Nchi kukaa muda mrefu bila Baraza la Mawaziri siyo Sifa, tafadhali teua Majembe ya Kazi Ufanisi uimarike Serikalini

Nchi kukaa muda mrefu bila Baraza la Mawaziri siyo Sifa, tafadhali teua Majembe ya Kazi Ufanisi uimarike Serikalini

Vyama vipi unavyoviongelea. Wapinzani walikuwanachelewesha maendeleo wakati wao sasa wa kupumzika na kukaa kimya tuache nchi ikiongozwa vile wananchi tunaona wanataka.
 
Vyama viitishe press kudai Baraza la Mawaziri. Hili baraza la rais na Mawaziri wawili tena wa fedha na mambo ya nje linaweza kugeuka kuwa timu ya ufujaji...
Siku akiwa teua utasikia fulani alikuwa ana piga simu kila saa. Mzee masifa
 
Askofu rasheed kama namwona vile wizarani.
 
Hii serikali inaongozwa ná tailored according to the needs.
 
Mmetumwa muwapigie debe wateuliwe haraka au? kimsingi tulishasema Makatibu Wakuu wanatosha sana maana hata kipindi hiki ambacho hao mawaziri wako hawapo mambo yanakwenda tena vyema kabisa , kawaambie bado sana wakae watulie wao sio wa maana sana katika nchi hii kuliko dawa maji na barabara bora kwa wananchi
 
Vyama viitishe press kudai Baraza la Mawaziri. Hili baraza la rais na Mawaziri wawili tena wa fedha na mambo ya nje linaweza kugeuka kuwa timu ya ufujaji.

Tusimuamini mwanasiasa...
Vipi hujapewa Ubunge wa viti maalum huko CCM?
 
Ngoja wale 19 wapate nafasi ya uwakika bungeni.
 
Mmetumwa muwapigie debe wateuliwe haraka au? kimsingi tulishasema Makatibu Wakuu wanatosha sana maana hata kipindi hiki ambacho hao mawaziri wako hawapo mambo yanakwenda tena vyema kabisa , kawaambie bado sana wakae watulie wao sio wa maana sana katika nchi hii kuliko dawa maji na barabara bora kwa wananchi
Hivi vikamati vidogo vinakuwaga na agenda ya siri. Kwanini baraza dogo likija kubwa litakuta wale watatu wameshakuwa na agenda nyingi za siri au wanakuwa viti vya mbele. Jambo hilo litaleta unyonge wa kushauri na kuamua kwa mawaziri wengine watakaokuja.
 
Cpangiw full stop,ila ningeshangaa kama ucngemtaja bebi wako mana cjui alikuacha talaka ngp we nguchiro
Vyama viitishe press kudai Baraza la Mawaziri. Hili baraza la rais na Mawaziri wawili tena wa fedha na mambo ya nje linaweza kugeuka kuwa timu ya ufujaji....
 
Vyama vipi unavyoviongelea. Wapinzani walikuwanachelewesha maendeleo wakati wao sasa wa kupumzika na kukaa kimya tuache nchi ikiongozwa vile wananchi tunaona wanataka.
Jibu hoja.Vyama havipo sasa.Mbona unamzimu wa vyama?Huyu anataka baraza LA mawaziri wewe unarudi kwrnye vyama.vipi bwana!!
 
Hivi Cabinet inatakiwa kukutana kila baada ya muda gani? Ni utashi wa mtu au ni takwa la kikatiba/kisheria?
 
Back
Top Bottom