Uchaguzi 2020 Nchi imeamka ikiwa na huzuni kubwa sana, Kwamba wabunge wote Bara 100% wameshinda wa CCM

Unadhani wananch ni wajinga kama, yani miaka yote 60 mko nyie tu leo mlaumu upinzan? majimbo ambayo mko CCM pekee mmefanya nini??

ukiwa mjinga n ww peke yako, usijumlishe watu wengine kwenye huo ujinga
 

Mmebaki wenyewe bunge zima tuone sasa ndan ya hii miaka mitano nchi itakuwa kama urayaaaa
 
Kuna msemo unasema kama uwezi kupamba nao ,ungana nao.Mungu mwema.kila kitu kinasababu na sababu yenyewe ndio hii.Maisha lazima yaendelee atiiii
 
Mkuu unapinga wananchi kuamua au ulitakaje? Mimi na pengine hata wewe hatujachagua CHADEMA kutokana na msimamo wao wa kutaka watanzania kuwa mashoga ili tupate msaada toka Marekani na Canada huku viongozi wawe wanatuibia mali zetu na kujilimbikizia, kujinufaisha wao na familia zao. Wacha upinzani ufe tu, hawana jipya.
 
Hatutaki demokrasia uchwara!!! Demokrasia ya kuhimizana kuingia barabarani!!! Tunataka demokrasia ya kuhimizana kuingia kazini kujenga nchi yetu Tanzania.
Mmeipata sasa pigeni kazi. Maisha yatakuwa mepesi sasa....upinzani walitubana sana.....sasa hata mishaara itaongezeka
 
kumbe na wewe unatumia vpn kama korea kaskazini hahahhaha kumbe hata wewe unayapata mauchungu ya magu hahahaha nilikuwa nafikiri ni mimi mwenyewe hahahah
 
Mkuu kwanza pole na kumradhi kwa kukukwaza. Yawezekana TUJITEGEMEE wa jukwaa la kimataifa akaonekana tofauti katika majukwaa mengine. Ukweli ni TUJITEGEMEE yuleyule.

Hata hivyo, linapokuja suala la nchi yangu Tanzania ( sina Tanzania nyingine, sina mbadala wa Tanzania) na Afrika kwa ujumla niko tayari kuitwa majina yoyote kama ni suala la kuitetea Tanzania, watanzania, Afrika na waafrika na wote wenye kujali utu ulimwenguni!! Siwezi kuona aibu katika hili. Hivyo, ninaomba uniwie radhi katika hilo pia.

Naitamani Tanzania imara kimaendeleo katika nyanja zote na Tanzania itakayoendelea kuwepo! Yeyote anayetamani Tanzania isiwepo ama irudi nyuma kimaendeleo awe tayari kuniita majina anayotaka, kwa sababu sitakubaliana naye na sitaona aibu katika hilo.

Tuendelee na mjadala Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…