Nchi ambazo zinahangaika kujenga matundu ya choo hazipaswi kutoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri duniani

Endeleeni na huyu mama ikifika 2030 watanzania wote tutaongea kirumi wakati huo maza atakuwa na miaka 70 ni bibi
Mama anahusu nini? Ulisikia mama katowa hizo pesa?

Hapo inaongelewa Tanzania, siyo serikali ya Tanzania.
 
Ukweli ni kwamba utoaji unapaswa kutosababisha matatizo yasiyo ya lazima upande unaotoa. Maskini kutoa huku mwenyewe akifa njaa ni kosa.
Kwanza hapo ukute tunaambiwa Dola milioni moja kumbe zipo milioni 10, zingine Balozi kaambiwa vijana watakuja kuzichukua.
 
Waswahili wanasema msaada usizidi uwezo, mimi naona huo msaada wetu umetuzidi uwezo kabisa, niseme ndio tumeutoa huku tunalia kimoyo moyo.


Wewe ungependa itolewe kiasi gani ili msaada usizidi uwezo??
 
Heri yake kama ni sadaka. Lakini ni mlipa kodi muaminifu pia? Maana vinavyopatikana kwa njia haramu haviwezi kuwa sadaka. Au isije kuwa ni muuza madawa ya kulevya anayetakasa fedha zake!!
Hizo porojo zingine.

Wapi iliandikwa serikali ya Tanzania imetowa huo msaada?
 
Hivi ukichukua MKOPO benk, ukitokea msiba Jirani, ukichukua sehemu ya MKOPO kumpa pole Jirani aliyefiwa, bank inaweza kukusamehe rejesho la wiki hiyo ya msiba?

Anyway kusaidia wenye taabu Si vibaya.
 
Atukatai angetoa ata Dola laki moja,nadhani ata Rais Erdogan atakuwa kashituka kwa nchi Masikini kama Tanzania kutoa Hela ndefu namna hiyo.
Ila hawa Wanasiasa wetu siyo wa kuwaamini, unaweza kuta tumetangaziwa Dola milioni moja kumbe zipo milioni 10 zingine Balozi kaambiwa vijana watakuja kuzichukua.
 
Mama anahusu nini? Ulisikia mama katowa hizo pesa?

Hapo inaongelewa Tanzania, siyo serikali ya Tanzania.
Kwamba mm nikitoa msaada Leo uturuki watasema Tanzania imetoa msaada sio?

Hivi umefunga Kweli au una kashata Kwa baibui unakula Kwa kificho?

Au kufunga kusema uongo Haiwezekani?
 
Dola milioni moja msaada wa kibinafamu kwa taifa kubwa kama Tanzania ni pisa kiduchu! Kumbuka tuliuza dhabu tu yenye thamani dola bilioni 3 mwaka 2022
 
Wapi iliandikwa serikali imetowa sadaka?
Tujuze katoa nani?
Kama Lengo lilikuwa ni kutojulikana angeweza peleka kimya kimya. Na pesa ikapokelewa vizuri tu

Ila kama wanatangaza Tanzania imetoa msaada, maan yake ni serikali ya Jamhuri.
 
Tz muda wowote kuanzia sasa Tutauza umeme afrika kusini "sauti ya maza ilisikika"
 
Mada umeielewa lakini? Yaani unaomba kibaba cha unga kwa jirani, jioni unachangia Elfu tano kwa jirani mwingine ambaye kioo cha dirisha lake kimevunjwa na upepo.
Huyu anapenda ligi,hataki kukubali kuwa Mama katukosea Watanzania.Tuna hali ngumu hivi alafu anapeleka misaada kwa matajiri.Hiyo pesa si angeongezea ata Ruzuku ya Mbolea kwa Wakulima au angewapa TARURA warekebishe Barabara za vijijini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…