Kabla ya uchaguzi, I believe wata-keep low profile coz' wanafahamu there's no way wenye CCM yao wanaweza kuwapitisha wakati sitting president bado ana fursa ya kugombea tena.HAO IKIFIKA 2025 WATAANZA MAKEKE YAO
Ulitaka nani autake Urais? Wewe au?Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.
1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
Man,Huo unaitwa "uchuro".
'Tutake tusitake'Kwa bahati mbaya, tutake ama tusitake, Namba 2 au 3 ndo atapotoka Rais, na huenda na hata PM nae, akatoka hapo hapo.... yaani Rais na PM!
Nchi hii ishakuwa ya mchezo mchezo sana. Yaani kila mtu sasa anaona anaweza kuwa Rais. Pamoja na kuwa Katiba inaruhusu lakini tuwe serious wajameni. Watanzia tusidharaulike sana. Najua UraHIs kwa Watanzia ni kitu chepesi sana. Lakini tusifike huku.
1. Hamis Kigwangalla
2. January Makamba
3. Mwigulu Nchemba
4. Nape Nnauye
5. Ridhiwani Kikwete
Rubbish, kwani Uingereza ilianzaje? or for that matter the developed world, wamefika hapa kwa kuua watu? Bila kua watu wamefika hapa walipo. sasa hili Hutu limeua mpaka basi, leo unaleta upuuzi wako hapaRekodi ilimbeba. Ubabe ni moja ya sifa kubwa iliyombeba. Na alionyesha ubabe na mambo yaliwezekana. Nani alijua kuwa ipo siku;
1. Tanzania itakuwa na ndege tena?
2. Tanzania itakuwa na barabara za juu
3. Tanzania itakuwa ni kimbilio kwa tiba za kibingwa kwa baadhi ya nchi kusini mwa jangwa la sahara?
4. Tanzania itasambaza umeme karibia kila kijiji.
5. Kwamba ingefikia mahali mfanyakazi wa serikali anasema serikalini sio mahali salama pa kufanyia kazi, mahali palipozoeleka kama kijiwe cha kupiga hela za walipa kodi. Japo inarudi tena.
6. Hatukujuwa kama tembo na faru wataongezeka tena. Maana walikuwa wanahesabika na kuelekea kubakiza historia ya uwepo.
7. Kwamba tusingesikia tena mauaji ya albino na vikongwe.
8. Mgao wa maji na umeme ulifikia kusahaulika na kuonekana kumbe si kitu cha kawaida.
Hakuna hata mmoja hapo anakua Rais, sio 2025 sio 2030. Utake usitake tunza hii post.Man,
Ukweli wenyewe ndo huo hata kama ni uchuro!
Na kama ni uchuro basi uchuro huo sio hao jamaa bali CCM yenyewe ambao watakachotaka wao ndicho kitakuwa tumetaka tusitake unless Watanzania wa leo tupate mabadiliko makubwa ya kifikra, vinginevyo, tutake tusitake, tutarajie mmoja wao kati ya hao wawili!
Daaaaaaaaah mpaka nimetamani kukufahamu mzee hahahaaaaaaMaisha bana,zamani ilikua unafunua chupi unakutana na tako ila Siku hizi unafunua tako unakutana na chupi- Bikini
Leo wajinga wakalia matako wanamuita ibilisi watuambie wao wameifanyia nini nchi hii ili tuwatunuku.Rekodi ilimbeba. Ubabe ni moja ya sifa kubwa iliyombeba. Na alionyesha ubabe na mambo yaliwezekana. Nani alijua kuwa ipo siku;
1. Tanzania itakuwa na ndege tena?
2. Tanzania itakuwa na barabara za juu
3. Tanzania itakuwa ni kimbilio kwa tiba za kibingwa kwa baadhi ya nchi kusini mwa jangwa la sahara?
4. Tanzania itasambaza umeme karibia kila kijiji.
5. Kwamba ingefikia mahali mfanyakazi wa serikali anasema serikalini sio mahali salama pa kufanyia kazi, mahali palipozoeleka kama kijiwe cha kupiga hela za walipa kodi. Japo inarudi tena.
6. Hatukujuwa kama tembo na faru wataongezeka tena. Maana walikuwa wanahesabika na kuelekea kubakiza historia ya uwepo.
7. Kwamba tusingesikia tena mauaji ya albino na vikongwe.
8. Mgao wa maji na umeme ulifikia kusahaulika na kuonekana kumbe si kitu cha kawaida.
Chuo gani hicho kinaitwa Chato?PhD feki toka chato
Mungu hapangiwi !!Tutake tusikate..we kama nani? Mbona 2015 hawakutoka kwani hawakuwepo?
Wenye ujasiri na uthubutu wa Magufuli ni wachache sana Tanzania hii. Alikuwa na jeuri ya kutafuta mitaji ya kufanya mambo makubwa sana, sifa ambayo marais wenzake hawana.Kama Magufuli aliweza kazi ya urais nani atashindwa?
Wenye ujasiri na uthubutu wa Magufuli ni wachache sana Tanzania hii. Alikuwa na jeuri ya kutafuta mitaji ya kufanya mambo makubwa sana, sifa ambayo marais wenzake hawana.
Kupata mtaji wa kulifufua ATCL sio jambo dogo kama tunavyojaribu kudanganyana. Kusema concentrates ya matajiri wa Canada haitakwenda nje ya nchi mpaka boss wao akaja na ndege yao binafsi sio suala dogo hata kidogo.
Kubomoa maelfu ya nyuma za Kimara kwa kufuata sheria na kanuni akijua wengi wataumia haukuwa uamuzi wa kitoto na faida kila mtu leo anaiona.
Ni rahisi sana kumponda JPM kwa chuki chache za hapa na pale lakini ukitazama msingi wa alichofanya sio rahisi kuweza kutokea mwingine mrasimu akaweza kufanya.
Yule jamaa mi ambacho namchukia ni kuwapiga chini wenye vyeti fake. Nina jamaa zangu mpaka leo tia maji tia maji. Wakati sisi tunasoma wao walikuwa wanasema haina haja. Wakafanya mipango kwa vyeti wakapata ajira. Kumbe Magufuli alikuwa na taarifa ya makundi ya watu flani wanapata ajira kwa vyeti fake. Akaja wapiga chini...wale jamaa mpaka leo wanamchukia sana...🤣Kama yule ibilisi wa kihutu aliweza kuwa Rais nani atashindwa?
Mbona kama umepaniki sana? Just calm down ndugu mwananchi....😂Ulitaka nani autake Urais? Wewe au?
Endelea kujipa moyo...Things gonna change to what they never expected, just watch and see...Kings rule through their words...Is not as simple as they wishHAO IKIFIKA 2025 WATAANZA MAKEKE YAO