Nchi ambazo zinahangaika kujenga matundu ya choo hazipaswi kutoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri duniani

Nchi ambazo zinahangaika kujenga matundu ya choo hazipaswi kutoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri duniani

Ukweli ni kwamba utoaji unapaswa kutosababisha matatizo yasiyo ya lazima upande unaotoa. Maskini kutoa huku mwenyewe akifa njaa ni kosa.
Mkuu, hili wengi hawalielewi, wanavyoambiwa kutoa ni moyo basi wanafikiri ni kujikamua mpaka ubaki mifupa, hawaelewi msaada unaendana na uwezo pia.
 
Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.

Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!

Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!

Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!

Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
Wema huzaa wema, natumaini wewe ni mtu mzima kuelewa dhana nzima ya huo msemo.
 
Yani hiki wanachokifanya ni sawa na kuchota maji kisimani na kupeleka baharini
 
Yaani sijui tunaonaje jambo! Kutoa ni baraka na utajiri kuwa na roho ndogo ya kuku ni ufukara na umaskini! Kwa kutoa dola milioni 1 ndi tunakuwa maskini? HATA MUNGU ALISEMA NIJARIBU KWA MATOLLEO ILI NIKUBARIKI! Watanzani tusipotia hatubarikiwi!
 
Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.

Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!

Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!

Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!

Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
Kutoa ni moyo, na si utajiri
 
Endeleeni na huyu mama ikifika 2030 watanzania wote tutaongea kirumi wakati huo maza atakuwa na miaka 70 ni bibi
 
Tulitangaziwagwa kuwa nchi hii Ni donor country. Mnalia nini sasa? Ile awamu ilyotangazaga kuwa Tanzania ni tajiri ilikosea?
 
Atukatai angetoa ata Dola laki moja,nadhani ata Rais Erdogan atakuwa kashituka kwa nchi Masikini kama Tanzania kutoa Hela ndefu namna hiyo.
Ila hawa Wanasiasa wetu siyo wa kuwaamini, unaweza kuta tumetangaziwa Dola milioni moja kumbe zipo milioni 10 zingine Balozi kaambiwa vijana watakuja kuzichukua.
Dollar M1 kwa mtu binafsi ni pesa ndefu ila kwa taifa ni very peanut an, hio pesa huwez jenga hata lami km 1

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Tumekopa mabilioni ya IMF ili kujenga matundu ya vyoo halafu tunajifanya sisi ni wafadhili - donor country? DU
 
Back
Top Bottom