Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Inasaidia kuamsha wale bongolala kama wewe.
Namimi nimejibu JF does that count?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasaidia kuamsha wale bongolala kama wewe.
Ni kama umeniwahi kuliongelea hili, nami nilikuwa na mpango wa kuliongelea. Katika pita pita zangu, 96% ya sehemu ninazopita basi ukiona mikusanyiko ujue mada inayoongelewa ni mpira, hasa hasa ushabiki wa Yanga na Simba.Hii ni zaidi ya ujinga mkuu, ni ujinga wa kutisha
So sad, they've no future at all!Wengi wameshajikatia tamaa au kuridhika na maisha yao mkuu, hicho ndicho kilichobakia cha maana zaidi kwao.
Hata viongozi wa siasa nao wanatembea humo.
Fact!Mshairi wa Warumi wa kale Juvenal aliandika katika kitabu chake cha kejeli "Satires" kuwa , ukitaka kuwatawala watu wa kawaida, unatakiwa kuwapatia mkate na michezo.
Yani mikate wale wasipate njaa, halafu wakishiba wape michezo waburudike.
Hawatauliza mambo ya msingi ya nchi inavyokwenda.
Ndicho kinachotokea Tanzania.
Katika kitabu cha maisha ya Nyerere kuna mfano wa Nyerere kapewa ushauri na washauri wake rasmi wachumi, lakini akauacha ushauri ule akawafuata wazee wa Yanga wakampa ushauri tofauti, akaufuata ule ushauri wa Mzee wa Yanga Tabu Mangala.
Mimi mwenyewe nishawahi kuona mtu wa usalama wa taifa anakuwa rais wa Yanga.
Ina maana serikali imejiingiza kwenye michezo na inatumia michezo kisiasa.
Like Juvenal.said, it's bread and circuses.
Uwe unafundishika na wewe, sio kila kitu kushupaza shingo. Nimekufundisha hapo tofauti ya maada na mada.SO, nini hujaelewa?
Kweli kabisa kabisa 🙄Mshairi wa Warumi wa kale Juvenal aliandika katika kitabu chake cha kejeli "Satires" kuwa , ukitaka kuwatawala watu wa kawaida, unatakiwa kuwapatia mkate na michezo.
Yani mikate wale wasipate njaa, halafu wakishiba wape michezo waburudike.
Hawatauliza mambo ya msingi ya nchi inavyokwenda.
Ndicho kinachotokea Tanzania.
Katika kitabu cha maisha ya Nyerere kuna mfano wa Nyerere kapewa ushauri na washauri wake rasmi wachumi, lakini akauacha ushauri ule akawafuata wazee wa Yanga wakampa ushauri tofauti, akaufuata ule ushauri wa Mzee wa Yanga Tabu Mangala.
Mimi mwenyewe nishawahi kuona mtu wa usalama wa taifa anakuwa rais wa Yanga.
Ina maana serikali imejiingiza kwenye michezo na inatumia michezo kisiasa.
Like Juvenal.said, it's bread and circuses.
Ulitaka vipi mkuu?Mna majibu mepesi sana kwa maswali magumu. Kila mtu akiishia kuandika mtandaoni tu itasolve nini? Mnajibu matusi kwa swali dogo tu then mnashangaa wengine kufuatilia michezo? Nyie nyani hamuoni kundule.
Profile picture yako tu inatupa sababu kwanini umeamua kutoa hii comment isioendana hata kidogo na mada husika.Serikali ya awamu ya tano ndiyo muasisi wa hoja nyepesi kwenye redio na TV,ukiminya uhuru wa nyombo vya habari hayo ndio matokeo yake.
Mtu mwenyewe kweny avatar yake kuna picha ya Kikwete, kuna haja hata ya kujiuliza kwanini ameamua kuskip awamu hii ya Samia na kutoa lawama kwenye awamu ya tano kwa upuuzi ambao unarekebishika hata ndani ya awamu hii ya samia?mkuu labda umeongea hivyi kwa interest zako binafsi,lakini kipindi cha huyu mzee ndio kipindi ambacho watu wengi walihamasika kusikiliza na kuangalia taarifa za habari na watu kufahamu maendeleo ya miradi mbali mbali ya nchi.
Magu mnamsingizia tu, lkn ukweli ni kwamba matanzania mengi ni majinga, vichwani hamna kitu..hawana uwezo wa kujadili complex issuesUko sahihi magu alifanya hivi Watanzania ili wasijadili mambo ya nchi yao.
Maelezo mazuri sana mkuu.Mshairi wa Warumi wa kale Juvenal aliandika katika kitabu chake cha kejeli "Satires" kuwa , ukitaka kuwatawala watu wa kawaida, unatakiwa kuwapatia mkate na michezo.
Yani mikate wale wasipate njaa, halafu wakishiba wape michezo waburudike.
Hawatauliza mambo ya msingi ya nchi inavyokwenda.
Ndicho kinachotokea Tanzania.
Katika kitabu cha maisha ya Nyerere kuna mfano wa Nyerere kapewa ushauri na washauri wake rasmi wachumi, lakini akauacha ushauri ule akawafuata wazee wa Yanga wakampa ushauri tofauti, akaufuata ule ushauri wa Mzee wa Yanga Tabu Mangala.
Mimi mwenyewe nishawahi kuona mtu wa usalama wa taifa anakuwa rais wa Yanga.
Ina maana serikali imejiingiza kwenye michezo na inatumia michezo kisiasa.
Like Juvenal.said, it's bread and circuses.
Mwambie mzee Mbowe aanzishe Radio ya cdm itakayokuwa inaongelea unachokitakaTanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Usichojua ni kuwa utawala ni kwa ajili ya kugawana rasilimali za Taifa. Pale kenya wale waandamanaji hawataambulia kitu lkn tabaka la wenye nacho wataambulia kitu. Tayari nakada wa upinzani wamepata uwaziri, unadhani wakiokuwa front wataambulia kitu?Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.
Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.
Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.
Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Halafu wakisha umia, wataambulia nini? Wakenya wachache wanagawana nchi, waandamanaji wanapiga miayo tu. Si bora sisi?Wewe umechukua hatua gani kiongozi au unasubiri wengine waumie kwaajili yako?
Mfano Libya, walivuna nini?Wengi wameshajikatia tamaa au kuridhika na maisha yao mkuu, hicho ndicho kilichobakia cha maana zaidi kwao.
Hata viongozi wa siasa nao wanatembea humo.
Ni ujingaMaisha yakiwa magumu, watu huamua kuambatana na yake mambo yanayowapa furaha kwa unafuu....🤔🤔
Ujinga tuNi "mada" sio Maada. Maada ni kitu chochote kinachoweza kuchukua nafasi kwa kiinglishi ni "Matter" Mattaer is anything that can occupy/take place. FM1 hiyo