Isikuumize sana, mimi sikuzaliwa Dar, ila sasa nina umri wa mtu kuitwa mtu mzima nipo Dar, nina banda langu, mwenyekiti wa mtaa ananijua kuwa nina makazi yangu, serekali ya mtaa na ya mkoa inanitambua kama, mwana Dalisama kwanini mimi nisijione mwana darisama.Mtu kutoka porini anapojiita mwana daresalama[emoji16]
Sahihi kabisa,zaidi ya pop corn na cornflakes mahindi hayana ishu Kwa wazunguKuna Moko mmoja aliwahi kunisimulia kuwa ngano Ina mchango mkubwa sana ktk kunoa intelligence (Capacity of mind) ya binadamu. Ndio maana race zote ambazo zimepiga hatua ktk nyanja mbalimbali chakula Chao kikuu lazima kiwe product ya ngano au ngano yenyewe.
Aliendelea Kwa kutoa Boko jingine et mahindi yaliletwa na wareno Ili kuongeza idadi ya watu katika jamii za kiafrika Ili kupata idadi kubwa ya watumwa waliokua wakiitajika huko bara Amerika.
Zambia hawali mkate wao ni ugali na kabisa toka anazaliwa mpk anakufaKweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo,
Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate,
Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Zaidi ya kua chakula Cha wanyamaSahihi kabisa,zaidi ya pop corn na cornflakes mahindi hayana ishu Kwa wazungu
Mh kwamba sikuhizi kuna kazi ngumu kweli?Hata iweje mkate ni chakula kinachafaa kuliwa zaidi usiku, mtu katoka kupiga jembe au mpiga tofari umpe mkati na mchuzi mchana.
Kwenye tofari kupiga wanatumia mashine ya umeme, ila kubeba kwenda kupanga lazima ulibebe, hata hivyo umeangalia zaidi shuguri za mjini umesahau kuwa kuna watu wanapiga kazi huko vijijini.Mh kwamba sikuhizi kuna kazi ngumu kweli?
Hata Mimi napataga shida Kama hiyo Nikila mkate sijui kwa niniSijajua mtu anaishije na mkate, Mimi nikila inazalisha ( acid) kiungulia kingi tumboni
Nawakumbuka vizuri sana hao wa kijijini ila hakuna kazi ngumu sikuhiziKwenye tofari kupiga wanatumia mashine ya umeme, ila kubeba kwenda kupanga lazima ulibebe, hata hivyo umeangalia zaidi shuguri za mjini umesahau kuwa kuna watu wanapiga kazi huko vijijini.
Githeri na mukimoBongo kuna vyakula vitamu sana. Ukienda kwa majirani utawaonea huruma vyakula vyao na jinsi wanavyovipika. Kenya wana ile githeri.
Hata wao wakija huku wataona vyakula ni vya ajabuBongo kuna vyakula vitamu sana. Ukienda kwa majirani utawaonea huruma vyakula vyao na jinsi wanavyovipika. Kenya wana ile githeri.
aseeh mimi nimeishi Zambia , mikate kwao ndio mpango mzima halafu wakipika wali wanaunga sukariKweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo,
Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate,
Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Kuna ndugu alikua akisafiri kwenda Uganda analeta mikate, kwakweli ile mikate sijawahi kuila popote pale ni mitamu ina rangi ya brown sijui wanaweka na nini.....ukiweka blue band unaharibu ladha yaniKweli kabisa nilienda bukoba nikala mkate wa Uganda,mzuri sana