Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
Ukipata majibu uniulizie hali ya ubaguzi wa mtu mweusi Saudia, Oman na Waarabu kwa ujumlaNingependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
Sera ya mtu mweusi ipoje mkuuNingependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
Halo ikoje mkuuUkipata majibu uniulizie hali ya ubaguzi wa mtu mweusi Saudia, Oman na Waarabu kwa ujumla
Waulize dada zetu wanaoendaga kufanya kazi huko wakuambieHalo ikoje mkuu
Umesema unajua halafu nikaulize tena? Mim Niko Qatar huo ubaguzi mbona sijakutananao?Waulize dada zetu wanaoendaga kufanya kazi huko wakuambie
Waziri Mkuu wao aliwahi kusema "Ngozi nyeusi ni kama Kansa, ikiingia inatakiwa kukatwa haraka sana kabla haijasambaa"Ningependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
Siku hizi hauuzi tena matunda hapo Chuga chalii angu?Umesema unajua halafu nikaulize tena? Mim Niko Qatar huo ubaguzi mbona sijakutananao?
Acha kutuigizia mtoto wa kwamtogole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umesema unajua halafu nikaulize tena? Mim Niko Qatar huo ubaguzi mbona sijakutananao?
mtu mweusi kule ana maisha mazuri sana maana wale falashas kutoka Ethiopia wapo na hali ya juu kimaisha.wengi wa falashas ni mapolisi, marubani, lawyers na madaktari. kumbuka walipoingia Israel kutoka ethiopia walikuwa wachafu wachafu, hufunga lubega, hawajui kusoma wala kuandika na kuabudu matibabu ya kienyeji. sasa hivi ukikuta demu wa kifalashas pale jijini tel aviv unatamani uongeaa naye upende usipende.Ningependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
Matunda kuna vijana wanafanya aise. Ila me narudi august hapo town chalii wangu tutaendeleza arakati.Siku hizi hauuzi tena matunda hapo Chuga chalii angu?
Utaki sasa mkuu?Acha kutuigizia mtoto wa kwamtogole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisseeeh binadamu weusi mnapenda kudeka deka kama watoto wa mwisho,Ningependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
mtu mweusi huko iran, Iraq, Libya na saudia hana raha kabisaa.mtu mweusi aliyevuma misri ni beki namba mbili wa Al Ahly mwaka 1982 Rabia Yasin tuu , utadhania hakuna watu weusi. Huko Libya na Iraq ndo kabisaa hata udiwani hawaupati.nashangaa kwa nini Somali, Sudan,mali,senegal ni wanachama wa Aab League!Ningependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
Pamoja chalii angu,all the best.Matunda kuna vijana wanafanya aise. Ila me narudi august hapo town chalii wangu tutaendeleza arakati.