yaani unaomba kibaba cha unga kwa jirani, jioni unachangia Elfu tano kwa jirani mwingine ambaye kioo cha dirisha lake kimevunjwa na upepo.Waliotowa.
Hiyo Pesa si angewaongezea kwenye fidia wakazi wa Bonde la Mto Msimbazi wanao hamishwa kwa fidia za kimaagumashi!Cha ajabu majanga yetu wenyewe hatusaidiwi na serikali zaidi ya viongozi kupiga picha na wahanga.
Heri yake kama ni sadaka. Lakini ni mlipa kodi muaminifu pia? Maana vinavyopatikana kwa njia haramu haviwezi kuwa sadaka. Au isije kuwa ni muuza madawa ya kulevya anayetakasa fedha zake!!Tena mnapaswa mshukuru aliyetowa hi yo sadaka kataka ifahamike ni Tanzania, hakutaka hata jina lake lijulikane.
Sadaka ya nini, Serikali hutoa sadaka?Tena mnapaswa mshukuru aliyetowa hi yo sadaka kataka ifahamike ni Tanzania, hakutaka hata jina lake lijulikane.