We msukule wa Mbowe- national security/ interest supersedes all other interest.
Even today, human rights concerns continue to be subordinate to national security issues.Possibly the most obvious explanations of current policy are the September 11 terrorist attacks and the new American perception of vulnerability. If Americans believe they are under threat and human rights are viewed in competition with national security, it is no surprise that protecting the homeland will trump human rights promotion. Despite the growing role of the human rights movement, the critical element in “determining American foreign policy is what assets—bases, intelligence and diplomatic leverage—it can bring to bear against Al Qaeda,” Iraq, and other states seen as threats to the United States.
Wewe msukule wa Makonda na Chura Kiziwi, sikiliza.....
Unaokoteza statements za kwenye mitandao bila hata kujua wala kuelewa mantiki (logic) yake ili mradi uufunue, uuweke wazi na uhalilishe ujinga wako....
Na napata mashaka kuwa, likely hata lugha ya malkia inakupiga chenga wewe maana ulichokipost hapa contextually, it's quite irrelevant na kilichofanywa na serikali ya Magufuli na CCM dhidi ya Tundu Lissu mwaka 2017...
Kama Tundu Lissu "was a threat to our national security or national interests" , kwanini serikali isiseme sasa ili wananchi tuelewe na tuseme kuwa, "....for these reasons, Tundu Lissu was and he's a threat until now and therefore his right to life has to be denied by shooting and killing him.."
Na nikwambie kitu chawa
comte.....?
Tundu Lissu had never been, he is not and he will never be a threat to our national security or interests......!!
Nevertheless, he was a threat to CCM and John Pombe Magufuli's government existence and he's still a threat to CCM and Chura Kiziwi - Samia Suluhu Hassan's stupid failed government administration.....!
Tofautisha "taifa au nchi" na dudu linaloitwa "serikali". Hizi serikali huja na kuondoka. Nchi au taifa liko pale milele na milele. Nchi au taifa ni sharti lilindwe kwa nguvu zote....
Lakini dudu linaloitwa "serikali" linaweza kupingwa na kuzomewa from day one linapojitangaza na kuanza kazi yake iwapo lipo pale bila uhalali wa kisheria na kisiasa....
Na kamwe sio kosa la jinai kuikataa na kuipinga na kuirushia mawe ya kila aina serikali yoyote iliyo madarakani kama mtu au watu hawakubaliani nayo...
Tundu Lissu alipigwa risasi 37 na 16 kumpata sawia mwilini mwake kwa lengo kuutoa uhai wake si kwa sababu ni threat kwa national security/interests bali ni kwa sababu alikuwa na bado na ataendelea kuwa kikwazo na tishio kwa uhai wa CCM na serikali yake.....
Na ndio maana mpaka leo hamsemi lolote kwa kutuonesha "ugaidi wake" na badala yake mnajificha kwenye ujinga na upumbavu wenu kwa sababu nyie ni wapumbavu na ndivyo mlivyo....!!
Kwa hiyo acha ujinga na udanganyifu wako hapa