mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
sasa mkate na soda nguvu za kiume natolea wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napata Vitafunwa,ambavyo ni Chakula cha asubuhi.We breakfast wapata nini?
Lunch nini
Dinner au Supper nini?
Kiswahili sahihi ni vitafunio. Tatizo letu siku hizi tunajua sana KiswahiliKweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo, Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alisha watu elfu tano samaki na mkate. Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Kweli kila nchi na tamaduni zake, msosi pia ni sehemu ya tamaduni. Wakati bongo tunajivunia chipsi yai, au supu chapati usichukulie poa, Mrisho Ngasa na Kapombe walishindwa kucheza Ulaya kisa chipsi yai.
Turudi kwenye mada, nikiwa Cape town, nilishuhudia watu wakila soda na mikate kama mlo, Zimbabwe, Zambia, USA wataita hotdog Ila ndio huohuo, Ulaya ukipandisha bei ya mkate utapata shida Sana.
Kwa wakristo sala ya Bwana kuna ile phrase ya our daily bread imekuwa termed kama chakula, hata Yesu Alilisha watu elfu tano samaki na mkate. Mkate ni chakula sio kitafunwa Kwa wenzetu.
Watanzania asilimi 99.5 hawana uwezo wa kupata breakfast na hawajui maana ya breakfastNapata Vitafunwa,ambavyo ni Chakula cha asubuhi.
Au anold shwarz van damme wana nguvu ila sio kwa kula ugaliMbona loggers wa Marekani hula mikate na kufanya kazi kubwa kuliko nyie?
Nchi za Wala Mikate wale wa Maisha ya kawaida, wanakula Mkate na Soda, kuna Vitu vichache tu wanalia na Mkate, kwa South Africa wanakula Chips na Mkate!Mimi slice 4 za mkate mayai ya kukaanga 3 glass ya juice na tunda kama parachichi tikiti etc usiku natosheka kabisa
Wazambia wanaomba sana, nili wahonjesha walichanganyikiwaWalionja kitu ulichokitoa au walishangaa tu??
ule mkate wa yesu ulikua ni mgumu sana, mkate walikuwa wanatumia nguvu kuukata na ulikuwa unatoa mlioTatizo hata mikate yetu imechakachuliwa,haina ladha,mikavu Sana na kipimo ni kidogo. Ili mtu ashibe labda ale miwili,so familia ya kisukuma kwa siku labda wale kirikuu nzima.
Bado kitakuwa chakula ghali Sana kwa mtanzania.
Mambo ya nguvu ni mfumo wa maisha wenyew,mtu unawatoto 5,unaishi nyumba la kupanga,watoto wanataka wasome,mke asuke,kodi,umeme,maji kipato hakieleweki unafikiri utaishi vipi.Unalosema ni kweli kabisa na ninashangaa inakuaje hapa bongo kunakuwa na tatizo la nguvu za kiume wakati tuna vyakula vyenye nguvu na virutubisho.
Sasa mfano SA nilifika nikakuta machakula hayaeleweki nikajiuliza hawa wanaishije. Nadhani kibongo bongo tuna tatizo la kukinai ngono lakini kwa nguvu siamini hata kidogo kwamba kwa kula chipsi yai ndio kufanye mtu asiwe na nguvu za kiume wakati zipo nchi hawajui wali na wakipika wali wao utakimbia.
Uko sahihi. Watu wa pwani wako vizuri kimapishi.Watu wa Mombasa pekee ndo hupika vizuri.
Ni sawa na Tz wapishi wazuri ni wa Pwani
Ni makande ila huwa wanaweka kama mboga za majani ambazo haziivi sana. Ni chakula fulani hivi hakivutii kabisa hata kukitazama.Hivi hio githeri ni nini? Nasikiaga wanasema.
Punguza ujuaji kenge wewe sio lazima kila post uchangie
Mahindi tumeletewa na mabeberu ndio maana tumekuwa mazezeta na watu wengi wanaamini Mahindi ni ya Mwafrika na ndio utamaduni wake tumeacha kula ugali wa mtama na mihogo tumekimbilia kwa mabeberu na kuona ndio utamaduni wetu kumbe sio...
Mkuu kwenye swala la kutukana ni swala la kuzidisha ugali sana hayo ndio madhara yake mimi sipo kundi la wewe kusema sina Exposure...Mahindi yanalika na wazungu sana tu, ni kwamba hujielewi na hauna exposure, ugali ni utamaduni, lakini ulaji wa mahindi unalika sana Europe ans UA
🤣🤣🤣🤣🤣 Aiseee!Tatizo hata mikate yetu imechakachuliwa,haina ladha,mikavu Sana na kipimo ni kidogo. Ili mtu ashibe labda ale miwili,so familia ya kisukuma kwa siku labda wale kirikuu nzima.
Bado kitakuwa chakula ghali Sana kwa mtanzania.
Watu wanashindwa kutofautisha kati ya ulaji wa ugali na matumiz ya maindi ,sisi waafrika tunatumia mahindi kwa matumizi ya ugali lkn wenzetu ugali hawali (sio utamaduni wao) ila wanatumia mahindi kwenye vitu vingine.Mahindi yanalika na wazungu sana tu, ni kwamba hujielewi na hauna exposure, ugali ni utamaduni, lakini ulaji wa mahindi unalika sana Europe ans UA