Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
u seems stupidZipo zaidi ya 21! So what
U.k na Tanzania haziko level moja acha ujingaUsifananishe kwa nini kwa muktadha wa mada!?..una akili ya kutafakari mambo!?
Kufananisha kwenye nini?..hatuzungumzii uchumi wala teknolojia hapa,acha kukaririU.k na Tanzania haziko level moja acha ujinga
Tanzania ifananishe na uganda ndo level zake na sio u.k
Mkuu kweli vichwa vya dizel mbona hii imenipita.Mwamba kama tu kuna viongozi hawabet na wameagiza vichwa vya disel kwa ajili ya Treni ya njia ya umeme...
Kampuni za kubet ziongezeke tu hakuna namna.
Hahaha Mkuu vimeagizwa vitakuja mwakani.Mkuu kweli vichwa vya dizel mbona hii imenipita.
Hapana bwana,Kampuni 175 na Uchumi uko juu
Vijana wa huko wanaendekeza ngono, na yanga
Asee basi watu tu waendelee kucheza kamariHahaha Mkuu vimeagizwa vitakuja mwakani.
Umeme umetosha kuendesha vilivyopo.😀😀😀
Hakuna namna aisee.....tena leo Ijumaa mizigo ipo ya kutosha.Asee basi watu tu waendelee kucheza kamari
Kweli kabisa haifai. Ni namna ya Viongozi kuwapumbaza wananchi na hasa vijana.sio bila jasho betting inapunguza uwezo wa kufikiri hasa maeneo yanayohitaji kua serious. ,kama. future,uchumi n.k
Mkuu gambling haifai ni uraibu mbaya sana. Kuna wakati kipindi cha nyuma nilipoteza hela nyingi sana. Siitaki kuisikia kabisa.Hapana bwana,
UK imeanza kuwa kubwa zamani sana kwahiyo hizi kamari mtandao zimeikuta nchi tayari ni nzuri.
Kwa Tanzania unaweza sema hivyo?
Unasema ni biashara nzuri, lakini huoni inapoteza vijana? Husikii wanajiua?
Tayari tuna vices za kutosha(pombe, sigara, bangi, malaya) wakiongeza na hii wanatumaliza.
Naona mkuu adrenaline imepanda.Hakuna namna aisee.....tena leo Ijumaa mizigo ipo ya kutosha.
Haiwezekani hela zinachezewa huko na watu wachache..Hizo pesa za kuchezewa zingeleta kazi ngapi na ajira ngapi...upuuzi tu.
😀😀😀😀😀Mkuu kuna vitu ukisikia unaweza usitembee kabisaa...Naona mkuu adrenaline imepanda.
Kwenye casino unaweza lamba 1M kwa shing' mia tano?Acha watu wajitafutie hela ,kuna viwanda vya pombe ,sigara etc na pia siyo lazima ucheze kamari au unywe pombe au kuvuta sigara...hawalazimishi....Mbona kuna makasino yapo tangu enzi za nyerere? Au kwakuwa kamari imekuwa advanced kuwa online? Kwahiyo Gaming Board unaona hawana akili kuruhusu?
Stop complaining about everything, your life won't be any better by simply complaining to people and government.u seems stupid