Nchi nzima wananchi wameongeza chuki dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)

Mama watamtesa sana wafuasi wa mwendazake. Ikumbukwe kuwa hawa ni watu waliojipanga kutawala nchi milele na milele kifo cha Jiwe kimewauma sana. Na Mama anajipanga taratibu.
 
CCM asilia ni ipi na imeofanyia nini Tanzania
 
Maendeleo hayapatikani bila ya KUIFUNGA MIKANDA.....

Dr.Mwigulu yu sahihi.....

#KaziIendelee
 
Umeandika maelezo mazuri kabisa
 
Vijana wa bavicha ni wajinga sana,!
.
Mlikuwa mnasema Magufuli amewabana na juzi tu haoa nkawa nnafurahia kifo chake mkisema mnapumua!

Alafu ukome kutujumlisha wote! Mimi siyo miongoni mwa hao raia unaosema! Utusitusemee tafadhali
Vijana wa uvccm ni mataahira sana
 
Nachoshukuru polisi nao wapo kwenye tozo wanapelekwa kama mapunda kama wao hawajui kulinda raia na mali zao ni jukumu lao
Na pia Polisi wanatusaidia kuisagia kunguni CCM na Serikali yake kwa kuendeleza ukatili kwa wapinzani
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…