Nchi nyingi nilizotembelea mikate ni chakula ila huku kwetu ni kitafunwa

Uko sahihi. Watu wa pwani wako vizuri kimapishi.
Labda vyakula vya kulamba lamba kama tupilau na tubiriani. Mapishi yako bara.....kila aina ya rojo na masotojo. Ndio maana mkija likizo kutoka huko daresalama mnatuletea vijuice Ila mkiondoka mnabeba mpaka vigari vyenu vinatoboka. Mmmmfyyuuuuuu
 
Labda vyakula vya kulamba lamba kama tupilau na tubiriani. Mapishi yako bara.....kila aina ya rojo na masotojo. Ndio maana mkija likizo kutoka huko daresalama mnatuletea vijuice Ila mkiondoka mnabeba mpaka vigari vyenu vinatoboka. Mmmmfyyuuuuuu
"Mmmmfyyuuuuu"..... hili neno limenipa mashaka sana na hali yako ya kijinsia kaka pembe. Jitahidi sana kutotumia maneno ya aina hiyo.
 
Mikate na Chapati zina tofauti gani? Mihogo na Magimbi nini tofauti?
 
Tanzania ndio hakuna vyakula bwana boya wewe...ikifika jioni kila nyumba inapika wali maharage ndio maana watoto wetu hawana akili wanawaza kutiana tu
 
Slices 12!! Rey bhana hapo umetuuza,
Mimi nakula sana mkate na hata usiku huu nimetoka kula huo huo na Mayai mwanzo nilikula wali ukawa haushuki kabisa nikaachana nao nikapiga mkate wangu niko fresh kabisa,

Slices 2 tu hua sizidishi hapo.
Wew...una utani na kula mamaa...weee...Mimi mkate sishibi Kwa Kweli[emoji2][emoji2]Nile wali n.k mkate asubuhi
Usiku nikila mkate na chai nzito plus blue band na maharage na hapo asubuhi mapema chai...
 
Nile mkate nishibe?.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wew...una utani na kula mamaa...weee...Mimi mkate sishibi Kwa Kweli[emoji2][emoji2]Nile wali n.k mkate asubuhi
Usiku nikila mkate na chai nzito plus blue band na maharage na hapo asubuhi mapema chai...
Kuna muda hua natamani ningeweza kula chakula kingi kama wengine ila siwezi, nikishapiga vijiko vyangu kadhaa nimeshiba,
Nikinunua chips vumbi namwambia muuzaji kabisa aniwekee kidogooo ili nimalize sio ajaze nakua siwezi kumaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…