Nchi inapigwa, kutwa nzima ni Mada za Yanga na Simba
Generation Z yetu ukibahatikana kuingia kwenye vichwa vyao utakutana na hivi vitu;

1.Chama

2.Pacome Aziz Ki

3. Iphone simu kali kupita Tecno

4. Ist sio gari.

5. Chura ndio habari ya mjini.

6. We Zombie haujui

7 . Mapiano

8. .......

Jaribu kumuuliza Bashe ni Waziri wa nini halielewi. Hajui huko bungeni kuna wahafidhina wanapeleta hoja boom lifutwe yenyewe hayana habari. Siku yakikosa boom yanaanza kuwalilia wanaharakati wawasemee. Yapo yapo tu.

"Aina hii ya vijana wana mchango mdogo katika Taifa"

Late Magufuli.
Umenikumbusha kuna madogo hawa wanaosomea fani za mining vichwa vimeharibika ....wanakwmbia ist sio gari
 
Inatia huruma sana
Imagine kipindi cha michezo redioni kinachukua masaa 3 non stop 😭😭😭
Na kuna vijana wanafuatilia mwanzo mwisho.
Je, akili ya huyu kijana itavumbua nini kipya zaidi ya Banda la chips?
 
Magu mnamsingizia tu, lkn ukweli ni kwamba matanzania mengi ni majinga, vichwani hamna kitu..hawana uwezo wa kujadili complex issues
Hakuna anayemsingizia Magu ila wajinga hufanya kila namna kumsafisha pamoja na uozo wake.
 
Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.

Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.

Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.

Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Ni umasikini tu, ulioletwa na ccm
Ccm wanataka hivyo ili msihahoji mambo ya maendeleo waliyoahidi kwenye ilani
 
Nakereka sana na huu ujinga wa muda wote katika ofisi, magroup, kwenye gari mada pendwa ni yanga na Simba.

Nahisi kwa vile tuna kizazi chenye vichwa visivyotaka kuumizwa (zero brain), wanapata amani kujadili vitu cheap kwa vile ndio wanaviweza.

Ukiwapa mada ya kusaidiana kudadau namna ya kutoka point A kwenda B no comment
 
Hakuna anayemsingizia Magu ila wajinga hufanya kila namna kumsafisha pamoja na uozo wake.
Unajua unapoandika jambo tena kwa confidence hivi hakikisha kwamba akilini mwako uko timamu hili usiishie kuonekana wewe ni tahira tu na mchumia tumbo mwenye maumivu yake kwa watu wenye akili.

Ndio Magu alivuruga suala zima la uwazi kwenye utoaji wa habari... haya sasa hivi hayupo kwani imeshindikana nini kurekebisha huo uozo aliowacha hili tuepukane na athari zake?

Kwa hiyo sasa hivi kila jambo lisilofaa aliloliacha tuendelee kumlaumu yeye tu badala ya kuli fix??

Huyu mama yenu mbona kuna mambo mengi tu ambayo aliona hayafai ameya fix? Kwanin hili dogo tu ameliacha kama lilivyo n nyie machawa wake mmebaki kutupia lawama kwa mtu ambaye hayupo??

Ndio maana tunasema nchii hii mang'onong'ilo mpo wengi sana na hamjijui kama akili zenu ni za panzi.
 
Nakereka sana na huu ujinga wa muda wote katika ofisi, magroup, kwenye gari mada pendwa ni yanga na Simba.

Nahisi kwa vile tuna kizazi chenye vichwa visivyotaka kuumizwa (zero brain), wanapata amani kujadili vitu cheap kwa vile ndio wanaviweza.

Ukiwapa mada ya kusaidiana kudadau namna ya kutoka point A kwenda B no comment
Ukitaka kuwakera wadanganyika wewe kuta sehemu wanajadili suala la Chama kuhamia Yanga au Aziz Ki kudate na mubetto halafu wewe uwaingizie habari za kupanda bei ya sukari au kuongezeka kwa tozo kwenye miamala .. haloo utatukanwa mpaka utamani kufa, huku ukiambiwa tafuta hela acha ufala
 
Inatia huruma sana
Imagine kipindi cha michezo redioni kinachukua masaa 3 non stop 😭😭😭
Na kuna vijana wanafuatilia mwanzo mwisho.
Je, akili ya huyu kijana itavumbua nini kipya zaidi ya Banda la chips?
Boss umevumbua nini wakuige?
 
Unajua unapoandika jambo tena kwa confidence hivi hakikisha kwamba akilini mwako uko timamu hili usiishie kuonekana wewe ni tahira tu na mchumia tumbo mwenye maumivu yake kwa watu wenye akili.

Ndio Magu alivuruga suala zima la uwazi kwenye utoaji wa habari... haya sasa hivi hayupo kwani imeshindikana nini kurekebisha huo uozo aliowacha hili tuepukane na athari zake?

Kwa hiyo sasa hivi kila jambo lisilofaa aliloliacha tuendelee kumlaumu yeye tu badala ya kuli fix??

Huyu mama yenu mbona kuna mambo mengi tu ambayo aliona hayafai ameya fix? Kwanin hili dogo tu ameliacha kama lilivyo n nyie machawa wake mmebaki kutupia lawama kwa mtu ambaye hayupo??

Ndio maana tunasema nchii hii mang'onong'ilo mpo wengi sana na hamjijui kama akili zenu ni za panzi.
Nape ametumbuliwa bado Makonda.
 
Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.

Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.

Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.

Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Kwa undani zaidi soma kitabu cha ujasusi wa kidola na kiuchumi.
 
Back
Top Bottom