Nchi nyingi nilizotembelea mikate ni chakula ila huku kwetu ni kitafunwa

Hata iweje mkate ni chakula kinachafaa kuliwa zaidi usiku, mtu katoka kupiga jembe au mpiga tofari umpe mkati na mchuzi mchana.
 
Sijajua mtu anaishije na mkate, Mimi nikila inazalisha ( acid) kiungulia kingi tumboni
 
Bongo kuna vyakula vitamu sana. Ukienda kwa majirani utawaonea huruma vyakula vyao na jinsi wanavyovipika. Kenya wana ile githeri.
Huu sasa ni ulimbukeni. Unadhani wewe ndiyo bora kuliko wengine. Unachotakiwa kujua ni kuwa chakula ni utamaduni. Unachoona ni kizuri kwako kinaweza kuwa kibaya kwa mwenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…