Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Naona sasa mnapumua
Nyie chadema endeleeni kuishi kwenye limbi la uongo. Mnadanganya hadi kudanganyika wenyewe kwa kuamini uongo wenu. Kila bajeti huja na changamoto zake. Na kama chama chadema imekwisha na bado wanaendelea na uongo kwamba ccm imeiba kura na kwamba sasa inachukiwaKwa sisi tuliofatilia hali ya kisiasa na kijamii kuanzia kuingia kwake madarakani 2015 na uchaguzi wa muhula wa pili 2020 tulijua kabisa na kubashiri janga linaloenda kuikabiri nchi yetu.
Kwa sisi tulioona na kushuhudi uhuni ule wa uchaguzi, matumizi mabaya ya fedha kudhibiti Haki na demokrasia nchini tulijua kabisa baada ya uchaguzi hali ya kiuchumi itakuwa mbaya sana. Nyote ni mashuhuda sasa.
Nchi nzima si wanaccm, chadema wala Chauma. Si wanasiasa hadi wasio na siasa wote wameichukia ccm hasa iliyokita mizizi na fikra za John Pombe magufuli, fikra za kikandamizaji.
Kwa wale tuliosikia zile tetesi kwamba Hayati alikodisha vikosi vya cyber kuja kuchakachua mifumo mingi ya kiteknolojia na internet ili kurahisisha mazingira ya kushinda uchaguzi tuliwaza kabisa kuwa kama ni kweli hizo pesa anazowalipa zinatoka wapi? au ndio amekomba pesa zote za hazina? Kuna wengine wanafika mbali na kusema huenda pesa alizokopa world bank na Uchina kwa ajili yanujenzi wa SGR na Stigler ndio hizo zilitumika ktk mikakati michafu ya uchaguzi october 2020 na hivyo tunalipa ghalama.
Sasa Awamu ya sita imetuchanganya. Huwezi kumjua Mpiga mapambio wa zamani na mpinzani wa zamani. Wote wamekuwa kitu kimoja. Adui wao amekuwa mmona tu, naye ni CCM.
Asante sana CCM kqa kutuunganisha. Sasa ongeza na tozo zingine ili tujenge nchi kwa haraka zaidi.
CCM nambali one.
Mama amedoda mapema mno.Kwa sisi tuliofatilia hali ya kisiasa na kijamii kuanzia kuingia kwake madarakani 2015 na uchaguzi wa muhula wa pili 2020 tulijua kabisa na kubashiri janga linaloenda kuikabiri nchi yetu.
Kwa sisi tulioona na kushuhudi uhuni ule wa uchaguzi, matumizi mabaya ya fedha kudhibiti Haki na demokrasia nchini tulijua kabisa baada ya uchaguzi hali ya kiuchumi itakuwa mbaya sana. Nyote ni mashuhuda sasa.
Nchi nzima si wanaccm, chadema wala Chauma. Si wanasiasa hadi wasio na siasa wote wameichukia ccm hasa iliyokita mizizi na fikra za John Pombe magufuli, fikra za kikandamizaji.
Kwa wale tuliosikia zile tetesi kwamba Hayati alikodisha vikosi vya cyber kuja kuchakachua mifumo mingi ya kiteknolojia na internet ili kurahisisha mazingira ya kushinda uchaguzi tuliwaza kabisa kuwa kama ni kweli hizo pesa anazowalipa zinatoka wapi? au ndio amekomba pesa zote za hazina? Kuna wengine wanafika mbali na kusema huenda pesa alizokopa world bank na Uchina kwa ajili yanujenzi wa SGR na Stigler ndio hizo zilitumika ktk mikakati michafu ya uchaguzi october 2020 na hivyo tunalipa ghalama.
Sasa Awamu ya sita imetuchanganya. Huwezi kumjua Mpiga mapambio wa zamani na mpinzani wa zamani. Wote wamekuwa kitu kimoja. Adui wao amekuwa mmona tu, naye ni CCM.
Asante sana CCM kqa kutuunganisha. Sasa ongeza na tozo zingine ili tujenge nchi kwa haraka zaidi.
CCM nambali one.
CCM ni adui wa kula mwenye akili timamu na wasema kweli pamoja na wanaotetea Haki na usawa wa raia tangia enzi za TANU&ASP na baadaye CCM tokea 1977.Kuthibitisha hilo,tazama na kusoma comments za watetezi wa CCM humu jukwaani,hawana uwezo wa kujenga hoja,wanatukana na kukejeli hoja zote za Watanzania wasema kweli na watetezi wa Haki za raia, Ukitetea Haki za Wananchi watakuita wakala wa mabeberu au mpinzani has a CHADEMA.Kwa sisi tuliofatilia hali ya kisiasa na kijamii kuanzia kuingia kwake madarakani 2015 na uchaguzi wa muhula wa pili 2020 tulijua kabisa na kubashiri janga linaloenda kuikabiri nchi yetu.
Kwa sisi tulioona na kushuhudi uhuni ule wa uchaguzi, matumizi mabaya ya fedha kudhibiti Haki na demokrasia nchini tulijua kabisa baada ya uchaguzi hali ya kiuchumi itakuwa mbaya sana. Nyote ni mashuhuda sasa.
Nchi nzima si wanaccm, chadema wala Chauma. Si wanasiasa hadi wasio na siasa wote wameichukia ccm hasa iliyokita mizizi na fikra za John Pombe magufuli, fikra za kikandamizaji.
Kwa wale tuliosikia zile tetesi kwamba Hayati alikodisha vikosi vya cyber kuja kuchakachua mifumo mingi ya kiteknolojia na internet ili kurahisisha mazingira ya kushinda uchaguzi tuliwaza kabisa kuwa kama ni kweli hizo pesa anazowalipa zinatoka wapi? au ndio amekomba pesa zote za hazina? Kuna wengine wanafika mbali na kusema huenda pesa alizokopa world bank na Uchina kwa ajili yanujenzi wa SGR na Stigler ndio hizo zilitumika ktk mikakati michafu ya uchaguzi october 2020 na hivyo tunalipa ghalama.
Sasa Awamu ya sita imetuchanganya. Huwezi kumjua Mpiga mapambio wa zamani na mpinzani wa zamani. Wote wamekuwa kitu kimoja. Adui wao amekuwa mmona tu, naye ni CCM.
Asante sana CCM kqa kutuunganisha. Sasa ongeza na tozo zingine ili tujenge nchi kwa haraka zaidi.
CCM nambali one.
Wanawalazimisha Watanzania kuwapenda huku wakiwaumiza kula mara.Hatujapona maumivu ya mabando Mara tena tozo za miamala na line?Hawana hata aibu!Sifahamu ukiwa mwana CCM ni sawa na Ibilisi mtenda maovu?CCM wamelaaniwa... Tegemeo lao sasa ni polisi tu. Threshold ya Watanzania itafika tu siku moja. It is just a matter of time...
Hapana mzee. Mama kaibgizwa chaka. Hii bajeti ni ya mwenda zake pesa alitapanya kwa kuhonga ashinde uchaguzi. Ziliisha na haya ndio madhara yake
Ukombozi ni neno pana sana,unamkomboa halafu kilichokombolewa kinanyimwa Uhuru na mkombozi,huo siyo ukomboziKilimkomboa nani????
Ukombozi magumashiUkombozi ni neno pana sana,unamkomboa halafu kilichokombolewa kinanyimwa Uhuru na mkombozi,huo siyo ukombozi
Uko sahihi. Wanaounga mkono ccm kama hawanufaiki na mfumo wa ccm basi ni matahira. Huwezi kuwa mtetezi na mfuasi wa CCM unless wewe pia ni mnufaika wa uhalamu wakeCCM ni adui wa kula mwenye akili timamu na wasema kweli pamoja na wanaotetea Haki na usawa wa raia tangia enzi za TANU&ASP na baadaye CCM tokea 1977.Kuthibitisha hilo,tazama na kusoma comments za watetezi wa CCM humu jukwaani,hawana uwezo wa kujenga hoja,wanatukana na kukejeli hoja zote za Watanzania wasema kweli na watetezi wa Haki za raia, Ukitetea Haki za Wananchi watakuita wakala wa mabeberu au mpinzani has a CHADEMA.
Ukidai Katiba Mpya unaitwa CDM,ukidai Haki unaitwa mpinzani;Je,CCM na serikali yake wanamwakilisha nani?Wanapotetea wanyonge huwa wanawatetea dhidi ya wapinzani au mabeberu?Hivi hao mabeberu huwa ni akina nani kwa mujibu wa CCM?Hivi nchi yetu ilipata Uhuru wake wa kweli au tulipewa bendera?
CCM kama chama cha siasa imewezesha nini kwa uwepo wake madarakani kwa miaka 60 iliyopita?Nchi yenye raslimali kama Tanzania kuwa tegemezi,omba omba na kutegemea wahisani kwa karibia kula kitu huku viongozi wakiishi kifahari na matumizi makubwa kwenye mambo yasiyo na tija?Watanzania wanagharamia afya,elimu,Maji,umeme nk.kwa kulipia makato na michango ya lazima.Je,kodi wanayolipa ni kwa ajili ya kustarehesha watawala?
Ah,hata maswali hayatajibiwa.Niishie halo kwa sasa.Ila anayeiunga mkono CCM na watu wake anatakiwa kupimwa akili.Siyo kwa mateso haya!
Hili la sasa liko wazi. Sio stori za kuambiwa. Magroup yote ya maccm iwe whatsap au mitaani yanalialia kama yamefiwa tena.Nyie chadema endeleeni kuishi kwenye limbi la uongo. Mnadanganya hadi kudanganyika wenyewe kwa kuamini uongo wenu. Kila bajeti huja na changamoto zake. Na kama chama chadema imekwisha na bado wanaendelea na uongo kwamba ccm imeiba kura na kwamba sasa inachukiwa
Mpenda haki na amani hana tabia za kupenda watu makatili na waovuWafe tu. Ikibidi na huyu nafe kama analeta ukuda. Unaafuta Magufuli kumisiwa. Hakuna mpenda haki anayem-miss Magufuli. Alikufa na aoze huko aliko.
Unaelewa hata nazungumzia kitu gani?
Unaelewa kuwa huko Mwanza leo Chadema wamezuiwa kwa virungu kufanya mkutano wao wa ndani wa mambo ya katiba ambao ni haki yao ya kikatiba na mpaka sasa hivi watu 128 wamekamatwa na kuwekwa ndani wakati Shaka anachanja mbuga kufanya mikutano ya hadhara?
Narudia tena,waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni 'Mama' shame on you!
View attachment 1856958
Umeandika pumba moja ya ajabu sana.Waliofanya haya ni wateule wa Mama.Wahuni hawateuliwi wala hawatokani na mtu mwema.Mhuni huteua wahuni wenzake na mtu mwema huteua watu wema wenzake.Pamoja na yote mama alikuwa Bujumbura:
View attachment 1857389
Hili litakuwa la kina Sirro na hawa vihere here na viduku vyao vichwani.
Umeandika pumba moja ya ajabu sana.Waliofanya haya ni wateule wa Mama.Wahuni hawateuliwi wala hawatokani na mtu mwema.Mhuni huteua wahuni wenzake na mtu mwema huteua watu wema wenzake.
Hii maana yake ni kwamba hawa wahuni walioweka watu ndani leo wametokana/wameteuliwa na mhuni.Sisi tunamsakama mhuni alieteua wahuni kwa kuwa mtu mwema hawezi kuteua wahuni kuwa wasaidizi wake.
Huna mama si ndio? Au ndo umeamua kujifanya kibweka wa Samia?Hapana mzee. Mama kaibgizwa chaka. Hii bajeti ni ya mwenda zake pesa alitapanya kwa kuhonga ashinde uchaguzi. Ziliisha na haya ndio madhara yake
Hapana Mkuu hizi namba tunazisoma sote.Huna mama si ndio? Au ndo umeamua kujifanya kibweka wa Samia?
Kwamba huwezi kukuta Matangopori yamechanganyika na matango halisiUmeandika pumba moja ya ajabu sana.Waliofanya haya ni wateule wa Mama.Wahuni hawateuliwi wala hawatokani na mtu mwema.Mhuni huteua wahuni wenzake na mtu mwema huteua watu wema wenzake.
Hii maana yake ni kwamba hawa wahuni walioweka watu ndani leo wametokana/wameteuliwa na mhuni.Sisi tunamsakama mhuni alieteua wahuni kwa kuwa mtu mwema hawezi kuteua wahuni kuwa wasaidizi wake.