Nchi imepigwa nusu kaputi. Vikosi vya uokoaji vimefika eneo la tukio vikiwa mikono mitupu

Hahaha wangesikia Mnyika kafanya mkutano ndio ungeona kama vikosi vipo au la!
 
Which Means ziwa lote la victoria halina technical measn za rescue.
This is Afrika in Tanzania
 
Tunafungua mipaka iliokuwa imefungwa, Mungu atukumbuke watanzania.
 
Na hilo tukio linavyofanyika ni utalii tosha [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nimejisikia aibu sana...Kweli karne hii Mungu wangu, hakuna hata emergence boat kwenye uwanja ambao miaka kafhaa uwanja wa ndege upo karibu na ziwa? Nani ametuloga ndugu zangu?
Ccm plus kuwa na viongozi vilaza
 
Mh embu tupe ilipazwa kufutwa na nin na minyororo ama nn manke umeongea as if Kwamba Kuna njia uanzo jinsi ya kunazua hyo ndge Chini ambayo haitatumika tena ktk
Mbona unaandika kama unasinzia vipi?
 
Sisi tunaposema CCM imechoka ipumuzishwe nyie mnaleta mizaha mingi mnatuona sisi wapingaji kumbe hua tunamanisha tujifunze kutokana na makosa.ccm ishajichokea jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…