Nchi ya Finland yaanza maandalizi ya vita

Hawezi kukuelewa Mkuu,kama waliweza kuisambaratisha USSR watashindwaje kwa hili.Putin kauvaa mkenge pale Ukraine,atahangaishwa hapo huku Finland na Sweden wanaendelea na mchakato wa kujiunga NATO na hatokuwa na cha kuwafanya.
Putin hawezi mobilize vita 2, hana resources na hapo kabana vingine kwa matumizi ya nyumbani
 
Nimegundua US huwa ana vitu ambavyo hatuvijui ila viko effective
 
Hata sasa wana sayansi wanao wengi tatizo unajua Lugha ya Russia ?
 
... unike the eastern world, kuna kitu kimoja kinaiumiza kichwa western world kwenye medani za kivita - how to save lives? Wakati Russia yeye kuuwa kwa halaiki including wanajeshi wake mwenyewe kuteketezwa vitani kwake sio issue as long ushindi upo.

Baada ya ugaidi (maximum casualties philosophy), wanaofuatia kutojali maisha ni wakomunisti. Hii inaleta changamoto sana kupigana na wendawazimu kama hawa.
 
[emoji1][emoji1] una moyo sana mkuu kubishana na hicho kiumbe.Menopause inakuja na changamoto zake kama hizo mzee.
 
RT source FT, na FT ni chombo cha UK, na hapa jamii forums tunaamini vyombo vya magharibi ni vya kipropaganda.
 
RT source FT, na FT ni chombo cha UK, na hapa jamii forums tunaamini vyombo vya magharibi ni vya kipropaganda.
Endelea kusoma nimeongeza habarbya rt ambayo imetokana na satelite za urusi na msemaji wa wizara ya ulinzinwa china. Nmeweka nukuunyankote kote
 
Acha nikajiunge na jeshi la Finland,nipambane kimchongo huku nikitoa siri za jeshi la Finland kwa The Great Mother Russia

Russia all the way
 
Weka source Mkuu
 
soma vizuri nilichoandika wapi nimesema USA ni ya kwanza kuinvest kwenye nyuklia? nimezungumzia timeline kati ya usa na russia ukweli ni kuwa usa ni wa kwanza kwenye kuiunda, kufanya trials na kufanya test live kweupeeee, huyo russia kudevelop na kufanya trials kaanza ilihali ya kuwa USA alishamtangulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…