CHURADUME
Senior Member
- Jul 18, 2016
- 142
- 125
Magufuli alituachia laana hatuto toboa mpaka mapinduzi raia mtapiga kelele viongozi wana panga yao kwa maslahi yao raia tunatumika kutimiza ndoto zao tunahitaji kiongozi mwenye uwezo wa kusema akasikilizwa kama kim wa korea lasivyo kelele za palestina hazimtetereshi muizraeli bali ni mavumbi matupu