Nchi ambazo zinahangaika kujenga matundu ya choo hazipaswi kutoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri duniani

Nchi ambazo zinahangaika kujenga matundu ya choo hazipaswi kutoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri duniani

Hao Uturuki wenyewe siku chache baada ya tetemeko la ardhi wakaendelea na mashindano waliyoandaa kwa gharama kubwa ya EU indoor championship na stadium ilikuwa inajaza washangiliaji kama upande mwingine wa nchi yao akujatokea majanga.

Wewe kiherehere wananchi wako ata hela za kugomboa miili ya ndugu zao hospitali wakailaze kwenye nyumba zao za milele hawana; halafu unataka kusaidia nchi tajiri.
Hiyo pesa ifuatiliwe,ukute tunaambiwa Dola milioni moja kumbe zipo milioni 10 zingine Balozi kaambiwa vijana watakuja kuzichukua.
 
1679652947944.png
 
Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!

Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!
Na mimi nilishangaa wanajamvi wakanikemea

 
Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.

Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!

Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!

Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!

Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
Weka clear maoni yako, Tanzania ni nchi yenye wsnachi wske na yenye serikali yake, hizo pesa "ulizosikia" hukusikia katowa nani?

Wacheni fitna za rejareja.
 
Kutoa ni moyo si utajiri. Malawi pia tumewapa 1M USD na misaada mingine.

WhatsApp Image 2023-03-24 at 6.19.18 AM.jpeg
 
Na mimi nilishangaa wanajamvi wakanikemea

Walipaswa kununu madawati 4000 na sio ticket 4000!
 
Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.

Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!

Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!

Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!

Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
La hasha!

Tanzania ni watu wakarimu Africa nzima ni sisi ndo tuna historia hiyo!

Ukarimu haumaanishi UTAJIRI!

A GIVING creates an Energy which causes a lot of inward flows..either by knowing or unknowingly!

Siyo Lazima tuone majawabu yake sasa hivi...ila huo ni utamaduni Mzuri na hiyo ndiyo Tanzania!

Wewe unaposikia Wenzetu wanapatwa na Majanga Mazito kila uchwao wadhani Mungu hatuoni??

Mi kwa kweli naipongeza Serikali kwenye hatua hiyo!!
 
Hao Uturuki wenyewe siku chache baada ya tetemeko la ardhi wakaendelea na mashindano waliyoandaa kwa gharama kubwa ya EU indoor championship na stadium ilikuwa inajaza washangiliaji kama upande mwingine wa nchi yao akujatokea majanga.

Wewe kiherehere wananchi wako ata hela za kugomboa miili ya ndugu zao hospitali wakailaze kwenye nyumba zao za milele hawana; halafu unataka kusaidia nchi tajiri.
Aiseeeeee !!!
 
Kutoa si wajibu wa tajiri tuu, hata maskini anapaswa kutoa.

Ni Tabia ya Maskini kudhani kuwa yeye anapaswa kupewa tuu.

Uturuki wamepatwa Janga baya sana. Wanahitaji msaada. Hatuwezi kwenda na maneno tuu bila chochote.

Hizo fedha hata zingebaki hapa nyumbani, zisingetatua matatizo yote tuliyonayo.

Naunga mkono kilichofanyika, Kwanza Nchi yetu inapata heshima, kwamba Licha ya Umaskini wetu lakini bado tunaweza saidia kwa kidogo tulichonacho.
 
Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.

Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!

Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!

Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!

Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
Fazili upo sahihi kbs ✔️!! But nakuja tofaut kidogo juu ya hili... B 2 na point ni pesa nying lkn kwann tusipigie kelele mabilioni mengi zaid ya hizi mbili? At least bora zipo wazi zimeenda kama msaada. Je haya mabilioni ya kifisadi ambayo CAG ameelezea sana, kwann wahusika hwachukuliwi hatua? Basi pesa zote zirudishwe lkn hakuna. Hapa ndipo pa kukazia zaid!!
 
Atukatai angetoa ata Dola laki moja,nadhani ata Rais Erdogan atakuwa kashituka kwa nchi Masikini kama Tanzania kutoa Hela ndefu namna hiyo.
Ila hawa Wanasiasa wetu siyo wa kuwaamini, unaweza kuta tumetangaziwa Dola milioni moja kumbe zipo milioni 10 zingine Balozi kaambiwa vijana watakuja kuzichukua.


Hiyo Dola laki moja unayoisema kwa mtu mwingine bado ni ela ndefu sana na kwa mwingine ni ela ndogo sana halikadhalika hiyo dola milioni moja ni hivyo hivyo kwa mwingine ni ela ya kawaida na kwa wengine kama wewe ni ela ndefu, Sasa nadhani mada ilistahili iwe; NI KIGEZO GANI KINACHOFUATWA KATIKA KUTOA KIASI CHA PESA ZA RAMBIRAMBI KATIKA MAJANGA??, hapo nadhani hiyo ndio ingekuwa mada inayofaa kwani hatubishani juu ya utoaji wa rambirambi bali tunabishana juu ya kiwango cha rambirambi.
 
Hii nchi ni tajiri😂😂😂 afu Kuna watu wanalia magu kununua ndege
 
Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.

Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!

Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!

Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!

Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
Acheni kunung'unika. Ilichofanya Tanzania ni kumsaidia rafiki aliyepata janga na wala siyo msaada. Kumsaidia jamaa yako aliyepeta janga haihitaji hadi uwe tajiri.

Ingelikuwa Tanzania inaweka bajeti ya misaada kwenye bajeti yake ya kitaifa ili kusaidia nchi nyingine ilihali tunajua nchi yetu haijitoshelezi kwa mahitaji yake hapo tungesema kuna tatizo
 
Back
Top Bottom