Nchi hii kuna siku utasikia hawa nao wanataka Urais

Nchi hii kuna siku utasikia hawa nao wanataka Urais

HAO IKIFIKA 2025 WATAANZA MAKEKE YAO
Kabla ya uchaguzi, I believe wata-keep low profile coz' wanafahamu there's no way wenye CCM yao wanaweza kuwapitisha wakati sitting president bado ana fursa ya kugombea tena.

So, kwenye uchaguzi wa 2025 huenda wakajionesha bado wanamuunga mkono mama ili asiwasahau kwenye ufalme wake!!

Ukishapita uchaguzi sasa, wallah tutapata nao taabu sana hawa jamaa manake wote hao ni wapenda urais...
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
Ulitaka nani autake Urais? Wewe au?
 
Huo unaitwa "uchuro".
Man,

Ukweli wenyewe ndo huo hata kama ni uchuro!

Na kama ni uchuro basi uchuro huo sio hao jamaa bali CCM yenyewe ambao watakachotaka wao ndicho kitakuwa tumetaka tusitake unless Watanzania wa leo tupate mabadiliko makubwa ya kifikra, vinginevyo, tutake tusitake, tutarajie mmoja wao kati ya hao wawili!
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete

Kama Magufuli aliweza kazi ya urais nani atashindwa?
 
Asiyefaa hulinganishwa na anayefaa. Unasemaje huyu ni mfupi bila kuwepo mrefu?
 
Nireteeni bashite nireteeni bashiteeee alisikika MLA michembe mwenye kichwa kama kambale na PhD feki toka chato
 
Rekodi ilimbeba. Ubabe ni moja ya sifa kubwa iliyombeba. Na alionyesha ubabe na mambo yaliwezekana. Nani alijua kuwa ipo siku;
1. Tanzania itakuwa na ndege tena?
2. Tanzania itakuwa na barabara za juu
3. Tanzania itakuwa ni kimbilio kwa tiba za kibingwa kwa baadhi ya nchi kusini mwa jangwa la sahara?
4. Tanzania itasambaza umeme karibia kila kijiji.
5. Kwamba ingefikia mahali mfanyakazi wa serikali anasema serikalini sio mahali salama pa kufanyia kazi, mahali palipozoeleka kama kijiwe cha kupiga hela za walipa kodi. Japo inarudi tena.
6. Hatukujuwa kama tembo na faru wataongezeka tena. Maana walikuwa wanahesabika na kuelekea kubakiza historia ya uwepo.
7. Kwamba tusingesikia tena mauaji ya albino na vikongwe.
8. Mgao wa maji na umeme ulifikia kusahaulika na kuonekana kumbe si kitu cha kawaida.
Rubbish, kwani Uingereza ilianzaje? or for that matter the developed world, wamefika hapa kwa kuua watu? Bila kua watu wamefika hapa walipo. sasa hili Hutu limeua mpaka basi, leo unaleta upuuzi wako hapa
 
Man,

Ukweli wenyewe ndo huo hata kama ni uchuro!

Na kama ni uchuro basi uchuro huo sio hao jamaa bali CCM yenyewe ambao watakachotaka wao ndicho kitakuwa tumetaka tusitake unless Watanzania wa leo tupate mabadiliko makubwa ya kifikra, vinginevyo, tutake tusitake, tutarajie mmoja wao kati ya hao wawili!
Hakuna hata mmoja hapo anakua Rais, sio 2025 sio 2030. Utake usitake tunza hii post.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Rekodi ilimbeba. Ubabe ni moja ya sifa kubwa iliyombeba. Na alionyesha ubabe na mambo yaliwezekana. Nani alijua kuwa ipo siku;
1. Tanzania itakuwa na ndege tena?
2. Tanzania itakuwa na barabara za juu
3. Tanzania itakuwa ni kimbilio kwa tiba za kibingwa kwa baadhi ya nchi kusini mwa jangwa la sahara?
4. Tanzania itasambaza umeme karibia kila kijiji.
5. Kwamba ingefikia mahali mfanyakazi wa serikali anasema serikalini sio mahali salama pa kufanyia kazi, mahali palipozoeleka kama kijiwe cha kupiga hela za walipa kodi. Japo inarudi tena.
6. Hatukujuwa kama tembo na faru wataongezeka tena. Maana walikuwa wanahesabika na kuelekea kubakiza historia ya uwepo.
7. Kwamba tusingesikia tena mauaji ya albino na vikongwe.
8. Mgao wa maji na umeme ulifikia kusahaulika na kuonekana kumbe si kitu cha kawaida.
Leo wajinga wakalia matako wanamuita ibilisi watuambie wao wameifanyia nini nchi hii ili tuwatunuku.
 
Kama Magufuli aliweza kazi ya urais nani atashindwa?
Wenye ujasiri na uthubutu wa Magufuli ni wachache sana Tanzania hii. Alikuwa na jeuri ya kutafuta mitaji ya kufanya mambo makubwa sana, sifa ambayo marais wenzake hawana.

Kupata mtaji wa kulifufua ATCL sio jambo dogo kama tunavyojaribu kudanganyana. Kusema concentrates ya matajiri wa Canada haitakwenda nje ya nchi mpaka boss wao akaja na ndege yao binafsi sio suala dogo hata kidogo.

Kubomoa maelfu ya nyuma za Kimara kwa kufuata sheria na kanuni akijua wengi wataumia haukuwa uamuzi wa kitoto na faida kila mtu leo anaiona.

Ni rahisi sana kumponda JPM kwa chuki chache za hapa na pale lakini ukitazama msingi wa alichofanya sio rahisi kuweza kutokea mwingine mrasimu akaweza kufanya.
 
Wenye ujasiri na uthubutu wa Magufuli ni wachache sana Tanzania hii. Alikuwa na jeuri ya kutafuta mitaji ya kufanya mambo makubwa sana, sifa ambayo marais wenzake hawana.

Kupata mtaji wa kulifufua ATCL sio jambo dogo kama tunavyojaribu kudanganyana. Kusema concentrates ya matajiri wa Canada haitakwenda nje ya nchi mpaka boss wao akaja na ndege yao binafsi sio suala dogo hata kidogo.

Kubomoa maelfu ya nyuma za Kimara kwa kufuata sheria na kanuni akijua wengi wataumia haukuwa uamuzi wa kitoto na faida kila mtu leo anaiona.

Ni rahisi sana kumponda JPM kwa chuki chache za hapa na pale lakini ukitazama msingi wa alichofanya sio rahisi kuweza kutokea mwingine mrasimu akaweza kufanya.

Ujasiri wa kuvunja sheria huo sio ujasiri bali ni uhalifu.

Pesa za kununulia ndege alipora kwenye mfuko wa korosho, kwenye mifuko ya hifadhi za jamii, leo hii mifuko hiyo tanaambiwa imefilisika. Boss wa Barrick alikuja kweli, kwani kipi kikubwa tumepata kulinganisha na wao? Au tumewanyang'anya migodi?
 
Nchi yenyewe inazidi kuuoza, fisi wanatafuna nchi, chawa wanafyonza kwa mafisi.
 
Kama yule ibilisi wa kihutu aliweza kuwa Rais nani atashindwa?
Yule jamaa mi ambacho namchukia ni kuwapiga chini wenye vyeti fake. Nina jamaa zangu mpaka leo tia maji tia maji. Wakati sisi tunasoma wao walikuwa wanasema haina haja. Wakafanya mipango kwa vyeti wakapata ajira. Kumbe Magufuli alikuwa na taarifa ya makundi ya watu flani wanapata ajira kwa vyeti fake. Akaja wapiga chini...wale jamaa mpaka leo wanamchukia sana...🤣
 
Back
Top Bottom