Nchi inapigwa, kutwa nzima ni Mada za Yanga na Simba
Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.

Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.

Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.

Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Ungekuja na hoja mfano yanga anatoa wapi pesa za kusajili.Je gsm analipa kodi kiasi gani hadi apate pesa kiasi hicho kama hakuna uhuni unaofanyika ili kumfidia kutoka serikalini?

Ungekuja na hoja za je Ihefu wana chanzo kipi cha pesa?Usisahau Singida big stars,Namungo n.k

Usilaumu watu kufanywa wafuasi wa Simba na yanga,laumu mkakati haramu wa wanasiasa kuchochea ushabiki kwenye vilabu hivi ile waendelee kufanya yao pasipo kuhojiwa.

Nchi hii ngumu na ina raia tusiojitambua
 
Ungekuja na hoja mfano yanga anatoa wapi pesa za kusajili.Je gsm analipa kodi kiasi gani hadi apate pesa kiasi hicho kama hakuna uhuni unaofanyika ili kumfidia kutoka serikalini?

Ungekuja na hoja za je Ihefu wana chanzo kipi cha pesa?Usisahau Singida big stars,Namungo n.k

Usilaumu watu kufanywa wafuasi wa Simba na yanga,laumu mkakati haramu wa wanasiasa kuchochea ushabiki kwenye vilabu hivi ile waendelee kufanya yao pasipo kuhojiwa.

Nchi hii ngumu na ina raia tusiojitambua
Hizi maada kajadili na wajinga wenzeko kwenye vijiwe vya Tangawizi,
 
Sasa tufanyeje, tuliishaambiwa Mama yao anaupiga mwingi tusubirie matokeo.
 
Mwamko, elimu, exposure, uvivu wa kufikiri, imani za kijinga, woga....
HATUWAWEZI WENZETU. HASA MANYANG'AU!
 
Mshairi wa Warumi wa kale Juvenal aliandika katika kitabu chake cha kejeli "Satires" kuwa , ukitaka kuwatawala watu wa kawaida, unatakiwa kuwapatia mkate na michezo.

Yani mikate wale wasipate njaa, halafu wakishiba wape michezo waburudike.

Hawatauliza mambo ya msingi ya nchi inavyokwenda.

Ndicho kinachotokea Tanzania.

Katika kitabu cha maisha ya Nyerere kuna mfano wa Nyerere kapewa ushauri na washauri wake rasmi wachumi, lakini akauacha ushauri ule akawafuata wazee wa Yanga wakampa ushauri tofauti, akaufuata ule ushauri wa Mzee wa Yanga Tabu Mangala.

Mimi mwenyewe nishawahi kuona mtu wa usalama wa taifa anakuwa rais wa Yanga.

Ina maana serikali imejiingiza kwenye michezo na inatumia michezo kisiasa.

Like Juvenal.said, it's bread and circuses.
Kumbe Hersi Said ni usalama wa taifa? Daa hii nchi aisee
 
Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.

Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.

Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.

Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Tangu Magufuli alipoliteka bunge na kulifanya la Chama kimoja watu hawana tena habari za siasa na bla bla za wabunge wa Fisiemu.
Tuna danganywa na vizahanati vyenye CTscan isiyo hitajika vijijini huku watu wanapata utajiri usiojulikana umetoka wapi.
 
Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.

Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.

Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.

Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Mbona wewe mjanja hatujakuona mtaani kama Gen-Z?
 
Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.

Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.

Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.

Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Hapo watawala wanafurahiiii maana wanajua hii ganzi ya ulevi wa ushabiki uchwara wa mpira inawapa unafuu wa kufanya watakavyo bila usumbufu kama ilivyo Kenya sasa hivi. Utakuta watu wanawalaani wafanya biashara kwa kugoma kufungua maduka kuweka shinikizo kwa serikali kupunguza mlolongo wa kodi na tozo. Wasichoelewa ni kuwa wafanya biashara hawa ni mawakala wa serikali katika kukusanya kodi, kama wakiendelea kuzivumilia kodi na tozo hizi anayebeba huu mzigo wote ni mlaji wa mwishi kwani hakuna mfanya biashara atafanya biashara kwa hasara, akibanwa kwenye kodi naye anaongeza bei ya bidhaa.
 
Ungekuja na hoja mfano yanga anatoa wapi pesa za kusajili.Je gsm analipa kodi kiasi gani hadi apate pesa kiasi hicho kama hakuna uhuni unaofanyika ili kumfidia kutoka serikalini?

Ungekuja na hoja za je Ihefu wana chanzo kipi cha pesa?Usisahau Singida big stars,Namungo n.k

Usilaumu watu kufanywa wafuasi wa Simba na yanga,laumu mkakati haramu wa wanasiasa kuchochea ushabiki kwenye vilabu hivi ile waendelee kufanya yao pasipo kuhojiwa.

Nchi hii ngumu na ina raia tusiojitambua
Mbona hiyo para ya tatu ya post yako ndiyo imebeba hoja ya mleta uzi huu, au mimi ndiye sijaelewa.
 
Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.

Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.

Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.

Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Hata mimi huwa inanikera sana hii hali.

Hasa kwa Dar huwa kila nikiwasha station yeyote ya redio lazima mada kuu ni mbili ambazo ni :

1.Mpira, yaani ni mpira mpira masaa yote utafikiri ndiyo ni stesheni ya mpira.

2.Utapeli wa kidini, hapa muda wate ni utapeli tu wa kiimani unajadiliwa, sijui nabii dominiki kiboko ya wachawi toka buza, sijui kuhani musa toka ngome ya yesu kimara temboni, sijui mwamposa na keki ya upako, sijui mganga kutoka kigoma yupo ubungo kwa ajili ya neema ya wakazi wa dar.


Yaani ujinga ujinga tu qumamae
 
Serikali ya awamu ya tano ndiyo muasisi wa hoja nyepesi kwenye redio na TV,ukiminya uhuru wa nyombo vya habari hayo ndio matokeo yake.
Kwani zamani kulikuwa na vyombo vya habari wakati Waafrika wanapigania uhuru??ni ujinga wa watanzania tu
 
Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia.

Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia asubuhi hadi usiku.

Vijiwe vya kahawa the same, mtu unakuta kachoka mbaya ila kelele hizo za Yanga na Simba utamtaka.

Sasa wale walioko kwenye muungano wa OPEC ya kufilisi nchi wao wanajitoea mali za nchi. nchi inapigwa wajinga kutwa nzima n Maaada za Yanga na Simba.
Nasikia Pacome ,Bacca, Aziz KI na Diarra wanaenda Simba?
Naona this time MO ameamua hasa.
 
Back
Top Bottom