Nchi inapigwa, kutwa nzima ni Mada za Yanga na Simba

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.

Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.

Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.

Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
 
Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.

Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.

Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.

Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Na timu zenyewe za mpira ni mbovu 🙄😅😅
 
Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.

Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.

Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.

Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Mshairi wa Warumi wa kale Juvenal aliandika katika kitabu chake cha kejeli "Satires" kuwa , ukitaka kuwatawala watu wa kawaida, unatakiwa kuwapatia mkate na michezo.

Yani mikate wale wasipate njaa, halafu wakishiba wape michezo waburudike.

Hawatauliza mambo ya msingi ya nchi inavyokwenda.

Ndicho kinachotokea Tanzania.

Katika kitabu cha maisha ya Nyerere kuna mfano wa Nyerere kapewa ushauri na washauri wake rasmi wachumi, lakini akauacha ushauri ule akawafuata wazee wa Yanga wakampa ushauri tofauti, akaufuata ule ushauri wa Mzee wa Yanga Tabu Mangala.

Mimi mwenyewe nishawahi kuona mtu wa usalama wa taifa anakuwa rais wa Yanga.

Ina maana serikali imejiingiza kwenye michezo na inatumia michezo kisiasa.

Like Juvenal.said, it's bread and circuses.
 
Generation Z yetu ukibahatikana kuingia kwenye vichwa vyao utakutana na hivi vitu;

1.Chama

2.Pacome Aziz Ki

3. Iphone simu kali kupita Tecno

4. Ist sio gari.

5. Chura ndio habari ya mjini.

6. We Zombie haujui

7 . Mapiano

8. .......

Jaribu kumuuliza Bashe ni Waziri wa nini halielewi. Hajui huko bungeni kuna wahafidhina wanapeleta hoja boom lifutwe yenyewe hayana habari. Siku yakikosa boom yanaanza kuwalilia wanaharakati wawasemee. Yapo yapo tu.

"Aina hii ya vijana wana mchango mdogo katika Taifa"

Late Magufuli.
 
Back
Top Bottom