Nchi ina kampuni 21 za kucheza kamari halafu uniambie tutakuwa na vijana jasiri na wapenda mabadiliko

Nchi ina kampuni 21 za kucheza kamari halafu uniambie tutakuwa na vijana jasiri na wapenda mabadiliko

strongest

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2024
Posts
343
Reaction score
1,562
Nchi yeyote ukipumbaza vijana basi utashinda na ndo ccm ilipofanikiwa.

sasa hivi vijana hawa uwezo wa kushinikiza wapate ajira wao wanakomaa na kamari .

psychologically kamari hua inatengeneza matumaini hewa kwamba ipo siku utawin mwisho wa siku unageuziwa kibao
 
Nchi yeyote ukipumbaza vijana basi utashinda na ndo ccm ilipofanikiwa.

sasa hivi vijana hawa uwezo wa kushinikiza wapate ajira wao wanakomaa na kamari .

psychologically kamari hua inatengeneza matumaini hewa kwamba ipo siku utawin mwisho wa siku unageuziwa kibao
Acha watu wajitafutie hela ,kuna viwanda vya pombe ,sigara etc na pia siyo lazima ucheze kamari au unywe pombe au kuvuta sigara...hawalazimishi....Mbona kuna makasino yapo tangu enzi za nyerere? Au kwakuwa kamari imekuwa advanced kuwa online? Kwahiyo Gaming Board unaona hawana akili kuruhusu?
 
1. Tatu Mzuka
2. SportPesa
3. Biko
4. M-Bet
5. Gwalabet
6. Wasafi Bet
7. Meridianbet
8. Betway
9. Pigabet
10. Bookbet
11. Betika
12. Mojabet
13. Mchongopesa
14. Dilipesa
15. Kingbet
17. Betpawa
18. 888bet
19. Mkwanjabeta
20. Butua
21. Bongo Milionea
22. Mzuka Casino
23. 10bet
24. Gama gaming
25. Sokabet
26. Gal sport betting
27. Playmasterbet
28. BetX
29. Throne Bet
30. Win princess
31. Parimatch
32. Bonusbet
33. Sportybet
34. Livepesa
35. Mchezo Supa
36. AfyaBet
37. Jackpot City
38. SlotPesa

Hivyo ni baadhi TU ya viwanda vinavyotesa kwa sasa hapa nchini. Vijana hatuendi kwenye vikao vya mitaa, Wala hatuna muda wa kufuatilia mambo yanayoendelea hapa nchini. Anatokea kiongozi mkubwa anasema eti vijana wamepotoka na sasa hakuna maadili kabisa huku anasahau yeye ndiye mtunga sera na mratibu wa yanayoendelea?

Mtaji wa watawala ni ujinga na haya makampuni yanafurika hapa kwetu kwa sababu ya ujinga wetu.
 
Nchi yeyote ukipumbaza vijana basi utashinda na ndo ccm ilipofanikiwa.

sasa hivi vijana hawa uwezo wa kushinikiza wapate ajira wao wanakomaa na kamari .

psychologically kamari hua inatengeneza matumaini hewa kwamba ipo siku utawin mwisho wa siku unageuziwa kibao
Mbona chache sana? Vipi wewe unacheza kamari au huchezi kama huchezi umeleta mabadiriko gani mpaka Sasa?
 
1. Tatu Mzuka
2. SportPesa
3. Biko
4. M-Bet
5. Gwalabet
6. Wasafi Bet
7. Meridianbet
8. Betway
9. Pigabet
10. Bookbet
11. Betika
12. Mojabet
13. Mchongopesa
14. Dilipesa
15. Kingbet
17. Betpawa
18. 888bet
19. Mkwanjabeta
20. Butua
21. Bongo Milionea
22. Mzuka Casino
23. 10bet
24. Gama gaming
25. Sokabet
26. Gal sport betting
27. Playmasterbet
28. BetX
29. Throne Bet
30. Win princess
31. Parimatch
32. Bonusbet
33. Sportybet
34. Livepesa
35. Mchezo Supa
36. AfyaBet
37. Jackpot City
38. SlotPesa

Hivyo ni baadhi TU ya viwanda vinavyotesa kwa sasa hapa nchini. Vijana hatuendi kwenye vikao vya mitaa, Wala hatuna muda wa kufuatilia mambo yanayoendelea hapa nchini. Anatokea kiongozi mkubwa anasema eti vijana wamepotoka na sasa hakuna maadili kabisa huku anasahau yeye ndiye mtunga sera na mratibu wa yanayoendelea?

Mtaji wa watawala ni ujinga na haya makampuni yanafurika hapa kwetu kwa sababu ya ujinga wetu.
aise
1. Tatu Mzuka
2. SportPesa
3. Biko
4. M-Bet
5. Gwalabet
6. Wasafi Bet
7. Meridianbet
8. Betway
9. Pigabet
10. Bookbet
11. Betika
12. Mojabet
13. Mchongopesa
14. Dilipesa
15. Kingbet
17. Betpawa
18. 888bet
19. Mkwanjabeta
20. Butua
21. Bongo Milionea
22. Mzuka Casino
23. 10bet
24. Gama gaming
25. Sokabet
26. Gal sport betting
27. Playmasterbet
28. BetX
29. Throne Bet
30. Win princess
31. Parimatch
32. Bonusbet
33. Sportybet
34. Livepesa
35. Mchezo Supa
36. AfyaBet
37. Jackpot City
38. SlotPesa

Hivyo ni baadhi TU ya viwanda vinavyotesa kwa sasa hapa nchini. Vijana hatuendi kwenye vikao vya mitaa, Wala hatuna muda wa kufuatilia mambo yanayoendelea hapa nchini. Anatokea kiongozi mkubwa anasema eti vijana wamepotoka na sasa hakuna maadili kabisa huku anasahau yeye ndiye mtunga sera na mratibu wa yanayoendelea?

Mtaji wa watawala ni ujinga na haya makampuni yanafurika hapa kwetu kwa sababu ya ujinga wetu.
statistics zangu zilikua za 2023 manake ndani ya mwaka pameongezeka kampuni 20 kuna hizi umesahau mkeka bet,primeabet ,leon bet, parmatch ,bangbet hii ni dhoruba
 
Nchi yeyote ukipumbaza vijana basi utashinda na ndo ccm ilipofanikiwa.

sasa hivi vijana hawa uwezo wa kushinikiza wapate ajira wao wanakomaa na kamari .

psychologically kamari hua inatengeneza matumaini hewa kwamba ipo siku utawin mwisho wa siku unageuziwa kibao
Hii inadumaza kufikiri ya vijana kwa kuwaza kupata mali bila jasho.
 
Acha watu wajitafutie hela ,kuna viwanda vya pombe ,sigara etc na pia siyo lazima ucheze kamari au unywe pombe au kuvuta sigara...hawalazimishi....Mbona kuna makasino yapo tangu enzi za nyerere? Au kwakuwa kamari imekuwa advanced kuwa online? Kwahiyo Gaming Board unaona hawana akili kuruhusu?
Mkuu kuna hii kampuni ya betting ambayo alianzisha msichana Denis Coates baada ya kuwa mkurugenzi kwenye kampuni ya baba yake ya betting huku UK
Mwaka 2000 akafungua ya kwake kwa jina la bet365
Ms Coates mshahara wake ni $281m kwa mwaka can you believe that
Mtoto hajaolewa bado huyu
Kweli Betting inalipa aisee
Anakula mshahara kuliko CEO wengi sana hapa achana na wanasiasa ila biashara hii inalipa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-12-13-14-36-10-076.jpg
    Screenshot_2024-12-13-14-36-10-076.jpg
    453.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom