Nchi nyingi nilizotembelea mikate ni chakula ila huku kwetu ni kitafunwa

Nyie wasukuma bila kula ugali sufuria nzima hamuoni kama mmekula kitu.
 
Nawakumbuka vizuri sana hao wa kijijini ila hakuna kazi ngumu sikuhizi
Zamani watu walilima kwa mkono au wanyama.
Siku hizi kuongeza ufanisi Trektor hutumika maana kwa siku hata Hekta 10

Kwenye migodi siku hizi crusher zipo, watu hawatumii nyundo kusaga mawe

Maji vijijini yapo siku hizi
 
Mikate ya Ulaya usifananishe na hii yenu kama Godolo, Nenda Supermarket kubwa huw wanaileta, mkate unazuwa sh 7000/ kuna mikate Whole grain acha kabisa ile wanakula matajiri, shida tusha kalili
Shoppers wana hiyo mikate inauzwa hadi 12000

Huwa najiuliza wanailetaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…