Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Siku zote mlikuwa wapi kutengeneza uchumi mpaka mtake kutengeneza uchumi kipindi hiki?wale hawana cha kupoteza tayari washatengeneza uchumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote mlikuwa wapi kutengeneza uchumi mpaka mtake kutengeneza uchumi kipindi hiki?wale hawana cha kupoteza tayari washatengeneza uchumi
kAzi ipo1. Tatu Mzuka
2. SportPesa
3. Biko
4. M-Bet
5. Gwalabet
6. Wasafi Bet
7. Meridianbet
8. Betway
9. Pigabet
10. Bookbet
11. Betika
12. Mojabet
13. Mchongopesa
14. Dilipesa
15. Kingbet
17. Betpawa
18. 888bet
19. Mkwanjabeta
20. Butua
21. Bongo Milionea
22. Mzuka Casino
23. 10bet
24. Gama gaming
25. Sokabet
26. Gal sport betting
27. Playmasterbet
28. BetX
29. Throne Bet
30. Win princess
31. Parimatch
32. Bonusbet
33. Sportybet
34. Livepesa
35. Mchezo Supa
36. AfyaBet
37. Jackpot City
38. SlotPesa
Hivyo ni baadhi TU ya viwanda vinavyotesa kwa sasa hapa nchini. Vijana hatuendi kwenye vikao vya mitaa, Wala hatuna muda wa kufuatilia mambo yanayoendelea hapa nchini. Anatokea kiongozi mkubwa anasema eti vijana wamepotoka na sasa hakuna maadili kabisa huku anasahau yeye ndiye mtunga sera na mratibu wa yanayoendelea?
Mtaji wa watawala ni ujinga na haya makampuni yanafurika hapa kwetu kwa sababu ya ujinga wetu.
Asante mkuu kawaida tuUmemaliza
Na mama yako auUnakazwa
Unakazwa na Mm mwnywNa mama yako au
Wewe usiyebet onyesha utajiri wako wa mabilioni Ili tuamini kama betting ni mbaya ukionyesha mabilioni Yako Mimi naacha betting Leo Leo ila kama huna hayo mabilioni fata maisha Yako hujaja na mtu duniani hapaWewe unayebeti umefanya nini cha maana? Umeshinda hela ngapi?Umefanikiwa vipi tangu uanze kubeti? Betting ni kamari, ni dhambi.
Uingereza ina kampuni ngapi za kubet?..unataka mabadiliko gani?
Ila kodi mnazitaka 🤣🤣🤣🤣Nchi yeyote ukipumbaza vijana basi utashinda na ndo ccm ilipofanikiwa.
sasa hivi vijana hawa uwezo wa kushinikiza wapate ajira wao wanakomaa na kamari .
psychologically kamari hua inatengeneza matumaini hewa kwamba ipo siku utawin mwisho wa siku unageuziwa kibao
Pesa za kamari siku zote mwisho wake mmbaya!Ina shida kwa wachezaji kwani ina ushawishi sana na ni zaidi ya pombe nafikiri
Yaani huku kuna watu wanacheza mpaka hela za mikopo kwenye credit card zao
Wenye makampuni ndio wanafaidika sana na wanajilipa hela za kufuru
Wewe mini na uhakika 💯 ni shoga, we ukaze wanaume. Maneno yako yanaonyesha we ni shoga.Unakazwa na Mm mwnyw
Kwa ufupi ni haram na haina faida yoyote kihivyoPesa za kamari siku zote mwisho wake mmbaya!
Uliwahi kusikia stori huko ya yule mzenji aliyekuwa raia wa UK alishinda pesa nyingi sana kibongobongo alikuwa anamkaribia baresa lkn mwisho wa siku aliishiakuwa lofa
Angalia pia wale wanaoshinda ile lottery kubwa USA wengi wanaishiaa shimoni
Hizo pesa ni kama zina laanaa au
Labda ukizipata hutakiwi kuwa nanwenge kabisa
Ova
Njoo ujioneeWewe mini na uhakika 💯 ni shoga, we ukaze wanaume. Maneno yako yanaonyesha we ni shoga.
Ni mwendo wa kucheza Kamari tu.Nchi yeyote ukipumbaza vijana basi utashinda na ndo ccm ilipofanikiwa.
sasa hivi vijana hawa uwezo wa kushinikiza wapate ajira wao wanakomaa na kamari .
psychologically kamari hua inatengeneza matumaini hewa kwamba ipo siku utawin mwisho wa siku unageuziwa kibao
Situmii wasengeNjoo ujionee