Nchi kumi za kutembelea katika kipindi cha miaka mitano

Mkeo wa zamani Joannah jana ile ile kavunja husiano langu kasema familia haimtambui makaveli, wao wanamjua mkantrywizzy 🀣🀣🀣🀣
Ko huyo bwana 2pac ndio basi tena
Simtambui yeyote zaidi ya wizzy....2pac kasema Mimi mwanae sana hatuna haja ya ushemeji
 
"Pumbavu mkubwa wewe, jioni ya leo ninakuja kuchukua hela yako"
 
Kabla ya kwenda nje ya Tanzania natamani nimalize kuizinguka Tanzania yote Kwa gari binafsi.
Napenda kusafiri safari ndefu kuliko kitu kingine chochote duniani huwa moyo wangu unapata Amani sana
Nina wazo kama lako ila Kwa kutumia kibao Cha mbuzi , maybe baadae Nita upgrade na kutoka nnje ya bongo

 
🀣🀣🀣🀣🀣Kuna muda unakazaaa kila nikikuchombeza nakula tu like
🀣🀣🀣 Nilikuchunia lakini wapi mpk umefanikiwa kunirudisha!!
Mwenzio mme wangu hapendi dada khaaaa!!
Kumpata mwanaume km Kantri ni ngumu ss hivi ooh!! 🀣
 
🀣🀣🀣 Nilikuchunia lakini wapi mpk umefanikiwa kunirudisha!!
Mwenzio mme wangu hapendi dada khaaaa!!
Kumpata mwanaume km Kantri ni ngumu ss hivi ooh!! 🀣
We mwenyewe unajua ninavyomuelewa Shemeji yangu, mzingatie sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…