Nchi hii kuna siku utasikia hawa nao wanataka Urais

Nchi hii kuna siku utasikia hawa nao wanataka Urais

Rekodi ilimbeba. Ubabe ni moja ya sifa kubwa iliyombeba. Na alionyesha ubabe na mambo yaliwezekana. Nani alijua kuwa ipo siku;
1. Tanzania itakuwa na ndege tena?
2. Tanzania itakuwa na barabara za juu
3. Tanzania itakuwa ni kimbilio kwa tiba za kibingwa kwa baadhi ya nchi kusini mwa jangwa la sahara?
4. Tanzania itasambaza umeme karibia kila kijiji.
5. Kwamba ingefikia mahali mfanyakazi wa serikali anasema serikalini sio mahali salama pa kufanyia kazi, mahali palipozoeleka kama kijiwe cha kupiga hela za walipa kodi. Japo inarudi tena.
6. Hatukujuwa kama tembo na faru wataongezeka tena. Maana walikuwa wanahesabika na kuelekea kubakiza historia ya uwepo.
7. Kwamba tusingesikia tena mauaji ya albino na vikongwe.
Weka na hizi;
1. Tz ilikuwa na ukatili wa kutisha!
2. Tz kulikuwa na mauaji kadiri anavyoamua!
3. Tz kulikuwa na uporaji na ujambazi tena wa viongozi!
4. Tz demokrasia ilitupwa ktk majalala na 'mtu mmoja' kuamua atakavyo!
Kwendeni na katili wenu!
 
Unashangaa hao unaweza Kuta hata mwijaku na baba levo bila kumsahau la Saba msukuma wana uwaza uraisi 🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
Huyo number moja ndio hafai,hao Wengine wote wanafaa,

Nchi hii mtu ambae hakufaa kuwa Rais magufuli
 
Kuna shida gani wakiwa Marais? Tumejifunza saivi tunawapa Urais watu waliojiandaa kuwa Marais kwa muda mrefu hatutaki kumpa nchi mburundi tena
Exactly, Bora kuwapa urais watu Kama hao ambao tunawajua vizuri, kuliko kumpa jitu lina asili ya unyarwanda linakuja kuua watoto zetu
 
Waliojenga ndani ya hifadhi ya barabara ndio walivunja sheria. Nidhamu ya kutumia kinachokusanywa vizuri ni sifa waliyokosa marais wengine yeye alikuwa nayo akaweza kufanya makubwa kama kununua rada tuliyopigwa enzi za Hayati Mramba.

Mifuko imefilisika kwa sababu ya ufisadi na ukosefu wa uwazi matatizo mawilii ya miaka mingi tuliyonayo kama taifa.

Hatujawanyang'anya migodi tumeongeza hisa zetu katika makampuni yao na hivyo kuongeza gawio la kiserikali. Yote hayo yamefanyika kwa uthubutu wa JPM.
na zile fedha za rambirambi za watu kagera ambazo alikwapua? Nao walivunja sheria? Dhuluma imemmaliza mungu wenu
 
na zile fedha za rambirambi za watu kagera ambazo alikwapua? Nao walivunja sheria? Dhuluma imemmaliza mungu wenu
Usiamini sana hizi habari za kimbea za instagram na humu JF, nenda katazame sekondari ya Ihungo iliyokarabatiwa utajua kila senti imetumika vipi.
 
Wote wanafaa. Yeyote anae ukwaa uraisi wa Tanzania hapo hapo hugeuka kuwa mtaalamu wa kila kitu. Uchumi, afya, elimu, kilimo n.k.
Na kwa mujibu wa busara ya baba wa taifa raisi si mtu wa kuondoshwa kirahisi. Rejea kadhia ya G55, Rais Ali Mwinyi na PM Malecela
 
Rekodi ilimbeba. Ubabe ni moja ya sifa kubwa iliyombeba. Na alionyesha ubabe na mambo yaliwezekana. Nani alijua kuwa ipo siku;
1. Tanzania itakuwa na ndege tena?
2. Tanzania itakuwa na barabara za juu
3. Tanzania itakuwa ni kimbilio kwa tiba za kibingwa kwa baadhi ya nchi kusini mwa jangwa la sahara?
4. Tanzania itasambaza umeme karibia kila kijiji.
5. Kwamba ingefikia mahali mfanyakazi wa serikali anasema serikalini sio mahali salama pa kufanyia kazi, mahali palipozoeleka kama kijiwe cha kupiga hela za walipa kodi. Japo inarudi tena.
6. Hatukujuwa kama tembo na faru wataongezeka tena. Maana walikuwa wanahesabika na kuelekea kubakiza historia ya uwepo.
7. Kwamba tusingesikia tena mauaji ya albino na vikongwe.
8. Mgao wa maji na umeme ulifikia kusahaulika na kuonekana kumbe si kitu cha kawaida.
6ft underground
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
6. Steve Nyerere
7. Mwinjaku
8. Lusinde (Kibajaji)
9. Makonda Paul
10. Zitto Kabwe
Namba 11 nadhani mimi pia nilistahili kuwepo, hunijui?
 
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.

1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
6. Steve Nyerere
7. Mwinjaku
8. Lusinde (Kibajaji)
9. Makonda Paul
10. Zitto Kabwe
🤣🤣🤣🤣nimecheka sana.
 
Back
Top Bottom