Watu wa Mombasa pekee ndo hupika vizuri.Bongo kuna vyakula vitamu sana. Ukienda kwa majirani utawaonea huruma vyakula vyao na jinsi wanavyovipika. Kenya wana ile githeri.
Nyie wasukuma bila kula ugali sufuria nzima hamuoni kama mmekula kitu.Kweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo, Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate. Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Mahindi hutumika kulisha mifugoWhats your point? Ushamba mzigo sana
Mkate na maini...Mkate mwenyewe nakula na kulala vizuri kabisa ni uandaaji tu
Ila kama ni mkate tu na chai hiiiiiiiiii
Kweli kabisa mahindi hayafai kuliwa na hata mifugo hawalishwi mahindi peke yakeMahindi ndio chakula cha mifugo au junk food
Umekaza fuvu mtoto wa 2002As mahindi yalivyo junk ndivyo mkate ulivyo junk, ni ujinga tu ushamba vinakusumbua. KUNA kitu kinaitwa utamaduni, kiheshimu tu, na kina maana sana
Ila huo mkate uuandae mwenyewe kwa usafi, bakery za Tz ziko kibiashara zaidiMkate ni chakula Bora Sana ukimiminia na Mayai
Huko kwa mapishi twajua mwajua.Una nini mkate? Mbona kawaida tu..
Njoo Zenji, tuna utitiri wa mikate, tunausanif unga tunavyotaka
Ila kuna mikate inauzwa super market ni mizuri sanaSio kwa masponchi wanayotuuzia haya, mkate wa buku ukiufinya unakuwa kama katonge cha ugali
We breakfast wapata nini?Hivi Vitafunwa sio Vyakula!!?
Breakfast, Lunch and Dinner.
Wao wameenda zaidiSahihi kabisa,zaidi ya pop corn na cornflakes mahindi hayana ishu Kwa wazungu
Zamani watu walilima kwa mkono au wanyama.Nawakumbuka vizuri sana hao wa kijijini ila hakuna kazi ngumu sikuhizi
Mbona loggers wa Marekani hula mikate na kufanya kazi kubwa kuliko nyie?Mimi nadhani hutegemea na aina ya shughuli wanazofanya, yani mimi nile mkate na soda kisha nikabebe chainsaw nianze kucharanga magogo? Mbona ikiwaka tu ule mtetemo njaa inaanza kuuma hapo hapo hata kabla sijaanza kazi.
Hivi unajua kilimo kinachofanyika Marekani?Sio Tanzania pekee, Uganda je unaicha wapi? Pia Asia wana vyakula ya kutosha sana, ndio wanao ilisha saba Ulaya na Marekani
Shoppers wana hiyo mikate inauzwa hadi 12000Mikate ya Ulaya usifananishe na hii yenu kama Godolo, Nenda Supermarket kubwa huw wanaileta, mkate unazuwa sh 7000/ kuna mikate Whole grain acha kabisa ile wanakula matajiri, shida tusha kalili
Chips Zege nimeikuta Eldoret piaIpo Pwani ya Kenya pia, kule unakuta na Pweza na aina ya misosi ambayo mumezoea huko Dar, maana kumbuka Dar, Tanga hadi Mombasa wote huo ni ukanda mmoja wenye watu wanaoendana kidesturi.
Sisi wa mikoani tuna misosi yetu pia....
YapMkate na maini...
Ila sio mikate ya duka la mangi