Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Ujinga kama huu wako ni maanguko ya nchi yetu.
 
Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Mpaka kina mzee Makamba walidukuliwa na wala haikuwa kwa maslahi ya taifa, bali madaraka ya dhalimu magufuli. Huo mchezo wa kudukua simu za watu ulifanywa sana na dhalimu magufuli, na lengo lake halikuwa maslahi ya taifa bali kuwakomoa na kuwapoteza waliokuwa wanampinga.
 
images (4).jpeg
 
Mpaka kina mzee Makamba walidukuliwa na wala haikuwa kwa maslahi ya taifa, bali madaraka ya dhalimu magufuli. Huo mchezo wa kudukua simu za watu ulifanywa sana na dhalimu magufuli, na lengo lake halikuwa maslahi ya taifa bali kuwakomoa na kuwapoteza waliokuwa wanampinga.

The Government Really Is Spying On You — And It’s Legal​

Consumer data has become a lucrative commodity, and the US government is buying.
A photo illustration of a cellphone against an eye-shaped graphic made up of data points.

POLITICO illustration/Photos by iStock
By STEVEN OVERLY
02/28/2024 05:00 AM EST

The freakout moment that set journalist Byron Tau on a five-year quest to expose the sprawling U.S. data surveillance state occurred over a “wine-soaked dinner” back in 2018 with a source he cannot name.
The tipster told Tau the government was buying up reams of consumer data — information scraped from cellphones, social media profiles, internet ad exchanges and other open sources — and deploying it for often-clandestine purposes like law enforcement and national security in the U.S. and abroad. The places you go, the websites you visit, the opinions you post — all collected and legally sold to federal agencies.
Ujinga kama huu wako ni maanguko ya nchi yetu.
Kweli?
 
Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Mpaka kina mzee Makamba walidukuliwa na wala haikuwa kwa maslahi ya taifa, bali madaraka ya dhalimu magufuli. Huo mchezo wa kudukua simu za watu ulifanywa sana na dhalimu magufuli, na lengo lake halikuwa maslahi ya taifa bali kuwakomoa na kuwapoteza waliokuwa wanampinga.
 
Apple continues to refuse Barr’s request that it help find a way for law enforcement to access encrypted devices with a court order, like the one Apple resisted in 2016 in the case of a shooter’s iPhone in San Bernardino, California. In that case, the point was dropped when the FBI was able to crack into the phone without Apple’s help, but the incident raised questions about the balance between civil liberties and public safety that have yet to be settled.
Kwenye hii kesi Apple walishinda kimahakama, kisheria. isipokuwa FBI wali outsource kwa kampuni nyingine inayo crack device. Weka akilini apple hawakutaka kutoa access sababu ni violation na wanaweza kufunguliwa civil suit na wangeshindwa kesi na kuvuruga biashara yao
 
USA wanadukua mtu yoyote wanaowaona wako kinyume na maslahi ya USA. Malcolm X, Martin Luther King, Kennedy brothers, Black Panthers wote waliuliwa au kufungwa jela maisha. Kesi hazina majibu hadi kesho sababu serikali ilikuwa inajua wako wapi kila siku. Kuna document ziko wazi about surveillance. Wahusika wote walijua wanafuatiliwana mawasiliano yao yako intercepted.
Inategemeana japokuwa ku sheria na rules zinazo allow hayo, hiyo kitu lazima iwe allowed na vyombo vya kisheria ili zifanyike.
How? Kuna federal laws which allow violation of privacy kama muhusika ataonekana ni threat kwa national security. Lakin lazima mtu huyo aharifiwe, afunguliwe kesi mahakamani, mahakama itoe ruhusa
 
Kwenye hii kesi Apple walishinda kimahakama, kisheria. isipokuwa FBI wali outsource kwa kampuni nyingine inayo crack device. Weka akilini apple hawakutaka kutoa access sababu ni violation na wanaweza kufunguliwa civil suit na wangeshindwa kesi na kuvuruga biashara yao
Hoja hapa serikali ilizipata au haikuzipata? Na ilifanywa nini?
 
Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Hupaswi kudukua mawasiliano yoyote ya mtu ingawa serikali nyingi zinadukuwa mawasiliano ya watu lakini wanafanya hivyo kwa siri ukiwagundua unaweza ukawashitaki na wakakulipa hela nyingi sana. Udukuzi ni kosa kubwa sana.
 
Hivi unajua kusoma au mpaka Lissu akusomee
Kaka punguza ku copy online articles ku justify hili. Hiyo spy ware inaitwa pegasus, na inatumika kinyume na sheria katka nchi nyingi ku spy watu ambae serikal ina dhani ni tatizo kwao.
Kisheria ina ruhusiwa? No

Is why hizi allegation zilipoibuka ilikuwa ni tatizo kubw akwa ISO group ya israel, wao wanasema wanauza tu but hawa determine inatumikaje
 

The Government Really Is Spying On You — And It’s Legal​

Consumer data has become a lucrative commodity, and the US government is buying.
A photo illustration of a cellphone against an eye-shaped graphic made up of data points.

POLITICO illustration/Photos by iStock
By STEVEN OVERLY
02/28/2024 05:00 AM EST

The freakout moment that set journalist Byron Tau on a five-year quest to expose the sprawling U.S. data surveillance state occurred over a “wine-soaked dinner” back in 2018 with a source he cannot name.
The tipster told Tau the government was buying up reams of consumer data — information scraped from cellphones, social media profiles, internet ad exchanges and other open sources — and deploying it for often-clandestine purposes like law enforcement and national security in the U.S. and abroad. The places you go, the websites you visit, the opinions you post — all collected and legally sold to federal agencies.

Kweli?
soma post umalize. Ni legal only musika akiwa deemed mshtakiwa na akiwa na kesi.

kinyume na hapo ni illigal spying, na hii muhusika ana uwezo wa kuishtaki serikali na akalipwa fidia.

Na hao ni US, wenyewe wana sheris tofauti. Hapa kwetu sheria zetu haziruhusu katu moaka kibali cha mahakama. Kinyume na hapo serikali ime violate law
 
Inategemeana japokuwa ku sheria na rules zinazo allow hayo, hiyo kitu lazima iwe allowed na vyombo vya kisheria ili zifanyike.
How? Kuna federal laws which allow violation of privacy kama muhusika ataonekana ni threat kwa national security. Lakin lazima mtu huyo aharifiwe, afunguliwe kesi mahakamani, mahakama itoe ruhusa
Ni hivi utafatiliwa ukiwa tishio kwa utawala legally or illegally, ipo
duniani. Sio fair lakini ndio ukweli. Watawala hawataki new ideas, vijana kuchukua nchi, watapambana kulinda utawala wao kutumia mbinu zozote.
 
Ni hivi serikali zote duniani zinafanya hivyo, mtu yoyote msumbufu huwa anafuatiliwa. Wewe
Ukiwa serikalini ukiona mtu ana ushawishi, anataka kukuondoa utamfatilia legally or illegal. Mimi nakwambia jinsi serikali yoyote duniani navyofanya kazi. Lengo leo ni kubaki na madaraka.

..madai ya mtumishi wa Millcom /Tigo ni kwamba walimfuatilia Tundu Lissu kwa taratibu ambazo ni ILLEGAL / KINYUME NA SHERIA.
 
Inategemeana japokuwa ku sheria na rules zinazo allow hayo, hiyo kitu lazima iwe allowed na vyombo vya kisheria ili zifanyike.
How? Kuna federal laws which allow violation of privacy kama muhusika ataonekana ni threat kwa national security. Lakin lazima mtu huyo aharifiwe, afunguliwe kesi mahakamani, mahakama itoe ruhusa

Walivyomdukua Angela Markel, vviongozi wote wa ulaya ilikuwa,kisheria.
 
Back
Top Bottom