Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo.

Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo wa mawasiliano ya Lissu akiwa mteja wa Tigo.

Katika mawanda ya tamko la haki za binadamu, kila mtu anayo haki ya faraga, hivyo haikuwa sahihi Tigo kutoa siri za mteja wao -Lissu. Hata hivyo, Tamko la haki za binadamu linabainisha kuwa maslahi mapana ya taifa yata taramadi dhidi ya haki, stahiki na maslahi ya mtu au kikundi.

Aidha taarifa ya the Guardian haionyeshi ni kwa vipi kuvujishwa kwa taarifa za Lissu kwa serikali kunahusiana na kushambuliwa kwa Lissu.
Tanzania na watanzania tuna haki ya kujua nani walikuwa wanawasiliana na Lissu na maudhui ya mawasiliano yao.
Kama alikuwa anafanya mawasiliano ambayo hayana masilahi mapana kwa taifa kwa nini msimkamte na kumfikisha kwenye vyombo vya kisheria (Mahakama) kuliko kujichukulia sheria mkononi ninyi wenyewe mkawa ninyi ndio mahakama, ndiyo mtoa hukumu, mkamshambulia mtu kwa nia ovu ya kumuua????
Lissu si Gaidi au Jambazi hadi umfanyie ukatili wa namna ile.
 
Nasoma komenti za wadau hapa. Kutokana na komenti namba 23 na komenti namba 26, ina maana melo ameshawapa/atawapa serikali taarifa binafsi za wanachama wa jf endapo zitahitajika? Na endapo taarifa za mwanachama wa jf zikawa accessible na serikali, na ikatokea mwanachama amedhurika je , jf itakuwa accountable kisheria?

JF itakuwa liable maana haijafuata process za sheria. Yani serikali ije na kibali Cha mahakama.
 
Hili la kudukua taarifa za watu ipo kila mahali na kila nchi. Miaka kadhaa taarifa ilivuja USA walikuwa wanasikiliza taarifa za viongozi mbalimbali wa nchi karibia zote marafiki zake. Ukiwa high profile figure ni busara kufikiria unafuatiliwa mawasiliano yako na kuchukua tahadhari.

Kudukua taarifa za mtu ili kumuua Hilo ni jinai.
 
USA wanadukua mtu yoyote wanaowaona wako kinyume na maslahi ya USA. Malcolm X, Martin Luther King, Kennedy brothers, Black Panthers wote waliuliwa au kufungwa jela maisha. Kesi hazina majibu hadi kesho sababu serikali ilikuwa inajua wako wapi kila siku. Kuna document ziko wazi about surveillance. Wahusika wote walijua wanafuatiliwana mawasiliano yao yako intercepted.

Je kufanya hivyo ni halali?
 
Halafu USA CIA na FBI walikuwa na taarifa zote kuhusu Malcolm X, Kennedy, Martin Luther, Panthers. Walikuwa wanajua hata girlfriends wa Martin Luther na Kennedy girlfriends wao hadi vinywaji vyao walikuwa wanasikiliza kila siku, kila kitu.

Vifo vyao hadi leo havieleweki. Mfano FBI walijua Kennedy brothers demu wao alikuwa Marylin Monroe, pia alikuwa demu wa Mafia boss. FBI waliwatumia hadi Mafia kutaka kumuua Kennedy, Castro, na ku wali intimidate wapigania uhuru/ haki kama Malcolm, King, President of USA.

Tigo ni wahalifu , walitoa taarifa kwa wauaji.
 
Hakuna haja ya kujbiiwa wewe juha. Sijawahi kuwa CCM. Google Edgar Hoover and malcom X, Kennedy, Martin Luther King. Watch documentary zao wenyewe wewe mpuuzi, angalia document USA government walizozitoa kuhusu hizu issues.

Malcolm x alikuwa na WA watu wa Muslim brotherhood. Ila Issue ya Lissu ni tofauti.
 
Ni hivi serikali zote duniani zinafanya hivyo, mtu yoyote msumbufu huwa anafuatiliwa. Wewe
Ukiwa serikalini ukiona mtu ana ushawishi, anataka kukuondoa utamfatilia legally or illegal. Mimi nakwambia jinsi serikali yoyote duniani navyofanya kazi. Lengo leo ni kubaki na madaraka.

Kwa maana nyingine unakili kwamba serikali ndio ilimpiga risasi Lissu
 
Mpaka kina mzee Makamba walidukuliwa na wala haikuwa kwa maslahi ya taifa, bali madaraka ya dhalimu magufuli. Huo mchezo wa kudukua simu za watu ulifanywa sana na dhalimu magufuli, na lengo lake halikuwa maslahi ya taifa bali kuwakomoa na kuwapoteza waliokuwa wanampinga.

Nakumbuka mkuu, mpaka alifuatilia mawasiliano ya Mbunge Shabibi na Dem mmoja alikuwa Mkurugenzi wa Gairo. Tena akadai huwa anamsumbua saa SITA za usiku.
 
We msukule wa Mbowe- national security/ interest supersedes all other interest.
Even today, human rights concerns continue to be subordinate to national security issues.Possibly the most obvious explanations of current policy are the September 11 terrorist attacks and the new American perception of vulnerability. If Americans believe they are under threat and human rights are viewed in competition with national security, it is no surprise that protecting the homeland will trump human rights promotion. Despite the growing role of the human rights movement, the critical element in “determining American foreign policy is what assets—bases, intelligence and diplomatic leverage—it can bring to bear against Al Qaeda,” Iraq, and other states seen as threats to the United States.

Wewe msukule wa Makonda na Chura Kiziwi, sikiliza.....

Unaokoteza statements za kwenye mitandao bila hata kujua wala kuelewa mantiki (logic) yake ili mradi uufunue, uuweke wazi na uhalilishe ujinga wako....

Na napata mashaka kuwa, likely hata lugha ya malkia inakupiga chenga wewe maana ulichokipost hapa contextually, it's quite irrelevant na kilichofanywa na serikali ya Magufuli na CCM dhidi ya Tundu Lissu mwaka 2017...

Kama Tundu Lissu "was a threat to our national security or national interests" , kwanini serikali isiseme sasa ili wananchi tuelewe na tuseme kuwa, "....for these reasons, Tundu Lissu was and he's a threat until now and therefore his right to life has to be denied by shooting and killing him.."

Na nikwambie kitu chawa comte.....?

Tundu Lissu had never been, he is not and he will never be a threat to our national security or interests......!!

Nevertheless, he was a threat to CCM and John Pombe Magufuli's government existence and he's still a threat to CCM and Chura Kiziwi - Samia Suluhu Hassan's stupid failed government administration.....!

Tofautisha "taifa au nchi" na dudu linaloitwa "serikali". Hizi serikali huja na kuondoka. Nchi au taifa liko pale milele na milele. Nchi au taifa ni sharti lilindwe kwa nguvu zote....

Lakini dudu linaloitwa "serikali" linaweza kupingwa na kuzomewa from day one linapojitangaza na kuanza kazi yake iwapo lipo pale bila uhalali wa kisheria na kisiasa....

Na kamwe sio kosa la jinai kuikataa na kuipinga na kuirushia mawe ya kila aina serikali yoyote iliyo madarakani kama mtu au watu hawakubaliani nayo...

Tundu Lissu alipigwa risasi 37 na 16 kumpata sawia mwilini mwake kwa lengo kuutoa uhai wake si kwa sababu ni threat kwa national security/interests bali ni kwa sababu alikuwa na bado na ataendelea kuwa kikwazo na tishio kwa uhai wa CCM na serikali yake.....

Na ndio maana mpaka leo hamsemi lolote kwa kutuonesha "ugaidi wake" na badala yake mnajificha kwenye ujinga na upumbavu wenu kwa sababu nyie ni wapumbavu na ndivyo mlivyo....!!

Kwa hiyo acha ujinga na udanganyifu wako hapa
 
Mkuu kwani hizo taarifa ndizo zilizompiga risasi? Hivi hujui na siyo siri kuwa taarifa zako serikali inazo au wakizitaka watazipata- kwenye simu zenu hizo hakuna siri; ndiyo maana wenye akili wote wala hawazitumii
Aya wenye akili wanatumia pagers..!
 
Ila humu kuna watu wabovu wa akili kuliko majukwaa mengine yote ya kimtandao. Huyu alieanzisha hii thread kwani yeye alikuwa anamuanzishia nani na kwa lengo gani. Hivi tunanunua SIMU kuwa mapambo hadi uhoji alikuwa anaongea na nani. Yani unaanza kuhoji mawasiliano ya mtu, mbona yako hayahojiwi, na leo umeshaongea na watu wangapi je unaweza kutuambia mlikuwa mnaongea nini. Vichwa vingine ni hasara tu bora cha kuku utakunywa hata supu.
 
Lisu amepigwa risasi akiwa kwenye majengo ya serikali usalama upo full time 100%
lakini akashambuliwa na tiGO ndo walitoa ramani.

Ungekuwa wewe ndo yeye ungekausha tu au?
 
Back
Top Bottom