Hiyo pesa ifuatiliwe,ukute tunaambiwa Dola milioni moja kumbe zipo milioni 10 zingine Balozi kaambiwa vijana watakuja kuzichukua.Hao Uturuki wenyewe siku chache baada ya tetemeko la ardhi wakaendelea na mashindano waliyoandaa kwa gharama kubwa ya EU indoor championship na stadium ilikuwa inajaza washangiliaji kama upande mwingine wa nchi yao akujatokea majanga.
Wewe kiherehere wananchi wako ata hela za kugomboa miili ya ndugu zao hospitali wakailaze kwenye nyumba zao za milele hawana; halafu unataka kusaidia nchi tajiri.
Weka ushahidi kuwa serikali imetowa hizo pesa.Acha kutupiga kamba Dada!
Na mimi nilishangaa wanajamvi wakanikemeaTanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!
Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!
Huyu ni msemaji wa serikali ya nchi gani?Weka ushahidi kuwa serikali imetowa hizo pesa.
Lolote nchi hii kwa sasa linawezekana.Hiyo pesa ifuatiliwe,ukute tunaambiwa Dola milioni moja kumbe zipo milioni 10 zingine Balozi kaambiwa vijana watakuja kuzichukua.
Weka clear maoni yako, Tanzania ni nchi yenye wsnachi wske na yenye serikali yake, hizo pesa "ulizosikia" hukusikia katowa nani?Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.
Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!
Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!
Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!
Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
Walipaswa kununu madawati 4000 na sio ticket 4000!Na mimi nilishangaa wanajamvi wakanikemea
Rais Samia na Waziri Mkuu wanunua tiketi 4000 mchezo wa Tanzania vs Uganda
Picha: Rais Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa wamenunua jumla ya tiketi 4,000 za mechi ya kufuzu AFCON 2023 kati ya Tanzania na Uganda. Tiketi hizo zitagawiwa kwa mashabiki ili waende kushuhudia mechi hiyo itakayochezwa uwanja...www.jamiiforums.com
Msemaji kasema Tanzania imetowa, msemaji kasema kuwa serikali ya Tanzania imetowa?Huyu ni msemaji wa serikali ya nchi gani?View attachment 2563786
La hasha!Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.
Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!
Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!
Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!
Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
Hapo sasa, kwa Uturuki iwe nongwa, kwa malawi iwe kawaida tu.
Aiseeeeee !!!Hao Uturuki wenyewe siku chache baada ya tetemeko la ardhi wakaendelea na mashindano waliyoandaa kwa gharama kubwa ya EU indoor championship na stadium ilikuwa inajaza washangiliaji kama upande mwingine wa nchi yao akujatokea majanga.
Wewe kiherehere wananchi wako ata hela za kugomboa miili ya ndugu zao hospitali wakailaze kwenye nyumba zao za milele hawana; halafu unataka kusaidia nchi tajiri.
Fazili upo sahihi kbs ✔️!! But nakuja tofaut kidogo juu ya hili... B 2 na point ni pesa nying lkn kwann tusipigie kelele mabilioni mengi zaid ya hizi mbili? At least bora zipo wazi zimeenda kama msaada. Je haya mabilioni ya kifisadi ambayo CAG ameelezea sana, kwann wahusika hwachukuliwi hatua? Basi pesa zote zirudishwe lkn hakuna. Hapa ndipo pa kukazia zaid!!Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.
Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!
Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!
Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!
Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....
hata mungu aliko anashangaa na ujinga unaomwaga humuAcha kudanganya watu ! Sisi Watanzania tuna utajiri mwingi wa moyo!. HERI WENYE UTAJIRI WA MOYO MAANA WATAITWA WANA WA MUNGU
Atukatai angetoa ata Dola laki moja,nadhani ata Rais Erdogan atakuwa kashituka kwa nchi Masikini kama Tanzania kutoa Hela ndefu namna hiyo.
Ila hawa Wanasiasa wetu siyo wa kuwaamini, unaweza kuta tumetangaziwa Dola milioni moja kumbe zipo milioni 10 zingine Balozi kaambiwa vijana watakuja kuzichukua.
Acheni kunung'unika. Ilichofanya Tanzania ni kumsaidia rafiki aliyepata janga na wala siyo msaada. Kumsaidia jamaa yako aliyepeta janga haihitaji hadi uwe tajiri.Tumesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kuwa Tanzania imetoa dola za Kimarekani milioni moja (zaidi ya bilioni 2 na milioni 200) kwa Uturuki iliyopatwa na janga la tetemeko la ardhi mwezi ulliopita.
Yapi Merkezi ni kampuni ya Kituruki inayojenga SGR kutoka Dar hadi Mwanza kwa zaidi ya trilioni 14 shilingi za kitanzania. Hii hi theluthi nzima ya bajeti ya Tanzania kwa mwaka!
Tanzania ni moja ya nchi maskini sana duniani na matatizo yetu bado ni yale ya siku za kale, kama kukosa maji safi na salama, watu kukosa chakula na kufa kwa njaa, wanafunzi kusomea chini ya miti na wananchi kushindwa kumudu kuwa na vyoo hata vile vya shimo!
Inashangaza sana kuona nchi kama yetu iliyo kwenye list nyekundu ya nchi maskini duniani ikitoa msaada wa fedha kwa nchi matajiri za Ulaya kama Uturuki!
Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya fedha za maskini....